othuman dan fodio
JF-Expert Member
- Jan 2, 2018
- 6,850
- 11,033
Hapo akiwa kwenye target zakeHuyo hapo na cap zake za kikolomijeView attachment 727067View attachment 727077
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo akiwa kwenye target zakeHuyo hapo na cap zake za kikolomijeView attachment 727067View attachment 727077
Mbona hujaweka picha ya unavyodai tujionee wenyewe.. endeleeni kudanganyana tu..
Tuwekewe picha au video ile nimfnanishe
Ko kutoa bastora ndo kitambulisho cha uana usalama? Omba Mungu akurudishie akili zako Sio kua mtumwa kiasi hichoUnasema alichomoa bastola na kutishia kumpiga nape.!! We ni KE au ME?? Hivi uliona vizuri..aliitoa baada ya nape kumuuliza ye ni nani..kwamba ye ni mwana usalama ndio maana yuko pale..na aliitoa na kuirudisha kiunoni mara moja.
lugha ya kitumwa inayomtoa upepo mzee kiparaNenda huko na lugha yako ya kitumwa!! Mtanyooka tu!!
we mbwa lazima unawashwa mku*du na unatafuta mfir*ji haiwezekani jambo lililo wazi kama hili unakaza mat*ko kupinga.Huyo sio aliyemtolea Nape bastola ,
Nape mwenyewe shahidi atoke hadharani
Acheni kumzushia sio huyo.
.100%
Kitengo uchwara ndani ya kitengo.Kwa mara nyingine tena teknolojia imewaacha uchi CCM na vibaraka wake.
Ningekuwa na kisu ningewakata hivyo vidole vyao. Maana hiyo ni alama ya shetaniView attachment 726981
Kuna tetesi zinadai kwamba yule jamaa aliyetumwa na bashite kumtolea bastora Nnape Nnauye Ndio huyo hapo nyuma ya viongozi wa Chadema wkt wanapelekwa mahakamani.
Kwanini yuko hapo ? Yeye ni nani ? Katumwa na nani ?
Henry Kisanduku mtu aliyemchomolea bastola Nape Nnauye na kutishia kumpiga risasi, ndiye aliyepewa jukumu la kuwapeleka akina Mbowe mahakamani kutoka kituo kikuu cha Polisi Dar. Mwaka jana Waziri Mwigulu Nchemba alikanusha vikali kwamba mtu huyo si askari polisi.
Ikiwa si polisi kama alivyosema Nape, kwanini afanye kazi za Polisi? Kwanini apewe jukumu la kuwaescort akina Mbowe kwenda mahakamani? Polisi wamempaje kazi mtu asiye polisi apeleke watuhumiwa mahakamani? Huu ujasiri wa kufanya kazi za polisi wakati si polisi ameutoa wapi? Na kwani ni kwenye kesi ya akina Mbowe na si nyingine? I smell something fishy.!!
Kuteka, kuuwa, kujeruhi na kutesa ni alama ya nani?Ningekuwa na kisu ningewakata hivyo vidole vyao. Maana hiyo ni alama ya shetani
dah Aisee imenifanya niangue kicheko Cha hatariiHii ' Njemba ' inaonekana hata ' Kinyesi ' chake Kimekomaa sana na huwa kinasumbua mno ' Kuflashika ' Msalani / Maliwatoni.
Lishamba la kolomijeHuyo hapo na cap zake za kikolomijeView attachment 727067View attachment 727077
Hopeless comments!!
Ccm wana undugu na chadwema kweli??ccm awàezi kuwa na undugu na watu wabaya kama nyieHawa ndugu zetu wa ccm hawajui kuwa kadri wanavyowatesa wapinzani ndivyo wanavyozidi kuwa popularity na kuwa kuza zaidi,walipaswa kuwaacha wanasiasa wafanye siasa kwa amani!
Hao wote wanatumwa na Jiwe!Watanzania ni lazima tujiulize MAkonda,Siro na Mwigulu wana agenda gani na nchi yetu?
Vipi bwana, unataka kupoteza ushahidi?Sasa simumuachie (matekani) huyo dereva wa Lissu akamtambue? Kwa nini mnaendelea kumficha dereva huyo? Yaani hata mke wake na watoto wake hawajui aliko? Na hawajui kama yu mzima. Polisi wamemsaka kila mahali hawampati. KKKT wala hawajakemea au kuliona hili.
Hizo video zote ni fake video, zimetengenezwa studio na kupachikwa tuu picha za Henri Kisanduka, ila sio yeye. Mtu. Halisi aliyemtishia Nape bastola, ni mtu asiyejulikana, sio polisi, na bado anatafutwa!.Duuh!!Nimeona Video za Huyu bwana....Hakika Jeshi letu la Polisi lijitathmini.