Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hadi mkuu wa malaika akipendaVip wamepata dhamana?
Kamanda twende tuandamane tukamtoe Mbowe korokoroni.Teknolojia imewaacha uchi CCM.
And this is the end of da story.Huyo ndio hao wasiojulikana. ile deckorder ya cctv pale Dodoma ndio mpango mzima.
Nani aliyekwambia bastora ni kitambulisho?Unasema alichomoa bastola na kutishia kumpiga nape.!! We ni KE au ME?? Hivi uliona vizuri..aliitoa baada ya nape kumuuliza ye ni nani..kwamba ye ni mwana usalama ndio maana yuko pale..na aliitoa na kuirudisha kiunoni mara moja.
Wewe nawe kichwa chako kibovu kweli,nani alikwambia bastola ni utambulisho wa mwana usalama?Unasema alichomoa bastola na kutishia kumpiga nape.!! We ni KE au ME?? Hivi uliona vizuri..aliitoa baada ya nape kumuuliza ye ni nani..kwamba ye ni mwana usalama ndio maana yuko pale..na aliitoa na kuirudisha kiunoni mara moja.
Yuko wapi...!?
mtihani sana mkuuDuh lakini hii chuki hii mmmghhh MUNGU aepushie mbali....
hawana akili ...so hawawezi kujua kuwa wanayoyapanga niujinga""Kwa mara nyingine tena teknolojia imewaacha uchi CCM na vibaraka wake.
ShitholeTujikumbushe
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
Polisi: Yeyote mwenye taarifa za uhakika za aliyemlenga Nape kwa bastola atujulishe
hahaaaNaona ukoo walipoo wakilaumianaa...haya in makosa ya kiufundi
Goodnight, Kasie !Hehehehe nimepita tuu kuchungulia siasani, napita na night dress yangu naelekea chumbani. Usiku mwema ya huku siyawezi.
Hivi kwanini wanawashikia bunduki wakati tayari wamewaweka chini ya ulinzi? Kwani hapo wanaweza kutoka au kuna mtu anaweza katiza kujaribu kuwaokoa? Sidhani...
Watu wenyewe wanaowatisha hata hawana habari wanasogoa.
Anyways siko choma chochote wala si shabiki yeyote, tuu sipendi violence.
Shleep well.