PD_Magumba
JF-Expert Member
- Apr 2, 2021
- 722
- 2,225
Kwa akili hizi tarehe 20 tunawapiga 5G mpyaNilichogundua kwa huu uzi ni kwamba Uto fans wote hawajui lolote kuhusu wachezaji wao wazawa hawalipwi vizuri.
Endeleeni kumsifia Hersi kuwa ni akili kubwa, Ila dogo Fei toto alishasema "hakuwa na ugomvi na Yanga isipokuwa Hersi ndiye mgomvi wake" 😂😂
Kwa hiyo Skudu analipwa kwa Euro?Nimeangalia chati ya mishahara ya wachezaji wa Yanga nmeona Mzize analipwa laki 6 halafu Guede analipwa milioni 29 na laki 8, Aisee nmelia ndugu zangu
KAMA NDIVYO ILIVYO basi hii ni dharau kubwa sana kwa wachezaji wetu wazawa, vilabu vyetu viangalie upya maslahi ya wachezaji wazawa hii sio sawa.
Hiyo ndo mishahara yao wanaolipwa ukitoa posho na zile bonasi.
Mishahara Ya Wachezaji Wa Yanga 2024
# Player Nationality Salary
39 Djigui Diarra Mali 4 Mil
1 Metacha Mnata Tanzania 2 Mil
16 Abuutwalib Mshary Tanzania 500k
2 Ibrahim Hamad Tanzania 3.5 Mil
3 Bakari Mwamnyeto Tanzania 3 Mil
5 Dickson Job Tanzania 2.5 Mil
37 Fred Gift Uganda –
13 Lomalisa Mutambala DR Congo 2 Mil
30 Nickson Kibabage Tanzania 990k
21 Kouassi Attohoula Cote d’Ivoire 3 Mil
33 Kibwana Shomari Tanzania 1 Mil
8 Khalid Aucho Uganda 6 Mil
18 Salum Abubakar Salum Tanzania 3 Mil
27 Mudathir Yahya Tanzania 2.3 Mil
26 Pacôme Zouzoua Cote d’Ivoire 3.1 Mil
19 Jonas Mkude Tanzania 5 Mil
20 Zawadi Mauya Tanzania 2.2 Mil
10 Stephane Aziz Ki Burkina Faso 23.4 Mil
7 Maxi Nzengeli DR Congo 2 Mil
40 Denis Nkane Tanzania 900k
17 Faridi Mussa Tanzania 750k
6 Mahlatsi Makudubela South Africa €5k
15 Augustine Okrah Ghana 8.2 Mil
28 Joseph Guédé Gnadou Cote d’Ivoire 29.8 Mil
11 Crispin Mhagama Tanzania 550k
24 Clement Mzize Tanzania 600k
25 Kennedy Musonda Zambia 6 Mil
22 Shekhan Ibrahim Khamis Tanzania 420k
Mkeka huo nmekuekea hapo chini kwenye comments
View attachment 2964980
Konde boi ni mtz? SiaminiMishahara ya Wachezaji wa Simba SC 2023/2024 Player Salaries
# Mchezaji Country Salary 17 Clatous Chama Zambia 20Mil 22 John Raphael Bocco Tanzania 15Mil Farouz Tanzania 1Mil 28 Aishi Salum Manula Tanzania 14Mil 40 Peter Banda Malawi 6Mil 18 Nasolo Kapama Tanzania 2.5Mil – Moses Phiri Zambia 15Mil 11 Luis Miqussion Tanzania 8.1Mil 16 Fondoh Che Malone Cameroon 9Mil – Aubian Kramo Cote d’Ivoire 9Mil 15 Mohamed Hussein Tanzania 10Mil 12 Shomari Kapombe Tanzania 10Mil 13 Hamisi Kazi Tanzania 2.2Mil 8 Sadio Kanouté Mali 16Mil 19 Mzamiru Yassin Tanzania 7Mil Devid Kameta Tanzania 2Mil 30 Husein Abel Tanzania 2Mil 1 Ally Salim Juma Tanzania 1.8Mil 8 Fabrice Ngoma DR Congo 7Mil – Henoc Inonga Baka DR Congo 11Mil 26 Kennedy Juma Tanzania 3Mil 10 Saido Ntibanzokiza Burundi 6.2mIL – Israel Patrick Mwenda Tanzania 2mIL 38 Denis Kibu Tanzania 3.7Mil – Jimson Stephen Mwanuke Tanzania 1Mil 7 Willy Onana Cameroon 6 Million 20 Hussein Hasan Tanzania – Auyoub Lakrey Morocco Hussein Abel Tanzania 2.1 Mil
Hivi unajua kuwa suala la fei kuondoka yanga ilibidi rais wa nchi aingilie kati? Hiyo bahati mzize ataipata?Kama Mzize anaona analipwa kidogo basi aende atakakopewa mshahara mkubwa, kama ilivyokuwa kwa Fei.
Kuondoka ni kuondoka tu, na kila mtu ataondoka kwenye timu kwa namna yake. Ila mchezaji akiwa serious kutaka kuondoka hazuiliki.Hivi unajua kuwa suala la fei kuondoka yanga ilibidi rais wa nchi aingilie kati? Hiyo bahati mzize ataipata?
Mayele alisema yanga kuna ubabaishaji.
Lakini yeye haimsikitishi na anapiga misele uwanjaniNimeangalia chati ya mishahara ya wachezaji wa Yanga nmeona Mzize analipwa laki 6 halafu Guede analipwa milioni 29 na laki 8, Aisee nmelia ndugu zangu
KAMA NDIVYO ILIVYO basi hii ni dharau kubwa sana kwa wachezaji wetu wazawa, vilabu vyetu viangalie upya maslahi ya wachezaji wazawa hii sio sawa.
Hiyo ndo mishahara yao wanaolipwa ukitoa posho na zile bonasi.
Mishahara Ya Wachezaji Wa Yanga 2024
# Player Nationality Salary
39 Djigui Diarra Mali 4 Mil
1 Metacha Mnata Tanzania 2 Mil
16 Abuutwalib Mshary Tanzania 500k
2 Ibrahim Hamad Tanzania 3.5 Mil
3 Bakari Mwamnyeto Tanzania 3 Mil
5 Dickson Job Tanzania 2.5 Mil
37 Fred Gift Uganda –
13 Lomalisa Mutambala DR Congo 2 Mil
30 Nickson Kibabage Tanzania 990k
21 Kouassi Attohoula Cote d’Ivoire 3 Mil
33 Kibwana Shomari Tanzania 1 Mil
8 Khalid Aucho Uganda 6 Mil
18 Salum Abubakar Salum Tanzania 3 Mil
27 Mudathir Yahya Tanzania 2.3 Mil
26 Pacôme Zouzoua Cote d’Ivoire 3.1 Mil
19 Jonas Mkude Tanzania 5 Mil
20 Zawadi Mauya Tanzania 2.2 Mil
10 Stephane Aziz Ki Burkina Faso 23.4 Mil
7 Maxi Nzengeli DR Congo 2 Mil
40 Denis Nkane Tanzania 900k
17 Faridi Mussa Tanzania 750k
6 Mahlatsi Makudubela South Africa €5k
15 Augustine Okrah Ghana 8.2 Mil
28 Joseph Guédé Gnadou Cote d’Ivoire 29.8 Mil
11 Crispin Mhagama Tanzania 550k
24 Clement Mzize Tanzania 600k
25 Kennedy Musonda Zambia 6 Mil
22 Shekhan Ibrahim Khamis Tanzania 420k
Mkeka huo nmekuekea hapo chini kwenye comments
View attachment 2964980
Halafu wanajamba jamba uwanjani ..shitMishahara ya Wachezaji wa Simba SC 2023/2024 Player Salaries
# Mchezaji Country Salary 17 Clatous Chama Zambia 20Mil 22 John Raphael Bocco Tanzania 15Mil Farouz Tanzania 1Mil 28 Aishi Salum Manula Tanzania 14Mil 40 Peter Banda Malawi 6Mil 18 Nasolo Kapama Tanzania 2.5Mil – Moses Phiri Zambia 15Mil 11 Luis Miqussion Tanzania 8.1Mil 16 Fondoh Che Malone Cameroon 9Mil – Aubian Kramo Cote d’Ivoire 9Mil 15 Mohamed Hussein Tanzania 10Mil 12 Shomari Kapombe Tanzania 10Mil 13 Hamisi Kazi Tanzania 2.2Mil 8 Sadio Kanouté Mali 16Mil 19 Mzamiru Yassin Tanzania 7Mil Devid Kameta Tanzania 2Mil 30 Husein Abel Tanzania 2Mil 1 Ally Salim Juma Tanzania 1.8Mil 8 Fabrice Ngoma DR Congo 7Mil – Henoc Inonga Baka DR Congo 11Mil 26 Kennedy Juma Tanzania 3Mil 10 Saido Ntibanzokiza Burundi 6.2mIL – Israel Patrick Mwenda Tanzania 2mIL 38 Denis Kibu Tanzania 3.7Mil – Jimson Stephen Mwanuke Tanzania 1Mil 7 Willy Onana Cameroon 6 Million 20 Hussein Hasan Tanzania – Auyoub Lakrey Morocco Hussein Abel Tanzania 2.1 Mil
Mshahara siyo hisani, unapewa uliokubaliana upewe. Hata angetaka asilipwe, Yanga isingemlipa. Elewa taratibu za ajira.Utetezi wa hovyo sana. Kwa mchezaji kama mzize mwenye mchango mkubwa klabu inayojielewa ingekaa nae haraka kuboresha masilahi hata kama hapo kabla alikubali kiduchu.
Hapo akitaka kuondoka atawekewa mizengwe ya kiswhahili swahili. Sema wachezaji wa kibongo nao wamekaa kizembe zembe hata kutengeneza tetesi bandia za kuhamia simba kuwa mrithi wa john bocco hamna. Wanakaa kama washabiki wa timu, bado wako enzi za Ngasa
Wachezaji waliotoka timu za vijana huwa wanaanza na mishahara midogo tofauti na wanaonunuliwa moja kwa moja. Klabu za kienyeji ndio zinakuwa na mentality kama yako ila klabu za kisasa kwa vijana wao wenye mchango zinakaa nao haraka kuwaboreshea masilahi.Mshahara siyo hisani, unapewa uliokubaliana upewe. Hata angetaka asilipwe, Yanga isingemlipa. Elewa taratibu za ajira.
Na hivyo anafanya kazi vizuri, maana yake unamtosha sana mshahara anaolipwa. Akitaka mkubwa atadai apewe mkubwa.
Ova
Hapo unazungumzia taarifa inayotolewa kwa jamii kupitia media huwa hivyo, kuwa klabu imeamua kuboresha.Wachezaji waliotoka timu za vijana huwa wanaanza na mishahara midogo tofauti na wanaonunuliwa moja kwa moja. Klabu za kienyeji ndio zinakuwa na mentality kama yako ila klabu za kisasa kwa vijana wao wenye mchango zinakaa nao haraka kuwaboreshea masilahi.
Mwajiri bora uwaongezea mishahara wafanyakazi wake wenye mchango bila hata wao kudai. Ila Mwajiri oya oya atataka upigike hivyo hivyo hata ukila ugali na sukari.
Hao unaowatolea mfano ni wale waĺe. Soma hapa chini.Hapo unazungumzia taarifa inayotolewa kwa jamii kupitia media huwa hivyo, kuwa klabu imeamua kuboresha.
Ila kabla ya hiyo taarifa huwa kuna kudai hayo maboresho hadi kuafikiana waboreshe kwa kuongeza kiasi gani.
Mshahara bora huwa unadaiwa comrade, hautolewi tu. Ukitaka kuelewa nisemacho subiri mabango ya Mei Mosi kwa Rais.
Ova
huu ni uongo wa hatari,kwa taarifa yako mshahara wa chini kwa yanga sasa ni 5mNimeangalia chati ya mishahara ya wachezaji wa Yanga nmeona Mzize analipwa laki 6 halafu Guede analipwa milioni 29 na laki 8, Aisee nmelia ndugu zangu
KAMA NDIVYO ILIVYO basi hii ni dharau kubwa sana kwa wachezaji wetu wazawa, vilabu vyetu viangalie upya maslahi ya wachezaji wazawa hii sio sawa.
Hiyo ndo mishahara yao wanaolipwa ukitoa posho na zile bonasi.
Mishahara Ya Wachezaji Wa Yanga 2024
# Player Nationality Salary
39 Djigui Diarra Mali 4 Mil
1 Metacha Mnata Tanzania 2 Mil
16 Abuutwalib Mshary Tanzania 500k
2 Ibrahim Hamad Tanzania 3.5 Mil
3 Bakari Mwamnyeto Tanzania 3 Mil
5 Dickson Job Tanzania 2.5 Mil
37 Fred Gift Uganda –
13 Lomalisa Mutambala DR Congo 2 Mil
30 Nickson Kibabage Tanzania 990k
21 Kouassi Attohoula Cote d’Ivoire 3 Mil
33 Kibwana Shomari Tanzania 1 Mil
8 Khalid Aucho Uganda 6 Mil
18 Salum Abubakar Salum Tanzania 3 Mil
27 Mudathir Yahya Tanzania 2.3 Mil
26 Pacôme Zouzoua Cote d’Ivoire 3.1 Mil
19 Jonas Mkude Tanzania 5 Mil
20 Zawadi Mauya Tanzania 2.2 Mil
10 Stephane Aziz Ki Burkina Faso 23.4 Mil
7 Maxi Nzengeli DR Congo 2 Mil
40 Denis Nkane Tanzania 900k
17 Faridi Mussa Tanzania 750k
6 Mahlatsi Makudubela South Africa €5k
15 Augustine Okrah Ghana 8.2 Mil
28 Joseph Guédé Gnadou Cote d’Ivoire 29.8 Mil
11 Crispin Mhagama Tanzania 550k
24 Clement Mzize Tanzania 600k
25 Kennedy Musonda Zambia 6 Mil
22 Shekhan Ibrahim Khamis Tanzania 420k
Mkeka huo nmekuekea hapo chini kwenye comments
View attachment 2964980
huyu muongo wa hatariNina wasiwasi na hiyo list. Pacome kulipwa 3m na Maxi kulipwa 2m ni uongo uliokubuhu. Pia Farid mwenye exposure ya Ulaya kulipwa 750k haiji kabisa. Chanzo cha hiyo taarifa ni kipi?
Sasa si ukawapambanie waongezwe mshahara humu JF utasaidika vipi?Wachezaji waliotoka timu za vijana huwa wanaanza na mishahara midogo tofauti na wanaonunuliwa moja kwa moja. Klabu za kienyeji ndio zinakuwa na mentality kama yako ila klabu za kisasa kwa vijana wao wenye mchango zinakaa nao haraka kuwaboreshea masilahi.
Mwajiri bora uwaongezea mishahara wafanyakazi wake wenye mchango bila hata wao kudai. Ila Mwajiri oya oya atataka upigike hivyo hivyo hata ukila ugali na sukari.
Ni kawaida ya ngozi nyeusi kuwa wabinafsi. Hapo unafikiria tumbo lako sababu tu ya kupikiwa supu na chapati na kuona sawa vijana kulipwa kiduchu.Sasa si ukawapambanie waongezwe mshahara humu JF utasaidika vipi?
Mkuu unakomalia hii ishu je kipi kinachokuaminisha moja kwa moja kuwa hiyo ndio mishahara halisi wanayolipwa na sio taarifa fake? Nini kinachokufanya uamini?Ni kawaida ya ngozi nyeusi kuwa wabinafsi. Hapo unafikiria tumbo lako sababu tu ya kupikiwa supu na chapati na kuona sawa vijana kulipwa kiduchu.
Haijulikani popote zaidi ya kwake Mzize, waajiri wake na mamlaka zinazohusika na usajiri na mishahara yao.Ukiona ni uongo basi we leta ukweli.
Haya tuambie Mzize analipwa ngapi na Uto?
Mshahara wa mwanaume mwenzako wa nini?Ukiona ni uongo basi we leta ukweli.
Haya tuambie Mzize analipwa ngapi na Uto?