Pre GE2025 Inadaiwa hasira za Lissu zinatokana na kunyimwa gari na Rais Samia

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Long story from a retarded brain. Hakuna cha maana ulichoandika zaidi ya kudhihirisha uwezo mdogo wa akili hata katika kutengeneza story.
 
Mimi sina chama ila hacheni kuwapa hao watu Airtime!
Lissu ashindwe kununua Nissan Patrol? Chai.

Hawa ni punguani. Hivi wanadhani kuna mtu mwenye akili anayeweza kuamini kuwa Lisu alirudi kwaajili ya kufuata gari. Hivi wanajua kuwa Lisu, kabla hajarejea, tayari alikuwa amepata kazi kwenye law firm kubwa ya kimataifa?

Maskini wa mali na akili utawajua kwa maandiko yao. Yaani wanaona gari ni kitu kikubwa cha ajabu!!
 
Kwa hiyo wa Tz wasio mpigia kura Raisi au kupinga Sera zake itakuwa sababu wamenyimwa Gari au magari Kwa akili zako

Mleta mada ni punguani maskini ambaye anaweza kukubali chochote akipewa gari. Inaonekana hajawahi kumiliki hata vitz.
 
Wanapokea rushwa kutoka kwa akina nani !! ??!
 
🙆 Sasa nineamini kuwa umasikini wa akili ni tatizo
 
Ni mbaya sana mtu mzima kuja kulia hapa jf kwa andiko refu ambalo limejaa uhongo
 
Kosa kubwa alilolifanya huyu mkimbizi kutoka Nchi ya nje ya Zanzibar ni kuuza ardhi yetu ya Tanganyika na kuacha ya kwao Zanzibar.full stop
 
Mimi sina chama ila hacheni kuwapa hao watu Airtime!
Lissu ashindwe kununua Nissan Patrol? Chai.
tunapoenda kwenye harusi au sherehe tunabebelea vinywaji kurudi navyo nyumbani sikwamba tunashindwa kuvinunua bali ni tamaa zetu zisizo na aibu.
ni kweli hashindwi kununua hiyo gari lakini kuna bei tofauti unapopewa gari na Rais wa nchi kwanza hawezi kukupa kitu inferior lazima liwe gari jipya namaanisha 0km ukiacha zilizotembea wakati wa kulikabidhi. lakini pia linaweza kununuliwa likiwa na gurantee na offer zingine.
 
Hili gazeti linanuka uharo.
 
Upuuzi mwingi unachosha kusoma
Naona malalamiko tu bila ushahidi

Ccm kama mnamtumia huyu kujibu hoja mmeliwa
 
Majitu kamq wewe,mnastahili execution by firing squad! Samia atoe magari, kwa pesa IPI, utaratibu upi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…