Naweza kuungana na wewe.Hii tabia ya Polisi kuishiwa mafuta na kuja kuomba kwenye taasisi imekithiri.
Serikali na Wizara ya mambo ya ndani mna mambo ya kipumbavu sana yaani idara nyeti za ulinzi wa raia zinaishiwa vitu vya msingi kama hivyo? Angalia hata magari ya Polisi nk vimechakaa hatari.
Kwa nini Serikali hamuwatengei Jeshi la Polisi mahitaji Yao na kuleta Kwa wakati.?
Tunarekebisha mafao ya wenza wa viongozi tutawarudia baadae kidogo mkuu naripoti kutoka lumumba.Naweza kuungana na wewe.Hii tabia ya Polisi kuishiwa mafuta na kuja kuomba kwenye taasisi imekithiri.
Serikali na Wizara ya mambo ya ndani mna mambo ya kipumbavu sana yaani idara nyeti za ulinzi wa raia zinaishiwa vitu vya msingi kama hivyo? Angalia hata magari ya Polisi nk vimechakaa hatari.
Kwa nini Serikali hamuwatengei Jeshi la Polisi mahitaji Yao na kuleta Kwa wakati.?
Ushauri mzuri sana huuKama wewe ni mwandishi ni wazi unafahamu fika mhariri ana haki ya kukataa sababu ni stori ya upande mmoja. Uonevu mnaofanyiwa ni sababu ya kukosa kuwa na umoja.
Ushauri wangu ni mgumu ila ndio utakaoweza kuwasaidia; kwa magereza ya Dar es salaam na mikoani nyie wenye vyeo vya chini hakikisheni siku moja mnafanya uamuzi mgumu ambao matokeo yake yatakuwa ni GUMZO LA KITAIFA.
WAACHENI WAFUNGWA NA MAHABUSU WAWE HURU.
Matokeo yake yatakuwa ni uwajibikaji jumuishi na hakuna atakayekuwa msafi na kuweza kumuwajibisha mwenzake.
Am sure baada ya andiko hili na kabla ya ushauri wangu wa kipuuzi haujaanza kufanyiwa kazi na kutekelezwa mamlaka husika zitajipanga kuwalipa stahiki zenu na haki zenu.
eti askari wanajigharamikia kuwasafirisha wafungwa mkoani, wewe, nyara ya serikali haisafirishwi hovyohovyo.......Mimi ni mwandishi katika moja ya magazeti hapa Nchini Tanzania na memba wa miaka mingi wa Jamii Forums, katika majukumu yangu nimefanikiwa kupata nafasi ya kuandika makala na habari mbalimbali za kijamii, kuna hii moja kuhusu Jeshi la Magereza, nilivyomgusia Mhariri wangu akakataa kuitumia.
Nikaona kuliko kuwa kimya bora na kwa kuwa nimeshaifanya bora nitumie platform ya JF kufikisha ujumbe huu hata kama sitajulikana lakini naamini nitakuwa nimewasaidia Watanzania wenzangu wengi kama mamlaka zitaamua kuchukua hatua:
Makala yenyewe inahusu hivi:
Baadhi ya Askari wa Magereza wa Gereza la Ukonga Jijini Dar es Salaam inadaiwa wanajigharamikia kuwasafirisha watuhumiwa kwenda mikoani bila kurejeshewa pesa zao kwa wakati huku wakidai kuna ubaguzi katika kulipa pesa hiyo.
Mmoja kati ya maofisa wa Gereza hilo ambaye hakutaka jina lake litajwe amedai changamoto hiyo ni kubwa ambapo amedai wanaodai pesa yao ni wengi lakini hawana sehemu ya kueleza kero hiyo kwa kuwa mazingira yaliyopo ni kwamba Askari akikosoa suala hilo au kuhoji anatishiwa kuhamishwa kupelekwa maeneo ya pembezoni, hali hiyo imeendelea kuwafanya wawe na hofu ya kueleza changamoto zao.
"Malalamiko makubwa ambayo yapo kwetu ni kwamba tunadai kuanzia malipo yetu ya kuanzia Mwaka 2015 mpaka mwaka huu (2023) lakini inaonekana kwamba madeni ya 2015 yameshalipwa na yamefutwa lakini walilipwa watu wachache sana wengine hatukulipwa" ameeleza Ofisa huyo.
Anaendelea kueleza "Na sasa hivi wanasema watalipa madeni kwamba waliomba Shilingi Bilioni 6 lakini wamepewa Shilingi Bilioni 3, cha kushangaza mfano mimi kuna watu unaweza kwenda nao safari wao wanalipwa baada ya kutumia gharama zao lakini wewe ulipwi miaka na miaka.
“Wanaopewa kipaumbele cha kulipwa kama mkisafiri nao mara nyingi ni wale Maafisa wakubwa lakini wenzangu na mimi huku chini Mungu saidia.
“Hakuna sababu za wazi kwa nini hawatulipi, tunahisi kuna upigaji maana wanajua hakuna wa kusema popote huo ndio utamaduni uliojengwa.
"Yaani kinachoonekana zile hela zimeshatolewa lakini watu wamezipiga na kila tunapojaribu kuhoji chinichini tunatishiwa kuhamishwa kupelekwa porini ambako huwezi kuonana na mtu yeyote anayeweza kukusaidia.
"Tunaomba mtusaidie sisi kupaza sauti hatuna pa kusemea tunapokuwa tunasema wanatukandamiza tunaonekana kabisa tunaonewa na ukitaka kusema utaambiwa askari unatakiwa kuwa mvumilivu.
"Mfano inapotokea unampeleka mtuhumiwa Tabora, Mwanza, Mbeya, Kagera au Rukwa yule mtuhumiwa analipiwa nauli na kila kitu na Serikali lakini mimi nauli najigharamikia, hela ya gesti mimi, nauli na chakula kila kitu mimi unakuta tayari nimeshadhulumu familia yangu kisha malipo yenyewe yanakaa kwa muda mrefu.
“Unaweza kukuta yamekaa miaka saba ndio mnakuja kulipwa na kulipwa kwenyewe hamlipwi madeni yote," anasema Ofisa huyo.
Anadai kuwa changamoto hiyo pia ipo kwenye baadhi ya magereza mengine yaliyopo Nchini.
Katika kufahamu sababu ambazo upelekea watuhumiwa kutumia usafiri wa umma Ofisa huyo anasema "Kulingana na kwamba magari ni shida tunatumia mabasi na tunalipa nauli kutoka mifukoni mwetu."
Aidha, Ofisa mwingine (jina kapuni) kutoka Gereza la Ukonga amedai changamoto hiyo hipo lakini kumekuwepo na hofu kubwa ya wadai kuchukua hatua kutokana na mazingira yanayowazunguka.
"Hili jambo tungekuwa kwenye sekta nyingine lingeshasikika sana lakini huku sisi hatuna sauti, tunaumia sana, wanakwambia uende na risiti, lakini inapita miaka bila kulipwa, tunavunjika moyo tunaomba mtusemee sisi huku atuwezi kusema utaamka asubuhi umeamishwa."
Naongeza kuwa kutokana kuwepo kwa utamaduni wa hofu imepelekea pia baadhi ya Askari Magereza kukosa pesa za likizo pamoja na pesa nyingine ambazo utakiwa kutolewa kwa nyakati tofauti kulingana na taratibu.
😂🤣Sasa si mzanzibari huyohiyo wizara imejaaa vibaka tupu.kawekwa huyo amee hajui hata kufoka amepooza kama udenda wa mgonjwa.
kuna wizara huwa zinapewa watu waliouzubaa kimkakati.
by the way wenye kuamua swala hilo ni askari wenyewe,huwezi isaidia serikali iliyojisahau kwenye majukumu yake halafu ukaanza kulalamika.
Eeh wamejaa vilaza hukoWakiambiwa ni wizara ya form four failures wanawaka, ndiyo maana hata wakipewa budget nzima ya nchi hawatafanikiwa
eti askari wanajigharamikia kuwasafirisha wafungwa mkoani, wewe, nyara ya serikali haisafirishwi hovyohovyo.......
we sema tu askari magereza wana malimbikizo ya madeni yao mbalimbali ya muda mrefu hayajalipwa, na hilo ni kweli lipo kwenye taasisi mbalimbali nchini na mara kadhaa serikali imeshalitolea maelezo na polepole madeni yale yameanza kulipwa kulipwa,
na huenda mnyetishaji wa taarrifa hii hajafikiwa bado,
na kwasabb anaamini atalipwa ndio maana ananyetisha taarifa kwa kificho.
Ni uvumilivu na subra ndio tabu miongoni mwa watumishi ndio maana jambo hili linawasiliswa kwa hisia na kwa namna mbalimbali kwa umma , lakini Jambo hilo katika ujumla wake Ni malimbikizo ya madai mbalimbali ya watumishi taasisi mbalimbali.
Hakuna askari mwenye akili inayojitegemeaEeh wamejaa vilaza huko
Fomu foo felia
Hii kali.Kama wewe ni mwandishi ni wazi unafahamu fika mhariri ana haki ya kukataa sababu ni stori ya upande mmoja. Uonevu mnaofanyiwa ni sababu ya kukosa kuwa na umoja.
Ushauri wangu ni mgumu ila ndio utakaoweza kuwasaidia; kwa magereza ya Dar es salaam na mikoani nyie wenye vyeo vya chini hakikisheni siku moja mnafanya uamuzi mgumu ambao matokeo yake yatakuwa ni GUMZO LA KITAIFA.
WAACHENI WAFUNGWA NA MAHABUSU WAWE HURU.
Matokeo yake yatakuwa ni uwajibikaji jumuishi na hakuna atakayekuwa msafi na kuweza kumuwajibisha mwenzake.
Am sure baada ya andiko hili na kabla ya ushauri wangu wa kipuuzi haujaanza kufanyiwa kazi na kutekelezwa mamlaka husika zitajipanga kuwalipa stahiki zenu na haki zenu.
suala la kikokotoo si suala la askari pekee, ni suala la jumla kwenye ajira sekta binafsi watumishi wale wana maoni, malalamiko na Mapendekezo yao juu ya kikokotoo na fao la kujitoa na vilevile sekta ya umma kuna Mapendekezo, malalamiko na maoni yao juu ya kikokotoo.msemaji wa serikali wizara ya mambo ya ndani,vipi kuhusu kikokotoo kwa askari ni kweli kwamba serikali haioni ama imeona inapuuzia???
AhahahaHii ni askari magereza hapo bado askari wapelelezi hawajaongea... Ukienda kufungua kesi polisi na kama mtuhumiwa ni wa kukamatwa hapo ndio utajua kwanini tunaililia Tanganyika... Na heri mtuhumiwa awe hayuko mbali utagharamia pesa ndogo kama usafiri ama kujaza mafuta gari ya polisi na posho yao kidogo(rushwa)
Kama yuko mkoa na ukiangaliwa unajiweza kidogo utagharamia
Chakula
Usafiri
Malazi
Pishi
Mpaka vinywaji vya mpelelezi
Mazingira haya yamesababisha madhila kwa wengi hasa kwenye upande wa kukosa haki, kukomoana na kubambikiana kesi.. Always mwenye nacho akipewa haki zote!
Imagine unagharamikia kwenda kumkamata mtuhumiwa wako.. Mkifika huko akaonekana anajiweza anaanza kupewa VIP treatment hukohuko na mkifika kituoni si ajabu ukageuziwa kibao wewe mwenye mtuhumiwa wako.. Haya yameshatokea sana.. Kuna mfano halisi nitatoa hapo chini[emoji1541][emoji1541][emoji1541]
Mwaka 2005 kuna mwananchi alitapeliwa shilingi milion kumi Kwenye biashara fulani na raia mmoja wa Kigeni (mzungu).. Baadae mzungu akakubali kurudisha ile pesa lakini sound zikawa nyingi mpaka jamaa akaamua kwenda police
Kwakuwa eneo la tukio lilikuwa Mikocheni hivyo alienda Oysterbay police.. Kufika akafungua kesi na kuambiwa inabidi kwenda kumkamata mtuhumiwa lakini hawakuwa na mafuta.. Jamaa akajitolea gari lake..
Wakaenda mpaka anapoishi mzungu kufika dogo akaachwa kwenye gari.. Wakaingia ndani maaskari wawili alioenda naye
Baada ya kama dk 20 hivi akatoka askari mmoja na kumwambia yule mwananchi aondoke kwanza watamtaarifu aende kituoni kesho yake kwakuwa wanafanya mawasiliano na ubalozini na kwamba kuna afisa ataenda pale
Japo alitia shaka kidogo lakini akaamua kuwaamini.. Hapo walishakubaliana pesa ikilipwa wale maaskari atawapa milion moja na wakawa tayari wameshachukua laki mbili..
Inaendelea....
Sent using Jamii Forums mobile app
mambo mengine umeyaeleza sawa sawia, ila hicho kitanganyika huwa ni kinini?Hii ni askari magereza hapo bado askari wapelelezi hawajaongea... Ukienda kufungua kesi polisi na kama mtuhumiwa ni wa kukamatwa hapo ndio utajua kwanini tunaililia Tanganyika... Na heri mtuhumiwa awe hayuko mbali utagharamia pesa ndogo kama usafiri ama kujaza mafuta gari ya polisi na posho yao kidogo(rushwa)
Kama yuko mkoa na ukiangaliwa unajiweza kidogo utagharamia
Chakula
Usafiri
Malazi
Pishi
Mpaka vinywaji vya mpelelezi
Mazingira haya yamesababisha madhila kwa wengi hasa kwenye upande wa kukosa haki, kukomoana na kubambikiana kesi.. Always mwenye nacho akipewa haki zote!
Imagine unagharamikia kwenda kumkamata mtuhumiwa wako.. Mkifika huko akaonekana anajiweza anaanza kupewa VIP treatment hukohuko na mkifika kituoni si ajabu ukageuziwa kibao wewe mwenye mtuhumiwa wako.. Haya yameshatokea sana.. Kuna mfano halisi nitatoa hapo chini[emoji1541][emoji1541][emoji1541]
Mwaka 2005 kuna mwananchi alitapeliwa shilingi milion kumi Kwenye biashara fulani na raia mmoja wa Kigeni (mzungu).. Baadae mzungu akakubali kurudisha ile pesa lakini sound zikawa nyingi mpaka jamaa akaamua kwenda police
Kwakuwa eneo la tukio lilikuwa Mikocheni hivyo alienda Oysterbay police.. Kufika akafungua kesi na kuambiwa inabidi kwenda kumkamata mtuhumiwa lakini hawakuwa na mafuta.. Jamaa akajitolea gari lake..
Wakaenda mpaka anapoishi mzungu kufika dogo akaachwa kwenye gari.. Wakaingia ndani maaskari wawili alioenda naye
Baada ya kama dk 20 hivi akatoka askari mmoja na kumwambia yule mwananchi aondoke kwanza watamtaarifu aende kituoni kesho yake kwakuwa wanafanya mawasiliano na ubalozini na kwamba kuna afisa ataenda pale
Japo alitia shaka kidogo lakini akaamua kuwaamini.. Hapo walishakubaliana pesa ikilipwa wale maaskari atawapa milion moja na wakawa tayari wameshachukua laki mbili..
Inaendelea....
Sent using Jamii Forums mobile app
suala la kikokotoo si suala la askari pekee, ni suala la jumla kwenye ajira sekta binafsi watumishi wale wana maoni, malalamiko na Mapendekezo yao juu ya kikokotoo na fao la kujitoa na vilevile sekta ya umma kuna Mapendekezo, malalamiko na maoni yao juu ya kikokotoo.
Serikali sikivu na imara iko kazini, na katika bajeti ya mwaka ujao wa fedha majawabu mujarabu yatatolewa kuhusu jambo hili la kikokotoo...
Ni Taifa tukuka la Tanganyika[emoji173]mambo mengine umeyaeleza sawa sawia, ila hicho kitanganyika huwa ni kinini?
la watu wa kale right?
Mafuta yanakuja kwa bajeti ,ishu pesa serikali ni kuwa na mlolongo mrefu katika kuclaim ndio tatizo...Mafuta ya taasisi nani anayaminya?
Yaani usafirishaje mfungwa Kwa pesa Yako ya mfukoni?