eliasmisinzo
JF-Expert Member
- Aug 13, 2021
- 1,259
- 1,321
Kwani hoja hapa ni bank loan? Huelewi hoja inayolalamikiwa hapa?Lema,unatafuta attention for nothing,umekatalia utumwani kwa kukwepa bank loan
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani hoja hapa ni bank loan? Huelewi hoja inayolalamikiwa hapa?Lema,unatafuta attention for nothing,umekatalia utumwani kwa kukwepa bank loan
Mungu mbariki MboweBy Godbless Lema kupitia twitter:
"Tuna fuatilia kwa makini kitendo cha Familia ya Mkti Freeman Mbowe kuzuiwa kumpatia Mkti chakula kwa kuwa kuna maelekezo kutoka juu ."
Also by Martin Maranja Masese kupitia twitter:
"Freeman Mbowe ni mahabusu, sio mfungwa, na kuna utaratibu wa kuwapa mahabusu chakula kutoka nje ya gereza haswaa weekends. Leo watu waliopeleka chakula gereza la Ukonga kwa Freeman Mbowe wamezuiwa, na wanasisitiza ni amri kutoka juu. Mambo ya hovyo yanaendelea kufanyik."
Umeandika kibwege sana !Lema ameolewa huko aache kelele
USSR
Unaishi kwa matumaini ya kuteuliwa ndiyo unapofeli hapo.Lema anavilamba viatu vya Mbowe mwishowe kawa mkimbizi......
Na loan insurance huwa kazi yake ni nini?Lema,unatafuta attention for nothing,umekatalia utumwani kwa kukwepa bank loan
Haya ma-sukumagang ni ma-kasuku wanaongeaga walicho karirishwa tu, na yule mwalimu wa siasa, mwenye uso mkavu na jina la speed ndogo!Hauna kingine cha kusema?
We hujui katiba ni mwiba kwa mama na ccm kwa ujumla???We hujui katiba mpya ina maanisha upinzani kuchukua Dola?we hujui harakati za mwamba za katiba ni mwiba mkali sana?we hujui???!!!Alimkosea nini Samia[emoji848][emoji848][emoji848]
Waliomkopesha walikuwa na vigezo na masharti yao.Lema,unatafuta attention for nothing,umekatalia utumwani kwa kukwepa bank loan
Lema anatafuta umaarufu gani wakati wewe mumeo na ukoo wenu mnamjua?inawezekana Mbowe kaonewa au hajaonewa...ni siri baina yake na dola lakini pia haki itaamua iwe mahakama au otherwise..
Hawa wengine waache kutafuta attention na umaarufu kupitia Mbowe kuwa mahabusu, wanaojua taratibu za kumpelekea mfungwa au mahabusu chakula sidhani kama kuna issue yeyote...kama wahusika nia yao ni kumdhuru Mbowe wana njia nyingi kuliko hii ya kumnyima chakula Lema atulie Canada aache kutafuta umaarufu..
Hata kusoma huelewi rudia kusoma utapata jibu chakula kilipelekwa na nani, mtoto wa balozi wa nyumba kumi weweChadema wakati mwingine mtulie na kutafakari.Chakula kililetwa na nani?Sio kila mtu akileta chakula kitapokelewa kwa mtu mkubwa kama yule
Lema anavilamba viatu vya Mbowe mwishowe kawa mkimbizi......
Lema, unatafuta attention for nothing, umekatalia utumwani kwa kukwepa bank loan
Mbowe ni mtu mkubwa.Ni nani aiyepeleka chakula?Kila mtu akileta chakula kwa ajili ya Mbowe kipokelewe tu?Familia ya Mbowe ni kubwa,wanachama wake,watoto wake,ndugu zake,wachaga wenzie n.k.Mbona Twaha Mwaipaya wamemtembelea na hawakuripoti jambo hilo bali himizo la kuwa watu waendelee na mapambano.Hata kusoma huelewi rudia kusoma utapata jibu chakula kilipelekwa na nani, mtoto wa balozi wa nyumba kumi wewe
By Godbless Lema kupitia twitter:
"Tuna fuatilia kwa makini kitendo cha Familia ya Mkti Freeman Mbowe kuzuiwa kumpatia Mkti chakula kwa kuwa kuna maelekezo kutoka juu ."
Also by Martin Maranja Masese kupitia twitter:
"Freeman Mbowe ni mahabusu, sio mfungwa, na kuna utaratibu wa kuwapa mahabusu chakula kutoka nje ya gereza haswaa weekends. Leo watu waliopeleka chakula gereza la Ukonga kwa Freeman Mbowe wamezuiwa, na wanasisitiza ni amri kutoka juu. Mambo ya hovyo yanaendelea kufanyik."
Si kweli....Unaishi kwa matumaini ya kuteuliwa ndiyo unapofeli hapo.
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Hiyo tafsiri ya neno familia kwa jinsi ulivotafsiri wewe ni kamus ipi na toleo ganiMbowe ni mtu mkubwa.Ni nani aiyepeleka chakula?Kila mtu akileta chakula kwa ajili ya Mbowe kipokelewe tu?Familia ya Mbowe ni kubwa,wanachama wake,watoto wake,ndugu zake,wachaga wenzie n.k.Mbona Twaha Mwaipaya wamemtembelea na hawakuripoti jambo hilo bali himizo la kuwa watu waendelee na mapambano.
Alizushiwa kuhusu afya na matibabu na akaja kukiri mwenyewe kuwa anaangalia vizuri na madakari ni mojawapo na Prof Janabi.
Ukiacha ukubwa wake.Chadema wakati mwingine mtulie na kutafakari.Chakula kililetwa na nani?Sio kila mtu akileta chakula kitapokelewa kwa mtu mkubwa kama yule