Tetesi: Inadaiwa aliyemtolea Nape bastola aonekana akisindikiza msafara wa viongozi CHADEMA kwenda mahabusu

Broo umeongea point sanaaaa yaan ww UA tuuuu ila hujui kuna siku hukumu inakungoja
 
tena huyu jamaa anaiza sura visasi vitaanzia mpaka kwenye familia yake...
 
Sisisahau tu namba ya bahati ni 264 tutoke kwa nguvu siku hiyo kama kutuuwa watuue huu ni utoto majukwaani wanahubiri amani uku mtaani tunafanyiana uhuni
 
Kwa taarifa yenu tu, huyu mtu aliwaapproach hao viongozi wa Chadema waliporipoti polisi wiki kama 2 zilizopita akajitambulisha yeye mwenyewe kwamba ndiye aliyemtolea bastola Nape. Iliandikwa kwenye gazeti na kuna mtu alianzisha uzi humu, link hapo chini. Nakumbuka ilisema walishtuka kiasi ila naona wameshazoea kampani yake.

Sasa hivi wanafanya mambo waziwazi. Hiki ni kiburi cha level nyingine kabisa.

Aliyemtishia Nape bastola, 'aweweseka'
 
Si amepanda gari ya Polisi? Kwanini usiende pale Central Polisi ukapata jibu from the horse's mouth?
 
Asa dddddddddddddddddddddddddsdddddd add dddddddddddddddddddddddddddddddddddddddddddddddddddddddddddddddddddddddddddddddddddd add ddddddddddddddddddddddzdddddddddddd add ddddddddddddddddddddddddddsdddddddddddddddddddddddddddddddddDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDSDDDDDDDDDDDDSDDDDDDSDDDDDSDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDD ADD DDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDD ADD DDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDD
 
Yaani watu hawana akili hata ile ya zezeta kufikiria nje ya box kuhusu picha hiyo.

Tanzania kuna tatizo kubwa sana
 
Haya sasa shime makamanda wa mtandaoni fanyeni maandamano kesho mkamtoe Mbowe kutoka korokoroni. Msikae tu na kubonyeza keyboards zenu kwa mwendo kasi.
Hakuna kisichokua na mwisho, hekima na busara zitawale kwani nchi inaelekea kubaya. CCM ni chama imara kwa sisi waanzilishi ila sasa kinavurugwa na mapandikizi, siasa ni hoja sio chuki
 
Henry Kisanduku mtu aliyemchomolea bastola Nape Nnauye na kutishia kumpiga risasi, ndiye aliyepewa jukumu la kuwapeleka akina Mbowe mahakamani kutoka kituo kikuu cha Polisi Dar. Mwaka jana Waziri Mwigulu Nchemba alikanusha vikali kwamba mtu huyo si askari polisi.

Ikiwa si polisi kama alivyosema Nape, kwanini afanye kazi za Polisi? Kwanini apewe jukumu la kuwaescort akina Mbowe kwenda mahakamani? Polisi wamempaje kazi mtu asiye polisi apeleke watuhumiwa mahakamani? Huu ujasiri wa kufanya kazi za polisi wakati si polisi ameutoa wapi? Na kwani ni kwenye kesi ya akina Mbowe na si nyingine? I smell something fishy.!!
 
Mh..huyu si tuliambiwa nae ni mtu asiyejulikana huyu!!

Muda ni kitu ambacho hakifichi kitu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…