Tetesi: Inadaiwa Clement Mzize analipwa 600k, halafu Guede analipwa Milion 29

Tetesi: Inadaiwa Clement Mzize analipwa 600k, halafu Guede analipwa Milion 29

Nilichogundua kwa huu uzi ni kwamba Uto fans wote hawajui lolote kuhusu wachezaji wao wazawa hawalipwi vizuri.

Endeleeni kumsifia Hersi kuwa ni akili kubwa, Ila dogo Fei toto alishasema "hakuwa na ugomvi na Yanga isipokuwa Hersi ndiye mgomvi wake" 😂😂
Kwa akili hizi tarehe 20 tunawapiga 5G mpya
 
Nimeangalia chati ya mishahara ya wachezaji wa Yanga nmeona Mzize analipwa laki 6 halafu Guede analipwa milioni 29 na laki 8, Aisee nmelia ndugu zangu

KAMA NDIVYO ILIVYO basi hii ni dharau kubwa sana kwa wachezaji wetu wazawa, vilabu vyetu viangalie upya maslahi ya wachezaji wazawa hii sio sawa.

Hiyo ndo mishahara yao wanaolipwa ukitoa posho na zile bonasi.
Mishahara Ya Wachezaji Wa Yanga 2024

# Player Nationality Salary
39 Djigui Diarra Mali 4 Mil
1 Metacha Mnata Tanzania 2 Mil
16 Abuutwalib Mshary Tanzania 500k
2 Ibrahim Hamad Tanzania 3.5 Mil
3 Bakari Mwamnyeto Tanzania 3 Mil
5 Dickson Job Tanzania 2.5 Mil
37 Fred Gift Uganda –
13 Lomalisa Mutambala DR Congo 2 Mil
30 Nickson Kibabage Tanzania 990k
21 Kouassi Attohoula Cote d’Ivoire 3 Mil
33 Kibwana Shomari Tanzania 1 Mil
8 Khalid Aucho Uganda 6 Mil
18 Salum Abubakar Salum Tanzania 3 Mil
27 Mudathir Yahya Tanzania 2.3 Mil
26 Pacôme Zouzoua Cote d’Ivoire 3.1 Mil
19 Jonas Mkude Tanzania 5 Mil
20 Zawadi Mauya Tanzania 2.2 Mil
10 Stephane Aziz Ki Burkina Faso 23.4 Mil
7 Maxi Nzengeli DR Congo 2 Mil
40 Denis Nkane Tanzania 900k
17 Faridi Mussa Tanzania 750k
6 Mahlatsi Makudubela South Africa €5k
15 Augustine Okrah Ghana 8.2 Mil
28 Joseph Guédé Gnadou Cote d’Ivoire 29.8 Mil
11 Crispin Mhagama Tanzania 550k
24 Clement Mzize Tanzania 600k
25 Kennedy Musonda Zambia 6 Mil
22 Shekhan Ibrahim Khamis Tanzania 420k

Mkeka huo nmekuekea hapo chini kwenye comments
View attachment 2964980
Kwa hiyo Skudu analipwa kwa Euro?
 

Mishahara ya Wachezaji wa Simba SC 2023/2024 Player Salaries​

#MchezajiCountrySalary
17Clatous ChamaZambia20Mil
22John Raphael BoccoTanzania15Mil
FarouzTanzania1Mil
28Aishi Salum ManulaTanzania14Mil
40Peter BandaMalawi6Mil
18Nasolo KapamaTanzania2.5Mil
–Moses PhiriZambia15Mil
11Luis MiqussionTanzania8.1Mil
16Fondoh Che MaloneCameroon9Mil
–Aubian KramoCote d’Ivoire9Mil
15Mohamed HusseinTanzania10Mil
12Shomari KapombeTanzania10Mil
13Hamisi KaziTanzania2.2Mil
8Sadio KanoutéMali16Mil
19Mzamiru YassinTanzania7Mil
Devid KametaTanzania2Mil
30Husein AbelTanzania2Mil
1Ally Salim JumaTanzania1.8Mil
8Fabrice NgomaDR Congo7Mil
–Henoc Inonga BakaDR Congo11Mil
26Kennedy JumaTanzania3Mil
10Saido NtibanzokizaBurundi6.2mIL
–Israel Patrick MwendaTanzania2mIL
38Denis KibuTanzania3.7Mil
–Jimson Stephen MwanukeTanzania1Mil
7Willy OnanaCameroon6 Million
20Hussein HasanTanzania–
Auyoub LakreyMorocco
Hussein AbelTanzania2.1 Mil
Konde boi ni mtz? Siamini
 
Kama Mzize anaona analipwa kidogo basi aende atakakopewa mshahara mkubwa, kama ilivyokuwa kwa Fei.
Hivi unajua kuwa suala la fei kuondoka yanga ilibidi rais wa nchi aingilie kati? Hiyo bahati mzize ataipata?
 
Mashabiki ile timu ya mwakarobo wakiwaza yatakayojiri tarehe 20 malaria inawapanda kichwan wanakuja kupost vitu vya ajabu ajabu.
 
Hivi unajua kuwa suala la fei kuondoka yanga ilibidi rais wa nchi aingilie kati? Hiyo bahati mzize ataipata?
Kuondoka ni kuondoka tu, na kila mtu ataondoka kwenye timu kwa namna yake. Ila mchezaji akiwa serious kutaka kuondoka hazuiliki.

Ova
 
Mayele alisema yanga kuna ubabaishaji.

Nimeangalia chati ya mishahara ya wachezaji wa Yanga nmeona Mzize analipwa laki 6 halafu Guede analipwa milioni 29 na laki 8, Aisee nmelia ndugu zangu

KAMA NDIVYO ILIVYO basi hii ni dharau kubwa sana kwa wachezaji wetu wazawa, vilabu vyetu viangalie upya maslahi ya wachezaji wazawa hii sio sawa.

Hiyo ndo mishahara yao wanaolipwa ukitoa posho na zile bonasi.
Mishahara Ya Wachezaji Wa Yanga 2024

# Player Nationality Salary
39 Djigui Diarra Mali 4 Mil
1 Metacha Mnata Tanzania 2 Mil
16 Abuutwalib Mshary Tanzania 500k
2 Ibrahim Hamad Tanzania 3.5 Mil
3 Bakari Mwamnyeto Tanzania 3 Mil
5 Dickson Job Tanzania 2.5 Mil
37 Fred Gift Uganda –
13 Lomalisa Mutambala DR Congo 2 Mil
30 Nickson Kibabage Tanzania 990k
21 Kouassi Attohoula Cote d’Ivoire 3 Mil
33 Kibwana Shomari Tanzania 1 Mil
8 Khalid Aucho Uganda 6 Mil
18 Salum Abubakar Salum Tanzania 3 Mil
27 Mudathir Yahya Tanzania 2.3 Mil
26 Pacôme Zouzoua Cote d’Ivoire 3.1 Mil
19 Jonas Mkude Tanzania 5 Mil
20 Zawadi Mauya Tanzania 2.2 Mil
10 Stephane Aziz Ki Burkina Faso 23.4 Mil
7 Maxi Nzengeli DR Congo 2 Mil
40 Denis Nkane Tanzania 900k
17 Faridi Mussa Tanzania 750k
6 Mahlatsi Makudubela South Africa €5k
15 Augustine Okrah Ghana 8.2 Mil
28 Joseph Guédé Gnadou Cote d’Ivoire 29.8 Mil
11 Crispin Mhagama Tanzania 550k
24 Clement Mzize Tanzania 600k
25 Kennedy Musonda Zambia 6 Mil
22 Shekhan Ibrahim Khamis Tanzania 420k

Mkeka huo nmekuekea hapo chini kwenye comments
View attachment 2964980
Lakini yeye haimsikitishi na anapiga misele uwanjani
 

Mishahara ya Wachezaji wa Simba SC 2023/2024 Player Salaries​

#MchezajiCountrySalary
17Clatous ChamaZambia20Mil
22John Raphael BoccoTanzania15Mil
FarouzTanzania1Mil
28Aishi Salum ManulaTanzania14Mil
40Peter BandaMalawi6Mil
18Nasolo KapamaTanzania2.5Mil
–Moses PhiriZambia15Mil
11Luis MiqussionTanzania8.1Mil
16Fondoh Che MaloneCameroon9Mil
–Aubian KramoCote d’Ivoire9Mil
15Mohamed HusseinTanzania10Mil
12Shomari KapombeTanzania10Mil
13Hamisi KaziTanzania2.2Mil
8Sadio KanoutéMali16Mil
19Mzamiru YassinTanzania7Mil
Devid KametaTanzania2Mil
30Husein AbelTanzania2Mil
1Ally Salim JumaTanzania1.8Mil
8Fabrice NgomaDR Congo7Mil
–Henoc Inonga BakaDR Congo11Mil
26Kennedy JumaTanzania3Mil
10Saido NtibanzokizaBurundi6.2mIL
–Israel Patrick MwendaTanzania2mIL
38Denis KibuTanzania3.7Mil
–Jimson Stephen MwanukeTanzania1Mil
7Willy OnanaCameroon6 Million
20Hussein HasanTanzania–
Auyoub LakreyMorocco
Hussein AbelTanzania2.1 Mil
Halafu wanajamba jamba uwanjani ..shit
 
Utetezi wa hovyo sana. Kwa mchezaji kama mzize mwenye mchango mkubwa klabu inayojielewa ingekaa nae haraka kuboresha masilahi hata kama hapo kabla alikubali kiduchu.

Hapo akitaka kuondoka atawekewa mizengwe ya kiswhahili swahili. Sema wachezaji wa kibongo nao wamekaa kizembe zembe hata kutengeneza tetesi bandia za kuhamia simba kuwa mrithi wa john bocco hamna. Wanakaa kama washabiki wa timu, bado wako enzi za Ngasa
Mshahara siyo hisani, unapewa uliokubaliana upewe. Hata angetaka asilipwe, Yanga isingemlipa. Elewa taratibu za ajira.

Na hivyo anafanya kazi vizuri, maana yake unamtosha sana mshahara anaolipwa. Akitaka mkubwa atadai apewe mkubwa.

Ova
 
Mshahara siyo hisani, unapewa uliokubaliana upewe. Hata angetaka asilipwe, Yanga isingemlipa. Elewa taratibu za ajira.

Na hivyo anafanya kazi vizuri, maana yake unamtosha sana mshahara anaolipwa. Akitaka mkubwa atadai apewe mkubwa.

Ova
Wachezaji waliotoka timu za vijana huwa wanaanza na mishahara midogo tofauti na wanaonunuliwa moja kwa moja. Klabu za kienyeji ndio zinakuwa na mentality kama yako ila klabu za kisasa kwa vijana wao wenye mchango zinakaa nao haraka kuwaboreshea masilahi.

Mwajiri bora uwaongezea mishahara wafanyakazi wake wenye mchango bila hata wao kudai. Ila Mwajiri oya oya atataka upigike hivyo hivyo hata ukila ugali na sukari.
 
Wachezaji waliotoka timu za vijana huwa wanaanza na mishahara midogo tofauti na wanaonunuliwa moja kwa moja. Klabu za kienyeji ndio zinakuwa na mentality kama yako ila klabu za kisasa kwa vijana wao wenye mchango zinakaa nao haraka kuwaboreshea masilahi.

Mwajiri bora uwaongezea mishahara wafanyakazi wake wenye mchango bila hata wao kudai. Ila Mwajiri oya oya atataka upigike hivyo hivyo hata ukila ugali na sukari.
Hapo unazungumzia taarifa inayotolewa kwa jamii kupitia media huwa hivyo, kuwa klabu imeamua kuboresha.

Ila kabla ya hiyo taarifa huwa kuna kudai hayo maboresho hadi kuafikiana waboreshe kwa kuongeza kiasi gani.

Mshahara bora huwa unadaiwa comrade, hautolewi tu. Ukitaka kuelewa nisemacho subiri mabango ya Mei Mosi kwa Rais.

Ova
 
Hapo unazungumzia taarifa inayotolewa kwa jamii kupitia media huwa hivyo, kuwa klabu imeamua kuboresha.

Ila kabla ya hiyo taarifa huwa kuna kudai hayo maboresho hadi kuafikiana waboreshe kwa kuongeza kiasi gani.

Mshahara bora huwa unadaiwa comrade, hautolewi tu. Ukitaka kuelewa nisemacho subiri mabango ya Mei Mosi kwa Rais.

Ova
Hao unaowatolea mfano ni wale waĺe. Soma hapa chini.
 

Attachments

  • Screenshot_20240417-061736.png
    Screenshot_20240417-061736.png
    506.3 KB · Views: 3
Nimeangalia chati ya mishahara ya wachezaji wa Yanga nmeona Mzize analipwa laki 6 halafu Guede analipwa milioni 29 na laki 8, Aisee nmelia ndugu zangu

KAMA NDIVYO ILIVYO basi hii ni dharau kubwa sana kwa wachezaji wetu wazawa, vilabu vyetu viangalie upya maslahi ya wachezaji wazawa hii sio sawa.

Hiyo ndo mishahara yao wanaolipwa ukitoa posho na zile bonasi.
Mishahara Ya Wachezaji Wa Yanga 2024

# Player Nationality Salary
39 Djigui Diarra Mali 4 Mil
1 Metacha Mnata Tanzania 2 Mil
16 Abuutwalib Mshary Tanzania 500k
2 Ibrahim Hamad Tanzania 3.5 Mil
3 Bakari Mwamnyeto Tanzania 3 Mil
5 Dickson Job Tanzania 2.5 Mil
37 Fred Gift Uganda –
13 Lomalisa Mutambala DR Congo 2 Mil
30 Nickson Kibabage Tanzania 990k
21 Kouassi Attohoula Cote d’Ivoire 3 Mil
33 Kibwana Shomari Tanzania 1 Mil
8 Khalid Aucho Uganda 6 Mil
18 Salum Abubakar Salum Tanzania 3 Mil
27 Mudathir Yahya Tanzania 2.3 Mil
26 Pacôme Zouzoua Cote d’Ivoire 3.1 Mil
19 Jonas Mkude Tanzania 5 Mil
20 Zawadi Mauya Tanzania 2.2 Mil
10 Stephane Aziz Ki Burkina Faso 23.4 Mil
7 Maxi Nzengeli DR Congo 2 Mil
40 Denis Nkane Tanzania 900k
17 Faridi Mussa Tanzania 750k
6 Mahlatsi Makudubela South Africa €5k
15 Augustine Okrah Ghana 8.2 Mil
28 Joseph Guédé Gnadou Cote d’Ivoire 29.8 Mil
11 Crispin Mhagama Tanzania 550k
24 Clement Mzize Tanzania 600k
25 Kennedy Musonda Zambia 6 Mil
22 Shekhan Ibrahim Khamis Tanzania 420k

Mkeka huo nmekuekea hapo chini kwenye comments
View attachment 2964980
huu ni uongo wa hatari,kwa taarifa yako mshahara wa chini kwa yanga sasa ni 5m
 
Wachezaji waliotoka timu za vijana huwa wanaanza na mishahara midogo tofauti na wanaonunuliwa moja kwa moja. Klabu za kienyeji ndio zinakuwa na mentality kama yako ila klabu za kisasa kwa vijana wao wenye mchango zinakaa nao haraka kuwaboreshea masilahi.

Mwajiri bora uwaongezea mishahara wafanyakazi wake wenye mchango bila hata wao kudai. Ila Mwajiri oya oya atataka upigike hivyo hivyo hata ukila ugali na sukari.
Sasa si ukawapambanie waongezwe mshahara humu JF utasaidika vipi?
 
Ni kawaida ya ngozi nyeusi kuwa wabinafsi. Hapo unafikiria tumbo lako sababu tu ya kupikiwa supu na chapati na kuona sawa vijana kulipwa kiduchu.
Mkuu unakomalia hii ishu je kipi kinachokuaminisha moja kwa moja kuwa hiyo ndio mishahara halisi wanayolipwa na sio taarifa fake? Nini kinachokufanya uamini?
 
Back
Top Bottom