Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Habari yako mbumbumbuWewe kweli nyani.
Mbumbumbu ni wewe tena[emoji1787][emoji1787]Habari yako mbumbumbu
Sawa raisi wa FIFAChai.hakuna adhabu za hivya Fifa
Msikatae jina hilo.linawafitMbumbumbu ni wewe tena[emoji1787][emoji1787]
Majina yote yanawafaa utopolo🫣🫣
Kulishwa ugali na sukari,yanga wana dhambi sanaMachoz ya fei
Hizi ndizo habari napenda kusikiaKwa mujibu wa @FARPostZA, FIFA imeifungia klabu ya Yanga kusajili wachezaji kwa madirisha matatu (3) mfululizo baada ya kushindwa kumlipa fidia ya kuvunja mkataba aliyewahi kuwa Kocha wao Luc Aymael.
Kocha huyo raia wa Ubelgiji ambaye pia amewahi kuzifundisha Free State Stars na Polokwane City za Afrika Kusini, Oktoba 2022 alishinda kesi ya kuvunjiwa mkataba na Yanga bila kufuata utaratibu.
Klabu ya Yanga ilipewa maelekezo ya kumlipa Kocha huyo jumla ya dola za Marekani 152,000 kufuatia kumfuta kazi pasipo kufuata taratibu miaka miwili iliyopita.
Baadae klabu ya Yanga ilipanga kulipa kiasi hicho kwa awamu tano (5) ambapo awamu ya kwanza alipaswa kuwa Oktoba 2022.
Kwa mujibu wa FARPost, Yanga ililipa deni hilo kwa awamu mbili, Oktoba na Novemba 2022.
Kwa maana hiyo, Yanga bado wanadaiwa na Eymael dola za Marekani 99,000 pamoja na ada ya adhabu ambayo ni dola za Marekani 5,000.
Wanaokoteza tu habari hata Kwa kina Mwijaku tuMbumbumbu fc wanatafuta kombe lingine[emoji2][emoji2][emoji2]
Yaani wakipata taarifa za aina hii, shida zao zote zinakwisha! Hata wasipochukua ubingwa wowote ule ndani msimu wa Ligi, wenyewe huwa hata hawajali.Hizi ndio mada zinazo wapa faraja mambo mengine yasha kua magumu
Sijui kwanini Mzee Rage anacheleweshewa PhD yakeYaani wakipata taarifa za aina hii, shida zao zote zinakwisha! Hata wasipochukua ubingwa wowote ule ndani msimu wa Ligi, wenyewe huwa hata hawajali.
Maana wameshapata tayari kitu cha kupoozea maumivu yao. Aisee Rage apewe ulinzi maalum.