Tetesi: Inadaiwa aliyemtolea Nape bastola aonekana akisindikiza msafara wa viongozi CHADEMA kwenda mahabusu

JF rahaa watu wanachunguza deeper go on great thinkers
 
Unasema alichomoa bastola na kutishia kumpiga nape.!! We ni KE au ME?? Hivi uliona vizuri..aliitoa baada ya nape kumuuliza ye ni nani..kwamba ye ni mwana usalama ndio maana yuko pale..na aliitoa na kuirudisha kiunoni mara moja.
Mwanausalama anajitambulisha kwa kutoa bastola???? [emoji32] [emoji32]
 
]
He was just a small boy, irrelevant example
 
Hata kofia haja badiri sema huyu si askari wameona wakisindikizwa na askari wataogopa
 
Nenda huko na lugha yako ya kitumwa!! Mtanyooka tu!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…