Inadaiwa baadhi ya majeshi ya Urusi yaliyokuwa Belarusi kwa ajili ya mazoezi ya Kijeshi yaanza kurudi, baada ya mazoezi kuisha

Inadaiwa baadhi ya majeshi ya Urusi yaliyokuwa Belarusi kwa ajili ya mazoezi ya Kijeshi yaanza kurudi, baada ya mazoezi kuisha

NATO mikwara yote mfukoni wametuma sana Marais wao kwenda kum bembeleza Putin asishushe mvua ya makombora Europe nakugeuza miji yao magofu.
Haha Russia ndo amesanda madai yake yamekataliwa na majeshi anaondoa. Ushindi Kwa Ukraine huu.
 
Acheni propaganda nyie warusi wa Mbagala kwa mfuga nyoka [emoji216] Russia katu haiwezi kuivamia Ukraine, akifanya hivyo nchi nzima wanaweza wakaokota makopo, wao wanalijua hilo vizuri sana.

Kwa ule uchumi wa Russia wakikaa vitani wiki mbili hakuna tena kitu uchumi wote utakuwa umesambaratika kabisa, vita sio mchezo.

Marekani bila kujihusisha na vita vya Iraq na Afghanistan leo hii uchumi wao ungekuwa mara mbili ya ulivyo sasa, ule wa China ungekuwa unaingia kwao mara mbili kabisa. Vita sio mchezo na Russia wanalifahamu hilo tena vizuri zaidi.
Tumekusikia mmarekani wa buza.
 
"Urusi aliwahi kuivamia Afghanistan akaikalia kwa miaka kumi. Nchi zilizokwenda kusaidia Afghanistan ili kumtoa Urusi ni Marekani na NATO,China, Pakistan,Saudi Arabia akiwasapoti kiuchumi akia Bin Laden na vitaifa vingine vidogovidogo.Lakini Mwamba alikaa miaka Kumi Hadi alipoamua kuondoa majeshi yake yaliyokuwepo Afghanistan na sehemu nyingine duniani baada ya kuona gharama ni kubwa mno za kuyahudimia majeshi"


Unajua msoto waliopata pale Afganistan. Wale mujahedeen ni balaa sana
Kwa kifupi Pale Afghan Urusi alikua anapigana na wababe wa Dunia nzima,lkn Alicheza nao miaka kumi.
 
Acha Kudanganya watu wewe. Urusi aliondoa Majeshi yake nchini Afghanistan baada ya Marekani kuwapelekea Mujahideen Siraha. Moja ya Siraha hizo ni STINGER Anti-Aircraft Missiles. Hizi zilitungua HELLICOPTER GUNSHIP Nyingi za Urusi mpaka Urusi akaacha kurusha Ndege kwenye Anga la Afghanistan.

Baada ya hapo,Urusi alikuja na Vifaru. Hapo Mujahideen wakazidiwa Sana na Urusi ikateka maeneo mengi ya Mashariki mwa Afghanistan ambayo yanapakana na Urusi. Ndipo CIA wakatoa mafunzo ya Kijeshi kwa Mujahideen hao ya jinsi ya kutumia Siraha Aina ya JAVERINE.

Baada ya Hapo,Marekani alimwaga makontena ya JAVERINE anti-Tank Missiles. Wewe acha kabisa,Vifaru zaidi ya 300 vya Urusi viligeuzwa kuwa wajivu kabisa.

Baada ya Hapo Urusi haikuwa na Chaguo Bali kuondoka TU Afghanistan.
Aliyefata nae ilikuwaje yupo au kaondoka?
 
Aliyefata nae ilikuwaje yupo au kaondoka?
Kama unasema USA Ngoja nikueleweshe Kidogo.

Marekani aliingia Afghanistan mwaka 2001 na kuisambaratisha Serikali iliyokuwa Chini ya Taliban. Taliban wote wakaelekea Msituni. Mimi kwangu huo nauita Ushindi wa Marekani Kijeshi nchini Afghanistan.

Mwaka 2021,Marekani ikaweka mkataba na Taliban wa Marekani kuondoa Majeshi yake Mara ifikapo tarehe 31 Agosti. Marekani ilifikia uamuzi huu baada ya Mashirika ya kimataifa Mara kwa Mara kukosoa Operation za Marekani nchini Afghanistan kwamba zinaua Raia wa nchi hiyo. Pia Taliban walikuwa wanajilipua Sokoni na Misikitini na kuua Raia wengi wa Afghanistan. Marekani ikapata shinikizo la kufanya Mazungumzo na Taliban ili waache kujilipua na kuacha Kuua Raia wa Afghanistan. Kuona hivyo,Marekani ikaona isiwe shida. Wakaiachia Jeshi la Serikali msala wa kupambana na Taliban. Baada ya kuondoka Majeshi ya Marekani,ndipo Taliban wakaipindua Serikali dhaifu ya Ashraf Ghan. Hapo Marekani ilishindwa Kisiasa nchini Afghanistan baada ya kushinda kijeshi mwaka 2001.

Kwa upande Mwingine,Urusi alishindwa vyote,Kijeshi na Kisiasa. Mjahideen walizitungua ndege Nyingi Sana za kijeshi za Urusi.
 
Kama unasema USA Ngoja nikueleweshe Kidogo.

Marekani aliingia Afghanistan mwaka 2001 na kuisambaratisha Serikali iliyokuwa Chini ya Taliban. Taliban wote wakaelekea Msituni. Mimi kwangu huo nauita Ushindi wa Marekani Kijeshi nchini Afghanistan.

Mwaka 2021,Marekani ikaweka mkataba na Taliban wa Marekani kuondoa Majeshi yake Mara ifikapo tarehe 31 Agosti. Marekani ilifikia uamuzi huu baada ya Mashirika ya kimataifa Mara kwa Mara kukosoa Operation za Marekani nchini Afghanistan kwamba zinaua Raia wa nchi hiyo. Pia Taliban walikuwa wanajilipua Sokoni na Misikitini na kuua Raia wengi wa Afghanistan. Marekani ikapata shinikizo la kufanya Mazungumzo na Taliban ili waache kujilipua na kuacha Kuua Raia wa Afghanistan. Kuona hivyo,Marekani ikaona isiwe shida. Wakaiachia Jeshi la Serikali msala wa kupambana na Taliban. Baada ya kuondoka Majeshi ya Marekani,ndipo Taliban wakaipindua Serikali dhaifu ya Ashraf Ghan. Hapo Marekani ilishindwa Kisiasa nchini Afghanistan baada ya kushinda kijeshi mwaka 2001.

Kwa upande Mwingine,Urusi alishindwa vyote,Kijeshi na Kisiasa. Mjahideen walizitungua ndege Nyingi Sana za kijeshi za Urusi.
Mwisho wa siku bado taliban wapo....
 
Kama unasema USA Ngoja nikueleweshe Kidogo.

Marekani aliingia Afghanistan mwaka 2001 na kuisambaratisha Serikali iliyokuwa Chini ya Taliban. Taliban wote wakaelekea Msituni. Mimi kwangu huo nauita Ushindi wa Marekani Kijeshi nchini Afghanistan.

Mwaka 2021,Marekani ikaweka mkataba na Taliban wa Marekani kuondoa Majeshi yake Mara ifikapo tarehe 31 Agosti. Marekani ilifikia uamuzi huu baada ya Mashirika ya kimataifa Mara kwa Mara kukosoa Operation za Marekani nchini Afghanistan kwamba zinaua Raia wa nchi hiyo. Pia Taliban walikuwa wanajilipua Sokoni na Misikitini na kuua Raia wengi wa Afghanistan. Marekani ikapata shinikizo la kufanya Mazungumzo na Taliban ili waache kujilipua na kuacha Kuua Raia wa Afghanistan. Kuona hivyo,Marekani ikaona isiwe shida. Wakaiachia Jeshi la Serikali msala wa kupambana na Taliban. Baada ya kuondoka Majeshi ya Marekani,ndipo Taliban wakaipindua Serikali dhaifu ya Ashraf Ghan. Hapo Marekani ilishindwa Kisiasa nchini Afghanistan baada ya kushinda kijeshi mwaka 2001.

Kwa upande Mwingine,Urusi alishindwa vyote,Kijeshi na Kisiasa. Mjahideen walizitungua ndege Nyingi Sana za kijeshi za Urusi.
ila US na NATO waliweza siunaona mpaka leo hii wapo Afghanistan
 
Russia karudi na kafanya kweli
Kafanya Nini? Nadhani hii ifike mahali kuvamiwa kwa Ukraine isitajwe Urusi, atajwe Putin. Ndio maana wanapigwa kama watoto. Tatizo kubwa la Urusi huwa ni Morali, vita yote wanayopigana wanapigwa kwa sababu ya kukosa Morali.
 
Back
Top Bottom