Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,415
- 119,473
[emoji16][emoji16] mimi mwenyewe sijui hata nitampata wapi, tatizo jina simjui tungemtafuta hata fesibukuTufanye namna tumpate
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji16][emoji16] mimi mwenyewe sijui hata nitampata wapi, tatizo jina simjui tungemtafuta hata fesibukuTufanye namna tumpate
[emoji16][emoji16] mimi mwenyewe sijui hata nitampata wapi, tatizo jina simjui tungemtafuta hata fesibuku
Nyakati hubadiliksJamiiForum ya sasa, ni tofauti na ya kipind kile
Jamii Forum ya sasa imekuwa Kama WhatsApp tu..Nyakati hubadiliks
Kuna sehemu nilienda ndio nikamuona ila siwezi tena kwenda kule[emoji1787][emoji1787]Ulimuona wapi kwani?
Hahahaa sorry! hv wewe ni ngongingo au wowowo maana unaongoza kutajwa Jf.Ulimuona wapi kwani?
Kuna sehemu nilienda ndio nikamuona ila siwezi tena kwenda kule[emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] sikumuona mara moja, nimemuona mara nyingi tu na sikumbuki kama niliwahi hata kumsalimia. Nimeongea nae siku ya mwisho ninayoondoka, sijui kaniroga yule mbwa[emoji1751]Ulimuona ukampenda siku hiyo hiyo?nikiwa kama shemeji yake naona kama hatutampata,tumpotezee
Hahahaa sorry! hv wewe ni ngongingo au wowowo maana unaongoza kutajwa Jf.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] sikumuona mara moja, nimemuona mara nyingi tu na sikumbuki kama niliwahi hata kumsalimia. Nimeongea nae siku ya mwisho ninayoondoka, sijui kaniroga yule mbwa[emoji1751]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] basi tena nakufa na maumivu yanguSijui itakuaje sasa manake ningekuwa naweza kumwambia mwanaume nampenda ningeenda hiyo sehemu kumwambia kwa niaba yako
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] basi tena nakufa na maumivu yangu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ndio ukubwa huo [emoji23]
Hahahaa! nisamehe sana Mjumbe.Mimi?umesikia wapi?
Hahahaa! nisamehe sana Mjumbe.
Bongo dakika 0 hata kuona avatar ya JF tu mtu ushafal in loveTafiti zilizofanywa na wanasayansi na wadadisi wa biological and human relationships...
Inaonesha kuwa kwa wanaume inakuchukua siku 88 kumpenda mwanamke
Wakati kwa wanawake inachukua siku 134 kumpenda mwanaume...
Tafiti zimeonesha kuwa inawezekana pia Ku fall in love kwa muda mfupi zaidi ya uliotajwa
Mwanasayansi Arun Arthur aliwahi kuwakutanisha watu wawili wasiojuana na wakapendana ndani ya dakika 94..katika maabara yake
Kwa hapa bongo je napo ni hivyo
Au tuko tofauti?[emoji6]
hata maisha ya sasa ni tofauti na ya kipindi kile.JamiiForum ya sasa, ni tofauti na ya kipind kile
It may take even a second, umewahi kuambiwa " i loved you the first time i set my eyes on you"Tafiti zilizofanywa na wanasayansi na wadadisi wa biological and human relationships. Inaonesha kuwa kwa wanaume inakuchukua siku 88 kumpenda mwanamke
Wakati kwa wanawake inachukua siku 134 kumpenda mwanaume. Tafiti zimeonesha kuwa inawezekana pia Ku fall in love kwa muda mfupi zaidi ya uliotajwa
Mwanasayansi Arun Arthur aliwahi kuwakutanisha watu wawili wasiojuana na wakapendana ndani ya dakika 94 katika maabara yake
Kwa hapa bongo je napo ni hivyo. Au tuko tofauti?[emoji6]