MBAPPE
JF-Expert Member
- Mar 7, 2018
- 303
- 344
nikimwambia ye ni fala tu hasikii eti namtukana ana akili ya kutita tu buku7Kwanini asitoe kitambulisho, atoe bastora yani ata mtoto wa miaka 7 anakushinda akili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nikimwambia ye ni fala tu hasikii eti namtukana ana akili ya kutita tu buku7Kwanini asitoe kitambulisho, atoe bastora yani ata mtoto wa miaka 7 anakushinda akili
Alikwenda hadi kenya?Hata kule Nairobi kwa Lissu mlimuona pia!!
mna DE JAVUU??
Na hasira za Wananchi zinazidi kuongezeka ...!!Hawa ndugu zetu wa ccm hawajui kuwa kadri wanavyowatesa wapinzani ndivyo wanavyozidi kuwa popularity na kuwa kuza zaidi,walipaswa kuwaacha wanasiasa wafanye siasa kwa amani!
Haya sasa shime makamanda wa mtandaoni fanyeni maandamano kesho mkamtoe Mbowe kutoka korokoroni. Msikae tu na kubonyeza keyboards zenu kwa mwendo kasi.View attachment 726981
Kuna tetesi zinadai kwamba yule jamaa aliyetumwa na bashite kumtolea bastora Nnape Nnauye Ndio huyo hapo nyuma ya viongozi wa Chadema wkt wanapelekwa mahakamani.
Kwanini yuko hapo ? Yeye ni nani ? Katumwa na nani ?...
Kwani yeye anaishi wapi? au anaishi nyumbani kwa makonda?Henry sniper
Mpango wao wa kishamba ulikuwa kuuwa viongozi wote wa chadema lakini ilivuja , nadhani ni kwa vile Shetani hajawahi kumshinda Mungumakamanda wapo kwenye grave danger
malyamungu is about to strike with a deadly force😱
FactHawa watu zamu yao inakuja.
Nasisitiza tena kuwa,Mungu kawanyima hawa watu maarifa ili waanguke.
Those people who do not want to see political changes are taking place in our country, are the ones who unknowingly facilitating those changes.
This arrogance and complacency that they are showing us today, will one day be responsible for their downfall.
They are complacent about remaining in power till the day this world comes to an end something that is not true at all and that is even against the laws of nature.
Asiyejulikana leo kujulikana ni yeye alikwenda Dodoma kumpiga Risasi Lisu,’Mungu ana maajabu yake leo kaamua kuitoa siri livePole sana Tundu Antipas Lissu..
Teknolojia imewaacha uchi CCM.Haya sasa shime makamanda wa mtandaoni fanyeni maandamano kesho mkamtoe Mbowe kutoka korokoroni. Msikae tu na kubonyeza keyboards zenu kwa mwendo kasi.