Inadaiwa FIFA imeifungia Yanga kusajili madirisha matatu kutokana na deni la Kocha Luc Aymael


Watatoa tamko wenye timu yao huenda wote tukabaki kulalamikia tetesi zinapoteza muda
 
Kombe lenu jingine hili
 
Madirisha matatu maana yake ni msimu mmoja na nusu, sio mbaya sana wasikate tamaa.
 
Unaweza kukuta mwanasheria amewashauri wasilipe kwa sababu aliwaita nyani
 
Yaani awaite utopolo manyani mambwa mnabweka bweka hovyo na bado anawadai pesa mkilipa kweli nyie mambwa
 
Mnashangilia kwamba mtapata ahueni, yaani mpaka Yanga afungiwe ndio mnaweza ku battle nae
 
Ndiyo Pesa Ngapi Kwa Cash Ya Bongo Hiyo
Utakuta Utopolo Wenyewe Walikuwa Wanasema Deni Ni Himilivu
Kumbe Ndiyo Wanaharibu Kabisa
 
Hapo sidhani kama ni Sheria...ni suala la uwezo wa kulipa madeni ni mdogo...kule Uturuki sijui zile milioni 400 walishalipa!?
Yanga sijui kwenye mambo ya kisheria huwa wanakwama wapi
 
Hapo sidhani kama ni Sheria...ni suala la uwezo wa kulipa madeni ni mdogo...kule Uturuki sijui zile milioni 400 walishalipa!?
Yanga inawaumiza sana vichwa , hii miaka 10 itakua migumu sana kwenu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…