Tetesi: Inadaiwa CCM inatumia bilioni 12.8 katika mipango mkakati katika vikundi vitatu ambavyo ni ujasusi wa kusini na kanda ya kati

Tetesi: Inadaiwa CCM inatumia bilioni 12.8 katika mipango mkakati katika vikundi vitatu ambavyo ni ujasusi wa kusini na kanda ya kati

Duh! Hatari sana hii. Madaraka haya yatatumaliza kwa hakika kwani kuongozwa ni kwa lazima sasa hakuna hiari!
Na kusema kweli huku kitaa watu wamechafukwa na roho wanatapika hovyo! Jana nilibahatika kukaa na wajumbe wawili waliohudhuria kikao flank mtaani wakijilaumu kwa kukubali kupokea shilingi elfu kumi tu pamoja na kazi ngumu waliyoifanya ya kupita nyumba kwa nyumba kuhamasisha na kuoroshesha wanaccm!

Serikali za mitaa kama upinzani watashinda mwaka huu kwa mikakati ya ccm sijui kabisa kwasababu sasahivi hawalali usiku na mchana huko matawini wamepamba moto kwenye maandalizi.

Nadhani njia walizotumia kuwasotesha mahakamani wapinzani kuna wafanya wapinzani wafikirie kesi kuliko mipango ya matawi. Vyama vya upinzani mnapaswa kuunda kitu kinaitwa invisible part yaani chama kisichoonekana na wala kujitangaza ili kushinda ulaghai unaoendelea
 
Upinzani wamekosa sera, hawana mikakati, sasa wameanza vioja, this is a sign of failure, upinzani hawana jipya tena. CCM ina mipango, mikakati na sera bora kabisa kwa sasa, na mnaona maendeleo kwa macho chini ya Mwenyekiti wake mahiri kabisa, Mh. John Magufuli
Sera? Unaongea kitu gani! Tuna misimamo ya Sera kwenye maeneo makubwa 12 na maeneo madogo 48 na ndo sera mbadala wa CCM. Ukitaka nikupe usome. Na pia Kama hujui tuna FALSAFA inayotuongoza kwenye utawala na tuna ITIKADI inayotuongoza kwenye uchumi.
 
Nguvu ya CCM ipo kwenye Vyombo vya Dola! Hakuna tofauti ya Chama CCM na Dola, Vinginevyo mbona Wangekuwa Wameondolewa Zamani!
Suluhisho ni Raia Kujitambua, hilo tu.
Hiyo nguvu yao ya Dola mwisho mwakani. Tutawanyoosha Hawa jamaa kama watajifanya wanasaidia kupora ushindi
 
Hivi watu bado mnaangaika na siasa? Tuliishi wakati wa Nyerere tulikuwa na chama kimoja wakaendaaaa wakarudi vikaisha. Futeni vyama wabaki wenyewe na sisi vikongwe tupumue. Mateso tuliyoyapata wakati wa chama kimoja yanatosha. Subiri tuishe muanze tena vyama.
 
Kkwe

kwendraaaaa zako hii ni deffence Mechanism ya chama chenu mlijipanga kwa haya sasa yamekwama unajifanya kugeuza mada..hapa hakuna cha nn wala nn na mmeshajua kua magufuli kafanya mazuri mengi sanaa sasa hamna sera wala cha kupanda nacho jukwaani kunadi kwa wanachi sasa mnaanza ohh amani itatoweka sijui nn hahaaa hiyo amani itatoweka nyumbani kwako hasa utapoona hata familia yako inaunga mkono mzalendo wa kweli JPM hahaa amani hii hukuitengeneza ww na hutaiondoa ww..kama umepanick njoo nikunyooshe..KANYAGA TWENDE MAGUFULI MUDA USHATUACHA SANAAAA
Nakupuuza tu
 
Hiyo nguvu yao ya Dola mwisho mwakani. Tutawanyoosha Hawa jamaa kama watajifanya wanasaidia kupora ushindi
Mkuu, elewa CCM ipo attached na Vyombo vya Dola.Yaani ni Kama Kupe tu anavyotegemea Damu ya Kiumbe mwingine Vinginevyo hawezi kuSurvive!
 
Kkwe

kwendraaaaa zako hii ni deffence Mechanism ya chama chenu mlijipanga kwa haya sasa yamekwama unajifanya kugeuza mada..hapa hakuna cha nn wala nn na mmeshajua kua magufuli kafanya mazuri mengi sanaa sasa hamna sera wala cha kupanda nacho jukwaani kunadi kwa wanachi sasa mnaanza ohh amani itatoweka sijui nn hahaaa hiyo amani itatoweka nyumbani kwako hasa utapoona hata familia yako inaunga mkono mzalendo wa kweli JPM hahaa amani hii hukuitengeneza ww na hutaiondoa ww..kama umepanick njoo nikunyooshe..KANYAGA TWENDE MAGUFULI MUDA USHATUACHA SANAAAA
Sisi tunawasubiria haya manyang'au tudeal nao
 
awali ya yote mie sio mwanasiasa ila napenda hoja za siasa safi na sina chama ninachoegemea.

hii habari imetungwa sio ubishi.

yaani wapange siri zao chumbani wewe uzidake a to z kama nani?

kwanini wewe mdio uambiwe na si mwingine?

lengo la mtoa taarifa wako ni lipi na kwa nini atoe,aana yake amesaliti chama chake?

na kwa nini kwenye andiko lako unadai mkakati unalenga kukihujumu chadema, hii ina maana ccm wanatambua mpinzani wake ni chadema pekee? vipi NLD, CUF, ACT, TLP, NCCR MAGEUZI nk au kwao sio vyama pinzani? mbona vina wawakilishi!

na kumsifia mwenyekiti wao kuna athari gani ktk uchaguzi wa serikali za mitaa? si nanyi mmsifie mwenyekiti wenu mchezo uishe au hayupo?

kama umeijua 'silaha' na taarifa nyeti za 'adui' yako si tayari unajipanga kwa mbinu kamambe ya kuzitumia mbinu hizo za 'kivita' ili ujinyakulie ushindi kabla ya jua kuchomoza?
3
tukisema ni maneno ya khanga tu kutaka kuiomba jamii msaada wa kukuhurumia kwa vile tu umeshaona 'mbabe' wakk keshajaa ulingoni na 'misuli' ya haja kana kwamba hata ukimrushia 'ngumi' utaumia mwenyewe hivyo umeomba poo mapema tutakuwa tumekosea?

unaposema '.. hatukubali tutachinjana mchana kweupe....' unamtapeli nani kwa akili yako ya keyboard kwamba democracy na maendeleo vinapatikana kwa njia ya kuchinjana. kumbe DWMORASIA NA MAENDELEO (sehemu ya acronym) ya chama chako inaelekeza kuchinja. unadhani hii inafaa kuuza sera ya chama chako kuwa sasa tz ina haja ya kuchinja ndio tuyafikie maendeleo?

badilisheni 'gia' na mbinu zenu, hiyo injini imechoka mno 'mtaipasua au kuunguza' bure. shirikisheni mafundi wabobezi mtafute suluhu la kudumu ima kumbadili dereva, shusha injini, badili vyootr vya maana kwenye 'mechanisms' za uendeshaji sio body wala kusingizia barabara. la sivyo hawa abiria waahakuwa wazito chombo chenu hakiwawezi.
Ndiyo maana yake taarifa tunazipata kwa wenye mapenzi mema toka ndani ya Chama chao ambao hawapendi
 
Umeshaanza visingizio naona mnandaa sababu ya kwanini mtashindwa uchaguzi wa serikali za mitaa. Akina mbowe wenzio wamekwapua michango yenu umeshindwa hata kufuatilia hilo umekalia kuanzisha thread za uongo na ujinga
Nakupuuza tu
 
Haya ni makala ya kipumbavu, ndiyo ni ya kipumbavu. Ulichosahau kuuficha upumbavu wako ni kusahau kuwa vyama vya upinzani siyo CHADEMA tu. Umesahau pia kuwa angalau chama cha upinzani kinachoweza kuikaribia CCM. ni ACT na siyo Chaggadema kama unavyotaka kuwaaminisha watu. Kazi nzuri inayofanywa na Serikali chini ya JPM sidhani kama kunahitajika ujinga uliouandika ukiwa na Uchadema Chadema. Pambaneni na hali zenu, JPM harudi nyuma na wananchi tuko nyuma Yake.
Nakupuuza tu!
 
Hapa ndipo naona double Standards ya Mods Wa JF, propaganda za uongo namna hii zingeandikwa kuelekezwa kwa CHADEMA, mwandishi angekula Ban. Mello, jitathmini Mungu siyo.Wa CHADEMA pekee. Siku nchi ikiingia kwenye machafuko kwa sababu ya ujinga kama huu kupitia JF, Wakili atakayesimamia hukumu yako siyo mwingine ni Mungu.
Unaweweseka
 
Itasikitisha sana endapo hizi taarifa zitakua na ukweli...


Cc: mahondaw

Wakati mwingine haya Mambo sio kusikitisha tu.. yanatisha pia.

Ipo siku hivi vikundi vitabadili msimamo na kuleta Vita au machafuko...
Maana Vita ya kisiasa ilipofikia kwa Sasa Ni sawa na Vita baridi...
 
Back
Top Bottom