[emoji2] [emoji2] [emoji2] we jamaa hatari!!!!Hizo video zote ni fake video, zimetengenezwa studio na kupachikwa tuu picha za Henri Kisanduka, ila sio yeye. Mtu. Halisi aliyemtishia Nape bastola, ni mtu asiyejulikana, sio polisi, na bado anatafutwa!.
Hata aliyempiga risasi Akwiline pia hajulikani!, ndio maana Mbowe na viongozi wa Chadema wanashikiliwa kwa mauaji hayo.
Na Dereva wa Lissu akipatikana, atashitakiwa kwa shambulio la Lissu.
Huu ndio utekelezaji wa sheria wa awamu hii.
P
Kweli aisee, watu wanatengeneza video alaf wanarusha kwny mitandao, tangu lini watu wasiojulikana wakajulikana kiboya boya,Hizo video zote ni fake video, zimetengenezwa studio na kupachikwa tuu picha za Henri Kisanduka, ila sio yeye. Mtu. Halisi aliyemtishia Nape bastola, ni mtu asiyejulikana, sio polisi, na bado anatafutwa!.
Hata aliyempiga risasi Akwiline pia hajulikani!, ndio maana Mbowe na viongozi wa Chadema wanashikiliwa kwa mauaji hayo.
Na Dereva wa Lissu akipatikana, atashitakiwa kwa shambulio la Lissu.
Huu ndio utekelezaji wa sheria wa awamu hii.
P
Pascal umemaliza kila kitu, tunaomba mtoa mada ufunge mjadala.Hizo video zote ni fake video, zimetengenezwa studio na kupachikwa tuu picha za Henri Kisanduka, ila sio yeye. Mtu. Halisi aliyemtishia Nape bastola, ni mtu asiyejulikana, sio polisi, na bado anatafutwa!.
Hata aliyempiga risasi Akwiline pia hajulikani!, ndio maana Mbowe na viongozi wa Chadema wanashikiliwa kwa mauaji hayo.
Na Dereva wa Lissu akipatikana, atashitakiwa kwa shambulio la Lissu.
Huu ndio utekelezaji wa sheria wa awamu hii.
P
Pole pole mzee bado tubakupenda.Hizo video zote ni fake video, zimetengenezwa studio na kupachikwa tuu picha za Henri Kisanduka, ila sio yeye. Mtu. Halisi aliyemtishia Nape bastola, ni mtu asiyejulikana, sio polisi, na bado anatafutwa!.
Hata aliyempiga risasi Akwiline pia hajulikani!, ndio maana Mbowe na viongozi wa Chadema wanashikiliwa kwa mauaji hayo.
Na Dereva wa Lissu akipatikana, atashitakiwa kwa shambulio la Lissu.
Huu ndio utekelezaji wa sheria wa awamu hii.
P
Ulishakutana na shetani akakwambia kuwa hiyo ndio alama yake?Ningekuwa na kisu ningewakata hivyo vidole vyao. Maana hiyo ni alama ya shetani
Akili yako imejaa makohozi ya ccm!Ccm wana undugu na chadwema kweli??ccm awàezi kuwa na undugu na watu wabaya kama nyie
Haishindi ya kwako ila kazi mnayo ndugu zako wanalia pasaka sero mwaka huu.Akili yako imejaa makohozi ya ccm!
Bro Pascal, wenye mtindio wa ubongo kamwe hawatakuelewa. wavumilie.Hizo video zote ni fake video, zimetengenezwa studio na kupachikwa tuu picha za Henri Kisanduka, ila sio yeye. Mtu. Halisi aliyemtishia Nape bastola, ni mtu asiyejulikana, sio polisi, na bado anatafutwa!.
Hata aliyempiga risasi Akwiline pia hajulikani!, ndio maana Mbowe na viongozi wa Chadema wanashikiliwa kwa mauaji hayo.
Na Dereva wa Lissu akipatikana, atashitakiwa kwa shambulio la Lissu.
Huu ndio utekelezaji wa sheria wa awamu hii.
P
Hash tag to luge mutahabaKwa mara nyingine tena teknolojia imewaacha uchi CCM na vibaraka wake.
View attachment 726981
Kuna tetesi zinadai kwamba yule jamaa aliyetumwa na bashite kumtolea bastora Nnape Nnauye Ndio huyo hapo nyuma ya viongozi wa Chadema wkt wanapelekwa mahakamani.
Kwanini yuko hapo ? Yeye ni nani ? Katumwa na nani ?
Henry Kisanduku mtu aliyemchomolea bastola Nape Nnauye na kutishia kumpiga risasi, ndiye aliyepewa jukumu la kuwapeleka akina Mbowe mahakamani kutoka kituo kikuu cha Polisi Dar. Mwaka jana Waziri Mwigulu Nchemba alikanusha vikali kwamba mtu huyo si askari polisi.
Ikiwa si polisi kama alivyosema Nape, kwanini afanye kazi za Polisi? Kwanini apewe jukumu la kuwaescort akina Mbowe kwenda mahakamani? Polisi wamempaje kazi mtu asiye polisi apeleke watuhumiwa mahakamani? Huu ujasiri wa kufanya kazi za polisi wakati si polisi ameutoa wapi? Na kwani ni kwenye kesi ya akina Mbowe na si nyingine? I smell something fishy.!!
Kila jambo baya analolitenda mwanadamu malipo huwa ni hapa hapa DunianiHaishindi ya kwako ila kazi mnayo ndugu zako wanalia pasaka sero mwaka huu.
sasa wewe ulikuwa unaulizia picha nimekuwekea unaanza kusema sijui kuongea na wafungwa sijui nini, je umeona kuwa huyu ndie aliyemtolea nape bastola?Sasa kwani na huko jela hawaongei na wafungwa.. mnachekesha kweli kweli na fikra finyu