DOKEZO Inadaiwa Askari Magereza wa Ukonga wanajigharamikia wenyewe wanaposafirisha Wafungwa

DOKEZO Inadaiwa Askari Magereza wa Ukonga wanajigharamikia wenyewe wanaposafirisha Wafungwa

  • Thread starter Thread starter Anonymous
  • Start date Start date
Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Inaendelea...
Kilichotokea ni kwamba wale maaskari walipofika kwa mzungu wakaona hapa kuna dili... Hivyo wakamtishatisha pale kwamba anapelekwa mahabusu kisha mahakamani
Mzungu akalainika akaomba yaishe palepale lakini wakamkazia kwamba hiyo ngoma ni mpaka mahakamani.. Pona yake amlipe yule mwananchi pesa yake na wao awape dola 2000 halafu watampeleka mpaka airport asepe

Mzungu akaona hii imekaa njema akatoa dola elfu tano sawa na around milion kumi akawapa.. Kwahiyo yule askari aliyeshuka chini kumwambia mwananchi aondoke alikuwa tayari ana pesa yake yote lakini hakumpa hata mia

Aliporudi juu wakamwambia kila kitu kiko sawa hivyo afungashe fasta.. Mzungu akiwa anajifungasha wale maaskari wakapiga simu airport na kufanya booking ya siku ile usiku kwa mtuhumiwa aliyetakiwa kuondoka nchini maramoja
Wakaondoka na mzungu mpaka terminal hotel wakampa chumba apumzike mpaka usiku na mizigo awaachie waitangulize airport na kama ana pesa zake azifiche vizuri kwenye begi kubwa

Mzungu akaingia kingi, akamaliza nao chao kilichobaki akasunda kwenye begi wakamuacha chumbani wakaondoka na mabegi yake!
Walipoondoka na mabegi walifungua na kuchukua pesa yote usd 55,000, na usiku ulipofika wakampakia kwenye ndege akaondoka bila kujua keshapigwa!

Kesho yake yule mwananchi anafika polisi Oysterbay anaambiwa mtuhumiwa wake katoroka na wanamtafuta!

Sent using Jamii Forums mobile app
Mwisho wake ulikuwaje Kaka?

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Mafuta yanakuja kwa bajeti ,ishu pesa serikali ni kuwa na mlolongo mrefu katika kuclaim ndio tatizo...
Chukulia mfano kuna watu hapo Tamisemi wanadai pesa zao za kuanza kazi ni zaidi ya miezi bila bila ila baadhi wameshapewa.


Hiyo kusafirisha ni nadra sana kuwa na emergency ila nyingi ni scheduled ambayo ishatambulika kweny bajeti mapema na kama pesa washapewa ...Uhuni ni wizarani wakishirikiana na wakuu baadhi,kwa nn wengine wapate na wangine wasipate!?
Hao wapuuzi Huwa hawalipi Madeni Yao,Sijajua taasisi zingine ila nakofanyia kazi flow ya pesa Iko vizuri labda Kwa sababu fungu lake liko reinfenced
 
Mafuta yanakuja kwa bajeti ,ishu pesa serikali ni kuwa na mlolongo mrefu katika kuclaim ndio tatizo...
Chukulia mfano kuna watu hapo Tamisemi wanadai pesa zao za kuanza kazi ni zaidi ya miezi bila bila ila baadhi wameshapewa.


Hiyo kusafirisha ni nadra sana kuwa na emergency ila nyingi ni scheduled ambayo ishatambulika kweny bajeti mapema na kama pesa washapewa ...Uhuni ni wizarani wakishirikiana na wakuu baadhi,kwa nn wengine wapate na wangine wasipate!?

sasa ukitaka kujua mambo ya ndani kuna wahuni wasioelezeka,hiyo pesa ya kuanza maisha haipo watu hukopeshwa na hutakiwa kuilipa kwa mishahara yao.

ni ngumu sana kuiamini taasisi inayofanya kazi namna hii.
 
Kama wewe ni mwandishi ni wazi unafahamu fika mhariri ana haki ya kukataa sababu ni stori ya upande mmoja. Uonevu mnaofanyiwa ni sababu ya kukosa kuwa na umoja.

Ushauri wangu ni mgumu ila ndio utakaoweza kuwasaidia; kwa magereza ya Dar es salaam na mikoani nyie wenye vyeo vya chini hakikisheni siku moja mnafanya uamuzi mgumu ambao matokeo yake yatakuwa ni GUMZO LA KITAIFA.

WAACHENI WAFUNGWA NA MAHABUSU WAWE HURU.

Matokeo yake yatakuwa ni uwajibikaji jumuishi na hakuna atakayekuwa msafi na kuweza kumuwajibisha mwenzake.

Am sure baada ya andiko hili na kabla ya ushauri wangu wa kipuuzi haujaanza kufanyiwa kazi na kutekelezwa mamlaka husika zitajipanga kuwalipa stahiki zenu na haki zenu.
Kweli aisee,wafanye ivyo
 
Hawa askari wanazulumu sana raia, nishawahi enda magereza kipindi cha Magufuli one weekend (nayo ilikuwa zuluma na figisi za askari)

Wacha waonje tabu ya zuluma!

Wazulumiwe tu.
😄😀😅😃😃😁😁
 
😅😅😅Sisi kipind fulani chuo pesq ya kujikimu tunachelewa yaani hakuna sababu ya maana na pesa ni kusaini tu.
kumbe mpo mmejifucha humu hamtaki kuleta marejesho??
eeh upo wewe na nani humu kabla hatujakujia?
 
Uonevu wanaofanyiwa askari magereza sio sawa aisee yani katika kazi ngumu nilizowahi kuona ni kazi ya kuwa askari magereza. Wapeni haki zao na maslahi yao kwa Wakati askari magereza ni watu wa muhimu sana katika jamii na nchi kwa ujumla. Tena kuwaongezea mishahara na posho itapendeza sana. Naomba serikali ya rais Samia ilitazame na hili kwani Mama Samia hana Baya ni msikivu na mwenye hekima.
 
Back
Top Bottom