Tetesi: Inadaiwa aliyemtolea Nape bastola aonekana akisindikiza msafara wa viongozi CHADEMA kwenda mahabusu

Yawezekana pia huna uhakika wewe ni jinsia(jinsi)gani,endelea kutokuwa na uhakika na mambo yaliyodhahiri.
Mambo gani yaliyodhahiri


Na huyo chalii makusudi kapelekwa kusindikiza hilo gari ili vilaza kama nyie muanze maneno

Acheni kuwa bendera fuata upepo


Mjinga pekee ataamini huyu ndio aliyemtolea Nape Bastola ,..huyu chalii mfupi na baunsa ,yule aliyemtolea bastola Nape mrefu na mwembamba
.
Kuhusu jinsia yangu hata nikiwa shemale haikuhusu
 
uongo unakua ukweli, kisandu siye aliyemtolea bastola Nape.
Nashangaa ase na hii ni Mange kadownload picha ya kisandu alivyokuwa anatembea na Rc makonda kisha akaanza kueneza uzushi



Kisandu baunsa na kimo si mrefu yule aliyemtolea Nape bastola mrefu na mwembamba

Tatizo Mange kasema utaeleweka ndugu
 
Ina maana kina mbowe wapo chini ya jeshi la watu wasiojulikana Kikosi kazi maalumu cha Bashite.Hawa watu wabaya sana huyo kuna jambo analovizia sii bure.Iweje waziri aseme sii askari wake??

Mwigulu Nchemba unajidhalilisha sana
 
Inaelekea unamwogopa Kisanduku
 
Nilimuona nikashtuka sana.
Ndio Tanzania yetu vumilieni tu.
 
Hawa mafarisayo ipo siku nayo yataonja joto ya jiwe. Haikubaliki kila siku kuwambambika watu kesi bila sababu za msingi. Twits at their best!
 
Muueni mnalalamika humu iweje sasa???mmemuona muue sisi wananchi hatuna cha kuwasaidieni,you have to revenge sivyo mnajuana nao bwana!!

sawa!!
 
Yakitokea ya Zimbabwe hawa ndiyo wahuni wakusakwa..na wengineo wengi tu wanaojiita wasiojulikana..
 
awamu ya Magufuli kama unamasilahi kwa upande wa ccm wewe unatumika tu, kweli Magufuli anazidi kuaibika kila kukicha
 
maCCM ni matutusa makubwa kupata kutokea hapa duniani.
 
Ndiyo yeye huyo Mkuu angalia hii kofia kwenye hii link. Kapiga chuma kwa sana kaongeza muscles.


 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…