Tetesi: Inadaiwa aliyemtolea Nape bastola aonekana akisindikiza msafara wa viongozi CHADEMA kwenda mahabusu

Tetesi: Inadaiwa aliyemtolea Nape bastola aonekana akisindikiza msafara wa viongozi CHADEMA kwenda mahabusu

kama una acces ya kuingia insta ya Mange kaangalie zile video jinsi huyo jamaa alivyokuwa namsogelea Mbowe mpaka nimeogopa
 
Unasema alichomoa bastola na kutishia kumpiga nape.!! We ni KE au ME?? Hivi uliona vizuri..aliitoa baada ya nape kumuuliza ye ni nani..kwamba ye ni mwana usalama ndio maana yuko pale..na aliitoa na kuirudisha kiunoni mara moja.
Ko kutoa bastora ndo kitambulisho cha uana usalama? Omba Mungu akurudishie akili zako Sio kua mtumwa kiasi hicho
 
View attachment 726981

Kuna tetesi zinadai kwamba yule jamaa aliyetumwa na bashite kumtolea bastora Nnape Nnauye Ndio huyo hapo nyuma ya viongozi wa Chadema wkt wanapelekwa mahakamani.

Kwanini yuko hapo ? Yeye ni nani ? Katumwa na nani ?

Henry Kisanduku mtu aliyemchomolea bastola Nape Nnauye na kutishia kumpiga risasi, ndiye aliyepewa jukumu la kuwapeleka akina Mbowe mahakamani kutoka kituo kikuu cha Polisi Dar. Mwaka jana Waziri Mwigulu Nchemba alikanusha vikali kwamba mtu huyo si askari polisi.

Ikiwa si polisi kama alivyosema Nape, kwanini afanye kazi za Polisi? Kwanini apewe jukumu la kuwaescort akina Mbowe kwenda mahakamani? Polisi wamempaje kazi mtu asiye polisi apeleke watuhumiwa mahakamani? Huu ujasiri wa kufanya kazi za polisi wakati si polisi ameutoa wapi? Na kwani ni kwenye kesi ya akina Mbowe na si nyingine? I smell something fishy.!!
Ningekuwa na kisu ningewakata hivyo vidole vyao. Maana hiyo ni alama ya shetani
 
Hawa ndugu zetu wa ccm hawajui kuwa kadri wanavyowatesa wapinzani ndivyo wanavyozidi kuwa popularity na kuwa kuza zaidi,walipaswa kuwaacha wanasiasa wafanye siasa kwa amani!
Ccm wana undugu na chadwema kweli??ccm awàezi kuwa na undugu na watu wabaya kama nyie
 
Sasa simumuachie (matekani) huyo dereva wa Lissu akamtambue? Kwa nini mnaendelea kumficha dereva huyo? Yaani hata mke wake na watoto wake hawajui aliko? Na hawajui kama yu mzima. Polisi wamemsaka kila mahali hawampati. KKKT wala hawajakemea au kuliona hili.
Vipi bwana, unataka kupoteza ushahidi?
 
Duuh!!Nimeona Video za Huyu bwana....Hakika Jeshi letu la Polisi lijitathmini.
Hizo video zote ni fake video, zimetengenezwa studio na kupachikwa tuu picha za Henri Kisanduka, ila sio yeye. Mtu. Halisi aliyemtishia Nape bastola, ni mtu asiyejulikana, sio polisi, na bado anatafutwa!.

Hata aliyempiga risasi Akwiline pia hajulikani!, ndio maana Mbowe na viongozi wa Chadema wanashikiliwa kwa mauaji hayo.

Na Dereva wa Lissu akipatikana, atashitakiwa kwa shambulio la Lissu.

Huu ndio utekelezaji wa sheria wa awamu hii.

P
 
Back
Top Bottom