Tetesi: Inadaiwa aliyemtolea Nape bastola aonekana akisindikiza msafara wa viongozi CHADEMA kwenda mahabusu

Tetesi: Inadaiwa aliyemtolea Nape bastola aonekana akisindikiza msafara wa viongozi CHADEMA kwenda mahabusu

Hizo video zote ni fake video, zimetengenezwa studio na kupachikwa tuu picha za Henri Kisanduka, ila sio yeye. Mtu. Halisi aliyemtishia Nape bastola, ni mtu asiyejulikana, sio polisi, na bado anatafutwa!.

Hata aliyempiga risasi Akwiline pia hajulikani!, ndio maana Mbowe na viongozi wa Chadema wanashikiliwa kwa mauaji hayo.

Na Dereva wa Lissu akipatikana, atashitakiwa kwa shambulio la Lissu.

Huu ndio utekelezaji wa sheria wa awamu hii.

P
[emoji2] [emoji2] [emoji2] we jamaa hatari!!!!
 
Hizo video zote ni fake video, zimetengenezwa studio na kupachikwa tuu picha za Henri Kisanduka, ila sio yeye. Mtu. Halisi aliyemtishia Nape bastola, ni mtu asiyejulikana, sio polisi, na bado anatafutwa!.

Hata aliyempiga risasi Akwiline pia hajulikani!, ndio maana Mbowe na viongozi wa Chadema wanashikiliwa kwa mauaji hayo.

Na Dereva wa Lissu akipatikana, atashitakiwa kwa shambulio la Lissu.

Huu ndio utekelezaji wa sheria wa awamu hii.

P
Kweli aisee, watu wanatengeneza video alaf wanarusha kwny mitandao, tangu lini watu wasiojulikana wakajulikana kiboya boya,
Makofi; pah pah pah pah, mjadala umeisha
 
Hizo video zote ni fake video, zimetengenezwa studio na kupachikwa tuu picha za Henri Kisanduka, ila sio yeye. Mtu. Halisi aliyemtishia Nape bastola, ni mtu asiyejulikana, sio polisi, na bado anatafutwa!.

Hata aliyempiga risasi Akwiline pia hajulikani!, ndio maana Mbowe na viongozi wa Chadema wanashikiliwa kwa mauaji hayo.

Na Dereva wa Lissu akipatikana, atashitakiwa kwa shambulio la Lissu.

Huu ndio utekelezaji wa sheria wa awamu hii.

P
Pascal umemaliza kila kitu, tunaomba mtoa mada ufunge mjadala.
 
Hizo video zote ni fake video, zimetengenezwa studio na kupachikwa tuu picha za Henri Kisanduka, ila sio yeye. Mtu. Halisi aliyemtishia Nape bastola, ni mtu asiyejulikana, sio polisi, na bado anatafutwa!.

Hata aliyempiga risasi Akwiline pia hajulikani!, ndio maana Mbowe na viongozi wa Chadema wanashikiliwa kwa mauaji hayo.

Na Dereva wa Lissu akipatikana, atashitakiwa kwa shambulio la Lissu.

Huu ndio utekelezaji wa sheria wa awamu hii.

P
Pole pole mzee bado tubakupenda.
Yaliyofanyika gizani yatajulikana hadharani!!
 
Hawaumii, hawalii, hawaombolezi, hawadhalilishwi, hawatekwi, viongozi wao hawana hofu ya usalama, ndio maana hawajali maneno yenu, hisia zenu. Ikitokea wajikuta upande huu siku moja, watasema hapana tukae meza moja tuyamalize.tusameheane kwa yaligopita tuwe kitu kimoja, utasikia lugha zote za kiungwana. Mungu awape kuona.
 
Hizo video zote ni fake video, zimetengenezwa studio na kupachikwa tuu picha za Henri Kisanduka, ila sio yeye. Mtu. Halisi aliyemtishia Nape bastola, ni mtu asiyejulikana, sio polisi, na bado anatafutwa!.

Hata aliyempiga risasi Akwiline pia hajulikani!, ndio maana Mbowe na viongozi wa Chadema wanashikiliwa kwa mauaji hayo.

Na Dereva wa Lissu akipatikana, atashitakiwa kwa shambulio la Lissu.

Huu ndio utekelezaji wa sheria wa awamu hii.

P
Bro Pascal, wenye mtindio wa ubongo kamwe hawatakuelewa. wavumilie.
 
Aliyemtolea silaha Nape hayuko sawa. Yuko tayari kwa lolote. Ninadhani yuko kama yule boss anayekula na kupanda vyeo kutokana na malipo ya uharifu dhidi ya binadamu.

1). Kumtolea Nape silaha hadharani, hakufanywi na mtu wa kawaida.

2). Aliyempiga tundu lisu nasikia alikuwemo mtu mrefu mrefu, mweusi na si mnene.

3). Kama akina Mbowe wanasindikizwa na mtu wa kariba hiyo, si ajabu yuko katika mission nyingine. Wajihadhari na makinikia.

Mungu Irehemu Nchi.


View attachment 726981

Kuna tetesi zinadai kwamba yule jamaa aliyetumwa na bashite kumtolea bastora Nnape Nnauye Ndio huyo hapo nyuma ya viongozi wa Chadema wkt wanapelekwa mahakamani.

Kwanini yuko hapo ? Yeye ni nani ? Katumwa na nani ?

Henry Kisanduku mtu aliyemchomolea bastola Nape Nnauye na kutishia kumpiga risasi, ndiye aliyepewa jukumu la kuwapeleka akina Mbowe mahakamani kutoka kituo kikuu cha Polisi Dar. Mwaka jana Waziri Mwigulu Nchemba alikanusha vikali kwamba mtu huyo si askari polisi.

Ikiwa si polisi kama alivyosema Nape, kwanini afanye kazi za Polisi? Kwanini apewe jukumu la kuwaescort akina Mbowe kwenda mahakamani? Polisi wamempaje kazi mtu asiye polisi apeleke watuhumiwa mahakamani? Huu ujasiri wa kufanya kazi za polisi wakati si polisi ameutoa wapi? Na kwani ni kwenye kesi ya akina Mbowe na si nyingine? I smell something fishy.!!
 
Haishindi ya kwako ila kazi mnayo ndugu zako wanalia pasaka sero mwaka huu.
Kila jambo baya analolitenda mwanadamu malipo huwa ni hapa hapa Duniani
Kumbuka upande wako umehusika kwenye matukio mengi maovu lkn watu wapo kimya...Mungu atawalipa kwa wakati wake!
 
Sasa kwani na huko jela hawaongei na wafungwa.. mnachekesha kweli kweli na fikra finyu
sasa wewe ulikuwa unaulizia picha nimekuwekea unaanza kusema sijui kuongea na wafungwa sijui nini, je umeona kuwa huyu ndie aliyemtolea nape bastola?
 
uongo unakua ukweli, kisandu siye aliyemtolea bastola Nape.
 
Back
Top Bottom