Inadaiwa FIFA imeifungia Yanga kusajili madirisha matatu kutokana na deni la Kocha Luc Aymael

Ila viongozi wa Yanga bna.hili jambo lingetoke simba ungeona matusi kwa wachambuzi
 
Hizi ndizo habari napenda kusikia
 
Hizi ndio mada zinazo wapa faraja mambo mengine yasha kua magumu
Yaani wakipata taarifa za aina hii, shida zao zote zinakwisha! Hata wasipochukua ubingwa wowote ule ndani msimu wa Ligi, wenyewe huwa hata hawajali.

Maana wameshapata tayari kitu cha kupoozea maumivu yao. Aisee Rage apewe ulinzi maalum.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…