Inabidi Watanzania tumuombe msamaha Rais Magufuli

bila katiba mpya, akiondoka tu na mishetani nayo inarudi tena kwa kasi ya ajabu
 
Kwa nini unafikiri Magufuli ni baba yako?

Huna baba?
 
PAYE
NSSF
WCF
NHIF
Bila huruma ile 8% badala ya kuongeza ufuatiliaji ilipwe ikapandishwa to 15%
Maisha ya kijana wa kitanzania ni ya taabu sana.
 
Bodi wanalamba 15% , mshahara ule ule sembe juu.Mimi naomba msamaha [emoji119]
 
Mwenyezimungu pekee ndiye wa kuombwa na kutegemewa magufuli ni kiumbe tu

Mawazo yako ni ya kipuuzi. Kila binadaamu anamutegemea binaadam mwingine kwa mawazo, uongozi na kadharika. Mwenyezi MUNGU ametuumba kutegemeana huku akituongoza. Ni MUNGU ametupa Rais Magufuli atusaidie baada ya kuona nchi inateketea. Amini usiamini, kila kitu ni mipango ya Mwenyezi MUNGU.
 
Sera ya kijamaa uliona wapi ikafanikiwa ndo maana ujamaa uliporomoka, lakini huyo unayemsema alikuwa anavaa suti lakini ww humtendei haki mkuu Wa awamu ya nne! Kaweza kuunganisha barabara nchi nzima, kakujengea hospital ya moyo badala ya kupekeka wagojwa india ss hv ni hapahapa, kakujengea daraja la kigamboni badala ya kupiga mbizi tunasafiri kwa raha zetu ,wananchi wakiendelea na ujenzi nyumba za makazi kila kona ya nchi, katuletea umeme wa gesi na ss hv mgao umeme hakuna japo kuna matatizo madogo madogo ya kiutendaji wa shirika let, kaleta kampuni kubwa ya simenti ya dangote, katujengea hospital kubwa ilonganzila, ameweza kuongeza mishahara kwa watumishi wa uma kila mwaka na kumudu kuwalipa wafanyakazi hewa wote nchini na aliweza kuajiri watumishi kila mwaka! Na cha kupongezwa zaidi kama nilivyosema mwanzo keki ya taifa tuliigawana wote na kila mtu alikuwa na hela mfukoni na jioni unapata bia zako mbili unaenda kulala safii, na mwisho katuletea jembe letu magu ila tu azitoe hizo hela benki kuu tunazihitaji mtaani maana kwa sasa mambo hayaendi ushahidi ss hv hakuna anayejenga jengo jipya hivyo maendeleo yamesimama kote nchini, hizo pesa rais wetu azitoe benk kuu abaki na hela yake ya matumizi vinginevyo tutaisoma namba nchi nzima haijalishi ww uko wapi!
 
Huwezi elewa hayo maneno hadi uwe mpambanuzi wa mambo.hivi magufuli anaweza kuongeza au kupunguza riziki aliyokupangia Muumba? Aweza leta ukame au tetemeko?
 
Ishu hapa c msamaha. Tatizo ni kwamba hatujui maono ya Rais wetu, ndio maana tunapata shida nakuona km ana hasira. Nikweli inawezekana akawa na hasira km mwanadamu ila akasahau ni wapi panapostahili kuziweka hizo hasira. Ila anajua anachokifanya. Shida kukosolewa ndio sumu ya huyu baba, ila kwa upande wa pili hatuna budi kumkubali, hakika kafanya kazi na naamini atafanya kazi ila kwaupande wangu kuwanyamazishawapinzani, ikiwa kweli anahusika ktk hili itakuwa makosa kwakuwa mchangi wa wapinzani hapa nnchini in matikeo ya yanayoendelea SASA. Km c wapinzani tungeendelea kuwapo gizani had I kesho. Kwakweli hakuna haja yakuonba msamaha kwakuwa hakuna mtz alie mkosea labda ajipime mwenyewe km amekosea aombe watanzania msamaha. Km hajakosea aendelee kupiga kazi,
 
Namuomba msamaha kwa niaba ya wataNxania wote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…