Tetesi: Inadaiwa aliyemtolea Nape bastola aonekana akisindikiza msafara wa viongozi CHADEMA kwenda mahabusu

Tetesi: Inadaiwa aliyemtolea Nape bastola aonekana akisindikiza msafara wa viongozi CHADEMA kwenda mahabusu

NDIYO WALE WATU WASIOJULIKANA. KAZI YAKE NI KUUA KWA KUFUATA ORDER YA BASHITE NA BABA YAKE KIPENZI AMBAYE WANAISHI NA MALAIKA.
Nimepitia page yake ya Instagram hafaninii kama polisi au hata usalama wa taifa nashangaa kumwona kwenye gari la polisi.
 
sniper.jpg
duh leo sniper ,,sijui bashite kampa maagizo gani,walimkosa kwenye ujinga wa list ya madawa sijui itakuwaje ha,sniper anaaangalia kwa jicho la machuki na roho nyeusi ya kikolomije kabisa
 
SIYO KWELI HAWAOGOPI CHOCHOTE HAWA WOTE.
kweli kabisa...walianza kidogokidogo kuingiza ka finger kwenye 0713 wakaona watu wametulia zikaja fingers mbili sasa umeingia mkono majitu yametulia,watatuburuza sana ,dah
 
Back
Top Bottom