Logikos
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 15,460
- 24,233
haujawahi kupenda ?..., watu/tabia sio kama photocopy wote hatupo sawa...
Anyway unapenda nini ? Sura, tabia au character ya mtu..
kama ni sura inachukua muda gani kuona sura, kama ni mazoea basi mpaka umzoee mtu, kama tabia basi mpaka umuelewa mtu.., hata kama ni all of the above mtu na mtu hatuko sawa...
Anyway unapenda nini ? Sura, tabia au character ya mtu..
kama ni sura inachukua muda gani kuona sura, kama ni mazoea basi mpaka umzoee mtu, kama tabia basi mpaka umuelewa mtu.., hata kama ni all of the above mtu na mtu hatuko sawa...