Pre GE2025 Inadaiwa hasira za Lissu zinatokana na kunyimwa gari na Rais Samia

Pre GE2025 Inadaiwa hasira za Lissu zinatokana na kunyimwa gari na Rais Samia

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mwanafalsafa, mchumi na mwanasiasa wa India ya kale, Chanakya aliwahi kusema, “There is some self-interest behind every friendship. There is no friendship without self-interests. This is a bitter truth.” Kwa lugha yetu adhimu ya Kiswahili tunaweza itafsiri kama “Hakuna urafiki bila maslahi binafsi. Huo ndio ukweli mchungu.” Hii inaendana na msemo maarufu usemao. “There are no permanent enemies nor permanent friends, just permanent interests.” au “Hakuna marafiki wa kudumu wala maadui wa kudumu. Kuna maslahi ya kudumu tu.”

Nimeanza makala hii na misamiati hiyo kwa nini? Ni kwa sababu lengo la makala hii ni kufichua unafiki ambao viongozi wa juu wa CHADEMA wamekuwa wakiufanya. Unafiki huu huwafanya waseme na kutenda kwa njia moja wanapopata wanachokitaka kutoka kwa serikali, lakini kinyume chake wanapotambua mahitaji yao hayajatimizwa.

Mchezo huu hawajauanza leo. Utaratibu huu umekuwa sehemu ya taswira yao ya kisiasa tangu chama chao kikawe chama kikuu cha upinzani baada ya uchaguzi wa mwaka 2010. Nadhani sote tumeshuhudia jinsi, wakati wa muhula wa pili wa awamu ya nne, viongozi wa CHADEMA walivyokuwa wakipiga kelele na kuitisha maandamano, kisha ghafla wakialikwa Ikulu na Rais Jakaya Kikwete, na kunyamaza kimya.

Sote tunakumbuka jinsi viongozi mbalimbali wa CHADEMA walivyokuwa wana tweza utu wa Rais Jakaya Kikwete kwa namna ile ile ambavyo sasa wanatweza utu wa Rais Samia Suluhu Hassan. Ridhiwani Kikwete alishawahi kunukuliwa akimuulize baba ake ni kwanini hachukulii hatua wanaomtunaka [CHADEMA]. Baba ake akamjibu tu kuwa kama rais ana nguvu nyingi na kama akiamua kutumia mamlaka yake basi atawaumiza zaidi ya matusi yao yanavyo muumiza.

Walijaribu aina hii hii ya siasa na hayati John Pombe Magufuli. Kwa bahati mbaya au nzuri wakakutana na mtu ambae hakuwa tayari kupoteza muda na kucheza mziki wao. Walitamani kutumia njia zile zile za maandamano na mikutano ya kisiasa kumtukana rais na kuzua taharuki ili waitwe Ikulu “wayajenge”. Matokeo yake ni Rais Magufuli akapiga marufuku maandamano na mikutano ya hadhara na akazima Bunge lisirushe vipindi vyake mubashara. CHADEMA wakakosa namna ya kupata wanacho kitafuta.

Rais Samia Suluhu Hassan alipo ingia madarakani mwaka 2021 akaamua afungue ukurasa mpya. Labda ilikua ni huruma yake kama mama na mwanamke. Labda ilikua ni ugeni wake kwenye nafasi ya urais. Ila aliamini kabisa CHADEMA walikua na nia ya dhati ya kushiriki katika siasa safi na kujenga taifa. Mama akawapa upendeleo maalum CHADEMA. Alifuta kesi zao wanachama wa CHADEMA karibia zote. Usiku wa tarehe 7 Machi, 2022, alipotoka gerezani Freeman Mbowe alialikwa kwa mazungumzo na Rais Samia.

Wote tulimsikia Makamu Mwenyekiti wa CCM, Ndugu Abdulrahman Kinana, mwanzoni mwa mwezi huu, alipo dhihirisha kwa umma kuwa maridhiano kati ya Serikali na CHADEMA yalikufa baada ya chama hicho cha upinzani kususia mchakato huo kwa kutaka swala liwe kati ya CCM na CHADEMA pekee. Huu ndio ubinafsi ninao zungumzia wa viongozi waandamizi wa CHADEMA.

Sasa tuje kwa Tundu Lissu. Watu wengi wanajiuliza inakuaje leo Tundu Lissu anaanza kumshambuliwa Rais Samia kwa namna inayo ashiria kumvunjia heshima kama mwanamke na kama rais wa nchi? Ukweli ni kwamba kuna mambo yake kadhaa wa kadhaa ambayo amekua aki yataka kutoka kwa rais ambayo rais kakataa kumtimizia. Zipo taarifa za kwamba Tundu Lissu aliomba Nissan Patrol kwa ajili ya matumizi yake binafsi. Lissu ambae kwa sasa hana kazi yoyote zaidi ya nafasi yake ndani ya CHADEMA amekua akiomba fedha mara kadhaa kutoka kwa rais kwa ajili ya mambo yake binafsi.

Hivyo nongwa ya Tundu Lissu kwa Rais Samia ni kutokana na kitendo cha kukataliwa maombi yake ya kupewa gari na fedha kwa ajili ya matumizi yake binafsi. Haya mengine anayo tamka hadharani kwenye mikutano na kwenye vyombo vya habari ni gelesha tu. Lengo lake ni kupiga kelele ili atimiziwe mahitaji yake.

Inakumbukwa vema, tarehe 16 Februari, 2022, Tundu Lissu alifanya mkutano na Rais Samia wakati ambapo Rais alikuwa safarini kikazi nchini Ubelgiji. Katika mkutano huo, Lissu alileta mbele madai mawili, huku jambo kuu likiwa kuhusu maslahi yake binafsi na uwezekano wa kurudi nchini akihakikishiwa usalama wake. Hata hivyo, kuhusu hilo la kuhakikishiwa usalama, ni dhahiri ni udanganyifu, kwani mwaka 2020 wakati wa uchaguzi mkuu chini ya uongozi wa Rais Magufuli, Lissu aligombea urais na akaendesha kampeni kote nchini akiwa chini ya ulinzi wa maafisa wa TISS, lakini hakuna jambo lolote baya lililomkuta. Madai yake makubwa yalikuwa yanahusu maslahi yake ya kibunge.

Mara baada ya kutimiziwa hayo, Tundu Lissu alitua airport ya JNIA tarehe 24 Januari, 2023. Alipotua tu nchini Lissu alitamka yafuatayo, "Rais Samia Suluhu Hassan kupitia serikali na chama chake wameonyesha utayari wa kuanzisha upya safari. Tunahitaji kuonyesha ya kwamba hata sisi tuko tayari kwa hili." Mtu huyo huyo aliesema chama chake kionyeshe utayari alikuja kukosoa mchakato wa maridhiano yaliokua yanasimamiwa na mwenyekiti wa chama chake Freeman Mbowe.

Hivyo basi Watanzania waelewe. Kelele zote anazo piga sasa hivi Tundu Lissu ni kwa sababu kuna madai yake na maombi yake ambayo rais amegoma kumtimizia kwa sababu ni kinyume na sheria na taratibu za nchi. Kosa pekee la Rais ni kusimamia uadilifu wa nafasi yake na serikali anayo iongoza. Na uzuri kwa sasa CHADEMA wameanza kutajana wenyewe kwa wenyewe na kushutumiana kupokea rushwa wenyewe kwa wenyewe. Yapo mengi tutazidi kuyasikia na mwisho wa siku ukweli wa mambo utadhihirika.
kujibu hoja za Lissu na ccm ni ngumu kuliko ugumu wenyewe
 
Mwanafalsafa, mchumi na mwanasiasa wa India ya kale, Chanakya aliwahi kusema, “There is some self-interest behind every friendship. There is no friendship without self-interests. This is a bitter truth.” Kwa lugha yetu adhimu ya Kiswahili tunaweza itafsiri kama “Hakuna urafiki bila maslahi binafsi. Huo ndio ukweli mchungu.” Hii inaendana na msemo maarufu usemao. “There are no permanent enemies nor permanent friends, just permanent interests.” au “Hakuna marafiki wa kudumu wala maadui wa kudumu. Kuna maslahi ya kudumu tu.”

Nimeanza makala hii na misamiati hiyo kwa nini? Ni kwa sababu lengo la makala hii ni kufichua unafiki ambao viongozi wa juu wa CHADEMA wamekuwa wakiufanya. Unafiki huu huwafanya waseme na kutenda kwa njia moja wanapopata wanachokitaka kutoka kwa serikali, lakini kinyume chake wanapotambua mahitaji yao hayajatimizwa.

Mchezo huu hawajauanza leo. Utaratibu huu umekuwa sehemu ya taswira yao ya kisiasa tangu chama chao kikawe chama kikuu cha upinzani baada ya uchaguzi wa mwaka 2010. Nadhani sote tumeshuhudia jinsi, wakati wa muhula wa pili wa awamu ya nne, viongozi wa CHADEMA walivyokuwa wakipiga kelele na kuitisha maandamano, kisha ghafla wakialikwa Ikulu na Rais Jakaya Kikwete, na kunyamaza kimya.

Sote tunakumbuka jinsi viongozi mbalimbali wa CHADEMA walivyokuwa wana tweza utu wa Rais Jakaya Kikwete kwa namna ile ile ambavyo sasa wanatweza utu wa Rais Samia Suluhu Hassan. Ridhiwani Kikwete alishawahi kunukuliwa akimuulize baba ake ni kwanini hachukulii hatua wanaomtunaka [CHADEMA]. Baba ake akamjibu tu kuwa kama rais ana nguvu nyingi na kama akiamua kutumia mamlaka yake basi atawaumiza zaidi ya matusi yao yanavyo muumiza.

Walijaribu aina hii hii ya siasa na hayati John Pombe Magufuli. Kwa bahati mbaya au nzuri wakakutana na mtu ambae hakuwa tayari kupoteza muda na kucheza mziki wao. Walitamani kutumia njia zile zile za maandamano na mikutano ya kisiasa kumtukana rais na kuzua taharuki ili waitwe Ikulu “wayajenge”. Matokeo yake ni Rais Magufuli akapiga marufuku maandamano na mikutano ya hadhara na akazima Bunge lisirushe vipindi vyake mubashara. CHADEMA wakakosa namna ya kupata wanacho kitafuta.

Rais Samia Suluhu Hassan alipo ingia madarakani mwaka 2021 akaamua afungue ukurasa mpya. Labda ilikua ni huruma yake kama mama na mwanamke. Labda ilikua ni ugeni wake kwenye nafasi ya urais. Ila aliamini kabisa CHADEMA walikua na nia ya dhati ya kushiriki katika siasa safi na kujenga taifa. Mama akawapa upendeleo maalum CHADEMA. Alifuta kesi zao wanachama wa CHADEMA karibia zote. Usiku wa tarehe 7 Machi, 2022, alipotoka gerezani Freeman Mbowe alialikwa kwa mazungumzo na Rais Samia.

Wote tulimsikia Makamu Mwenyekiti wa CCM, Ndugu Abdulrahman Kinana, mwanzoni mwa mwezi huu, alipo dhihirisha kwa umma kuwa maridhiano kati ya Serikali na CHADEMA yalikufa baada ya chama hicho cha upinzani kususia mchakato huo kwa kutaka swala liwe kati ya CCM na CHADEMA pekee. Huu ndio ubinafsi ninao zungumzia wa viongozi waandamizi wa CHADEMA.

Sasa tuje kwa Tundu Lissu. Watu wengi wanajiuliza inakuaje leo Tundu Lissu anaanza kumshambuliwa Rais Samia kwa namna inayo ashiria kumvunjia heshima kama mwanamke na kama rais wa nchi? Ukweli ni kwamba kuna mambo yake kadhaa wa kadhaa ambayo amekua aki yataka kutoka kwa rais ambayo rais kakataa kumtimizia. Zipo taarifa za kwamba Tundu Lissu aliomba Nissan Patrol kwa ajili ya matumizi yake binafsi. Lissu ambae kwa sasa hana kazi yoyote zaidi ya nafasi yake ndani ya CHADEMA amekua akiomba fedha mara kadhaa kutoka kwa rais kwa ajili ya mambo yake binafsi.

Hivyo nongwa ya Tundu Lissu kwa Rais Samia ni kutokana na kitendo cha kukataliwa maombi yake ya kupewa gari na fedha kwa ajili ya matumizi yake binafsi. Haya mengine anayo tamka hadharani kwenye mikutano na kwenye vyombo vya habari ni gelesha tu. Lengo lake ni kupiga kelele ili atimiziwe mahitaji yake.

Inakumbukwa vema, tarehe 16 Februari, 2022, Tundu Lissu alifanya mkutano na Rais Samia wakati ambapo Rais alikuwa safarini kikazi nchini Ubelgiji. Katika mkutano huo, Lissu alileta mbele madai mawili, huku jambo kuu likiwa kuhusu maslahi yake binafsi na uwezekano wa kurudi nchini akihakikishiwa usalama wake. Hata hivyo, kuhusu hilo la kuhakikishiwa usalama, ni dhahiri ni udanganyifu, kwani mwaka 2020 wakati wa uchaguzi mkuu chini ya uongozi wa Rais Magufuli, Lissu aligombea urais na akaendesha kampeni kote nchini akiwa chini ya ulinzi wa maafisa wa TISS, lakini hakuna jambo lolote baya lililomkuta. Madai yake makubwa yalikuwa yanahusu maslahi yake ya kibunge.

Mara baada ya kutimiziwa hayo, Tundu Lissu alitua airport ya JNIA tarehe 24 Januari, 2023. Alipotua tu nchini Lissu alitamka yafuatayo, "Rais Samia Suluhu Hassan kupitia serikali na chama chake wameonyesha utayari wa kuanzisha upya safari. Tunahitaji kuonyesha ya kwamba hata sisi tuko tayari kwa hili." Mtu huyo huyo aliesema chama chake kionyeshe utayari alikuja kukosoa mchakato wa maridhiano yaliokua yanasimamiwa na mwenyekiti wa chama chake Freeman Mbowe.

Hivyo basi Watanzania waelewe. Kelele zote anazo piga sasa hivi Tundu Lissu ni kwa sababu kuna madai yake na maombi yake ambayo rais amegoma kumtimizia kwa sababu ni kinyume na sheria na taratibu za nchi. Kosa pekee la Rais ni kusimamia uadilifu wa nafasi yake na serikali anayo iongoza. Na uzuri kwa sasa CHADEMA wameanza kutajana wenyewe kwa wenyewe na kushutumiana kupokea rushwa wenyewe kwa wenyewe. Yapo mengi tutazidi kuyasikia na mwisho wa siku ukweli wa mambo utadhihirika.
Siku za nyuma propaganda kama hizi watu waliziamini, lakini kadiri kizazi kinavyozidi kubadika, propaganda kama hizi zimebaki kuwaingia wavivu wa kufikiri. Inshort rudi shule ukajifunze propaganda.
 
Mwanafalsafa, mchumi na mwanasiasa wa India ya kale, Chanakya aliwahi kusema, “There is some self-interest behind every friendship. There is no friendship without self-interests. This is a bitter truth.” Kwa lugha yetu adhimu ya Kiswahili tunaweza itafsiri kama “Hakuna urafiki bila maslahi binafsi. Huo ndio ukweli mchungu.” Hii inaendana na msemo maarufu usemao. “There are no permanent enemies nor permanent friends, just permanent interests.” au “Hakuna marafiki wa kudumu wala maadui wa kudumu. Kuna maslahi ya kudumu tu.”

Nimeanza makala hii na misamiati hiyo kwa nini? Ni kwa sababu lengo la makala hii ni kufichua unafiki ambao viongozi wa juu wa CHADEMA wamekuwa wakiufanya. Unafiki huu huwafanya waseme na kutenda kwa njia moja wanapopata wanachokitaka kutoka kwa serikali, lakini kinyume chake wanapotambua mahitaji yao hayajatimizwa.

Mchezo huu hawajauanza leo. Utaratibu huu umekuwa sehemu ya taswira yao ya kisiasa tangu chama chao kikawe chama kikuu cha upinzani baada ya uchaguzi wa mwaka 2010. Nadhani sote tumeshuhudia jinsi, wakati wa muhula wa pili wa awamu ya nne, viongozi wa CHADEMA walivyokuwa wakipiga kelele na kuitisha maandamano, kisha ghafla wakialikwa Ikulu na Rais Jakaya Kikwete, na kunyamaza kimya.

Sote tunakumbuka jinsi viongozi mbalimbali wa CHADEMA walivyokuwa wana tweza utu wa Rais Jakaya Kikwete kwa namna ile ile ambavyo sasa wanatweza utu wa Rais Samia Suluhu Hassan. Ridhiwani Kikwete alishawahi kunukuliwa akimuulize baba ake ni kwanini hachukulii hatua wanaomtunaka [CHADEMA]. Baba ake akamjibu tu kuwa kama rais ana nguvu nyingi na kama akiamua kutumia mamlaka yake basi atawaumiza zaidi ya matusi yao yanavyo muumiza.

Walijaribu aina hii hii ya siasa na hayati John Pombe Magufuli. Kwa bahati mbaya au nzuri wakakutana na mtu ambae hakuwa tayari kupoteza muda na kucheza mziki wao. Walitamani kutumia njia zile zile za maandamano na mikutano ya kisiasa kumtukana rais na kuzua taharuki ili waitwe Ikulu “wayajenge”. Matokeo yake ni Rais Magufuli akapiga marufuku maandamano na mikutano ya hadhara na akazima Bunge lisirushe vipindi vyake mubashara. CHADEMA wakakosa namna ya kupata wanacho kitafuta.

Rais Samia Suluhu Hassan alipo ingia madarakani mwaka 2021 akaamua afungue ukurasa mpya. Labda ilikua ni huruma yake kama mama na mwanamke. Labda ilikua ni ugeni wake kwenye nafasi ya urais. Ila aliamini kabisa CHADEMA walikua na nia ya dhati ya kushiriki katika siasa safi na kujenga taifa. Mama akawapa upendeleo maalum CHADEMA. Alifuta kesi zao wanachama wa CHADEMA karibia zote. Usiku wa tarehe 7 Machi, 2022, alipotoka gerezani Freeman Mbowe alialikwa kwa mazungumzo na Rais Samia.

Wote tulimsikia Makamu Mwenyekiti wa CCM, Ndugu Abdulrahman Kinana, mwanzoni mwa mwezi huu, alipo dhihirisha kwa umma kuwa maridhiano kati ya Serikali na CHADEMA yalikufa baada ya chama hicho cha upinzani kususia mchakato huo kwa kutaka swala liwe kati ya CCM na CHADEMA pekee. Huu ndio ubinafsi ninao zungumzia wa viongozi waandamizi wa CHADEMA.

Sasa tuje kwa Tundu Lissu. Watu wengi wanajiuliza inakuaje leo Tundu Lissu anaanza kumshambuliwa Rais Samia kwa namna inayo ashiria kumvunjia heshima kama mwanamke na kama rais wa nchi? Ukweli ni kwamba kuna mambo yake kadhaa wa kadhaa ambayo amekua aki yataka kutoka kwa rais ambayo rais kakataa kumtimizia. Zipo taarifa za kwamba Tundu Lissu aliomba Nissan Patrol kwa ajili ya matumizi yake binafsi. Lissu ambae kwa sasa hana kazi yoyote zaidi ya nafasi yake ndani ya CHADEMA amekua akiomba fedha mara kadhaa kutoka kwa rais kwa ajili ya mambo yake binafsi.

Hivyo nongwa ya Tundu Lissu kwa Rais Samia ni kutokana na kitendo cha kukataliwa maombi yake ya kupewa gari na fedha kwa ajili ya matumizi yake binafsi. Haya mengine anayo tamka hadharani kwenye mikutano na kwenye vyombo vya habari ni gelesha tu. Lengo lake ni kupiga kelele ili atimiziwe mahitaji yake.

Inakumbukwa vema, tarehe 16 Februari, 2022, Tundu Lissu alifanya mkutano na Rais Samia wakati ambapo Rais alikuwa safarini kikazi nchini Ubelgiji. Katika mkutano huo, Lissu alileta mbele madai mawili, huku jambo kuu likiwa kuhusu maslahi yake binafsi na uwezekano wa kurudi nchini akihakikishiwa usalama wake. Hata hivyo, kuhusu hilo la kuhakikishiwa usalama, ni dhahiri ni udanganyifu, kwani mwaka 2020 wakati wa uchaguzi mkuu chini ya uongozi wa Rais Magufuli, Lissu aligombea urais na akaendesha kampeni kote nchini akiwa chini ya ulinzi wa maafisa wa TISS, lakini hakuna jambo lolote baya lililomkuta. Madai yake makubwa yalikuwa yanahusu maslahi yake ya kibunge.

Mara baada ya kutimiziwa hayo, Tundu Lissu alitua airport ya JNIA tarehe 24 Januari, 2023. Alipotua tu nchini Lissu alitamka yafuatayo, "Rais Samia Suluhu Hassan kupitia serikali na chama chake wameonyesha utayari wa kuanzisha upya safari. Tunahitaji kuonyesha ya kwamba hata sisi tuko tayari kwa hili." Mtu huyo huyo aliesema chama chake kionyeshe utayari alikuja kukosoa mchakato wa maridhiano yaliokua yanasimamiwa na mwenyekiti wa chama chake Freeman Mbowe.

Hivyo basi Watanzania waelewe. Kelele zote anazo piga sasa hivi Tundu Lissu ni kwa sababu kuna madai yake na maombi yake ambayo rais amegoma kumtimizia kwa sababu ni kinyume na sheria na taratibu za nchi. Kosa pekee la Rais ni kusimamia uadilifu wa nafasi yake na serikali anayo iongoza. Na uzuri kwa sasa CHADEMA wameanza kutajana wenyewe kwa wenyewe na kushutumiana kupokea rushwa wenyewe kwa wenyewe. Yapo mengi tutazidi kuyasikia na mwisho wa siku ukweli wa mambo utadhihirika.
Hoja alizoeleza Tundu Lissu ni za kweli au siyo za kweli? Ni hayo tu mleta mada..
 
Nina maswali kadhaa kwako mleta mada.

Mosi ,lini Lissu alimshambulia Samia na alimshambulia vipi?

Pili, lini Lissu aliomba gari hiyo ya Nissan Patrol unaweza kuweka ushahidi?

Tatu , kwanini Lissu alipoenda kufuata gari yake iliyomiminiwa risasi Dodoma pale kituoni walimkatalia?

Nne ,je lini serikali itaruhusu uchunguzi huru kutoka vyombo vya nje akama Scotland Yard baada ya yenyewe kuonyesha kushindwa kuwatia nguvuni waliomminia Lissu risasi 16 mchana kweupe kwenye eneo lenye ulinzi kabisa?

Tano ,camera za ulinzi za eneo la alipomiminiwa Lissu risasi 16 ziko wapi na nani alishiriki kuziondoa?

Hebu tuanze na hayo kwanza.
 
Mwanafalsafa, mchumi na mwanasiasa wa India ya kale, Chanakya aliwahi kusema, “There is some self-interest behind every friendship. There is no friendship without self-interests. This is a bitter truth.” Kwa lugha yetu adhimu ya Kiswahili tunaweza itafsiri kama “Hakuna urafiki bila maslahi binafsi. Huo ndio ukweli mchungu.” Hii inaendana na msemo maarufu usemao. “There are no permanent enemies nor permanent friends, just permanent interests.” au “Hakuna marafiki wa kudumu wala maadui wa kudumu. Kuna maslahi ya kudumu tu.”

Nimeanza makala hii na misamiati hiyo kwa nini? Ni kwa sababu lengo la makala hii ni kufichua unafiki ambao viongozi wa juu wa CHADEMA wamekuwa wakiufanya. Unafiki huu huwafanya waseme na kutenda kwa njia moja wanapopata wanachokitaka kutoka kwa serikali, lakini kinyume chake wanapotambua mahitaji yao hayajatimizwa.

Mchezo huu hawajauanza leo. Utaratibu huu umekuwa sehemu ya taswira yao ya kisiasa tangu chama chao kikawe chama kikuu cha upinzani baada ya uchaguzi wa mwaka 2010. Nadhani sote tumeshuhudia jinsi, wakati wa muhula wa pili wa awamu ya nne, viongozi wa CHADEMA walivyokuwa wakipiga kelele na kuitisha maandamano, kisha ghafla wakialikwa Ikulu na Rais Jakaya Kikwete, na kunyamaza kimya.

Sote tunakumbuka jinsi viongozi mbalimbali wa CHADEMA walivyokuwa wana tweza utu wa Rais Jakaya Kikwete kwa namna ile ile ambavyo sasa wanatweza utu wa Rais Samia Suluhu Hassan. Ridhiwani Kikwete alishawahi kunukuliwa akimuulize baba ake ni kwanini hachukulii hatua wanaomtunaka [CHADEMA]. Baba ake akamjibu tu kuwa kama rais ana nguvu nyingi na kama akiamua kutumia mamlaka yake basi atawaumiza zaidi ya matusi yao yanavyo muumiza.

Walijaribu aina hii hii ya siasa na hayati John Pombe Magufuli. Kwa bahati mbaya au nzuri wakakutana na mtu ambae hakuwa tayari kupoteza muda na kucheza mziki wao. Walitamani kutumia njia zile zile za maandamano na mikutano ya kisiasa kumtukana rais na kuzua taharuki ili waitwe Ikulu “wayajenge”. Matokeo yake ni Rais Magufuli akapiga marufuku maandamano na mikutano ya hadhara na akazima Bunge lisirushe vipindi vyake mubashara. CHADEMA wakakosa namna ya kupata wanacho kitafuta.

Rais Samia Suluhu Hassan alipo ingia madarakani mwaka 2021 akaamua afungue ukurasa mpya. Labda ilikua ni huruma yake kama mama na mwanamke. Labda ilikua ni ugeni wake kwenye nafasi ya urais. Ila aliamini kabisa CHADEMA walikua na nia ya dhati ya kushiriki katika siasa safi na kujenga taifa. Mama akawapa upendeleo maalum CHADEMA. Alifuta kesi zao wanachama wa CHADEMA karibia zote. Usiku wa tarehe 7 Machi, 2022, alipotoka gerezani Freeman Mbowe alialikwa kwa mazungumzo na Rais Samia.

Wote tulimsikia Makamu Mwenyekiti wa CCM, Ndugu Abdulrahman Kinana, mwanzoni mwa mwezi huu, alipo dhihirisha kwa umma kuwa maridhiano kati ya Serikali na CHADEMA yalikufa baada ya chama hicho cha upinzani kususia mchakato huo kwa kutaka swala liwe kati ya CCM na CHADEMA pekee. Huu ndio ubinafsi ninao zungumzia wa viongozi waandamizi wa CHADEMA.

Sasa tuje kwa Tundu Lissu. Watu wengi wanajiuliza inakuaje leo Tundu Lissu anaanza kumshambuliwa Rais Samia kwa namna inayo ashiria kumvunjia heshima kama mwanamke na kama rais wa nchi? Ukweli ni kwamba kuna mambo yake kadhaa wa kadhaa ambayo amekua aki yataka kutoka kwa rais ambayo rais kakataa kumtimizia. Zipo taarifa za kwamba Tundu Lissu aliomba Nissan Patrol kwa ajili ya matumizi yake binafsi. Lissu ambae kwa sasa hana kazi yoyote zaidi ya nafasi yake ndani ya CHADEMA amekua akiomba fedha mara kadhaa kutoka kwa rais kwa ajili ya mambo yake binafsi.

Hivyo nongwa ya Tundu Lissu kwa Rais Samia ni kutokana na kitendo cha kukataliwa maombi yake ya kupewa gari na fedha kwa ajili ya matumizi yake binafsi. Haya mengine anayo tamka hadharani kwenye mikutano na kwenye vyombo vya habari ni gelesha tu. Lengo lake ni kupiga kelele ili atimiziwe mahitaji yake.

Inakumbukwa vema, tarehe 16 Februari, 2022, Tundu Lissu alifanya mkutano na Rais Samia wakati ambapo Rais alikuwa safarini kikazi nchini Ubelgiji. Katika mkutano huo, Lissu alileta mbele madai mawili, huku jambo kuu likiwa kuhusu maslahi yake binafsi na uwezekano wa kurudi nchini akihakikishiwa usalama wake. Hata hivyo, kuhusu hilo la kuhakikishiwa usalama, ni dhahiri ni udanganyifu, kwani mwaka 2020 wakati wa uchaguzi mkuu chini ya uongozi wa Rais Magufuli, Lissu aligombea urais na akaendesha kampeni kote nchini akiwa chini ya ulinzi wa maafisa wa TISS, lakini hakuna jambo lolote baya lililomkuta. Madai yake makubwa yalikuwa yanahusu maslahi yake ya kibunge.

Mara baada ya kutimiziwa hayo, Tundu Lissu alitua airport ya JNIA tarehe 24 Januari, 2023. Alipotua tu nchini Lissu alitamka yafuatayo, "Rais Samia Suluhu Hassan kupitia serikali na chama chake wameonyesha utayari wa kuanzisha upya safari. Tunahitaji kuonyesha ya kwamba hata sisi tuko tayari kwa hili." Mtu huyo huyo aliesema chama chake kionyeshe utayari alikuja kukosoa mchakato wa maridhiano yaliokua yanasimamiwa na mwenyekiti wa chama chake Freeman Mbowe.

Hivyo basi Watanzania waelewe. Kelele zote anazo piga sasa hivi Tundu Lissu ni kwa sababu kuna madai yake na maombi yake ambayo rais amegoma kumtimizia kwa sababu ni kinyume na sheria na taratibu za nchi. Kosa pekee la Rais ni kusimamia uadilifu wa nafasi yake na serikali anayo iongoza. Na uzuri kwa sasa CHADEMA wameanza kutajana wenyewe kwa wenyewe na kushutumiana kupokea rushwa wenyewe kwa wenyewe. Yapo mengi tutazidi kuyasikia na mwisho wa siku ukweli wa mambo utadhihirika.
Lissu Hana gari?
 
Mwanafalsafa, mchumi na mwanasiasa wa India ya kale, Chanakya aliwahi kusema, “There is some self-interest behind every friendship. There is no friendship without self-interests. This is a bitter truth.” Kwa lugha yetu adhimu ya Kiswahili tunaweza itafsiri kama “Hakuna urafiki bila maslahi binafsi. Huo ndio ukweli mchungu.” Hii inaendana na msemo maarufu usemao. “There are no permanent enemies nor permanent friends, just permanent interests.” au “Hakuna marafiki wa kudumu wala maadui wa kudumu. Kuna maslahi ya kudumu tu.”

Nimeanza makala hii na misamiati hiyo kwa nini? Ni kwa sababu lengo la makala hii ni kufichua unafiki ambao viongozi wa juu wa CHADEMA wamekuwa wakiufanya. Unafiki huu huwafanya waseme na kutenda kwa njia moja wanapopata wanachokitaka kutoka kwa serikali, lakini kinyume chake wanapotambua mahitaji yao hayajatimizwa.

Mchezo huu hawajauanza leo. Utaratibu huu umekuwa sehemu ya taswira yao ya kisiasa tangu chama chao kikawe chama kikuu cha upinzani baada ya uchaguzi wa mwaka 2010. Nadhani sote tumeshuhudia jinsi, wakati wa muhula wa pili wa awamu ya nne, viongozi wa CHADEMA walivyokuwa wakipiga kelele na kuitisha maandamano, kisha ghafla wakialikwa Ikulu na Rais Jakaya Kikwete, na kunyamaza kimya.

Sote tunakumbuka jinsi viongozi mbalimbali wa CHADEMA walivyokuwa wana tweza utu wa Rais Jakaya Kikwete kwa namna ile ile ambavyo sasa wanatweza utu wa Rais Samia Suluhu Hassan. Ridhiwani Kikwete alishawahi kunukuliwa akimuulize baba ake ni kwanini hachukulii hatua wanaomtunaka [CHADEMA]. Baba ake akamjibu tu kuwa kama rais ana nguvu nyingi na kama akiamua kutumia mamlaka yake basi atawaumiza zaidi ya matusi yao yanavyo muumiza.

Walijaribu aina hii hii ya siasa na hayati John Pombe Magufuli. Kwa bahati mbaya au nzuri wakakutana na mtu ambae hakuwa tayari kupoteza muda na kucheza mziki wao. Walitamani kutumia njia zile zile za maandamano na mikutano ya kisiasa kumtukana rais na kuzua taharuki ili waitwe Ikulu “wayajenge”. Matokeo yake ni Rais Magufuli akapiga marufuku maandamano na mikutano ya hadhara na akazima Bunge lisirushe vipindi vyake mubashara. CHADEMA wakakosa namna ya kupata wanacho kitafuta.

Rais Samia Suluhu Hassan alipo ingia madarakani mwaka 2021 akaamua afungue ukurasa mpya. Labda ilikua ni huruma yake kama mama na mwanamke. Labda ilikua ni ugeni wake kwenye nafasi ya urais. Ila aliamini kabisa CHADEMA walikua na nia ya dhati ya kushiriki katika siasa safi na kujenga taifa. Mama akawapa upendeleo maalum CHADEMA. Alifuta kesi zao wanachama wa CHADEMA karibia zote. Usiku wa tarehe 7 Machi, 2022, alipotoka gerezani Freeman Mbowe alialikwa kwa mazungumzo na Rais Samia.

Wote tulimsikia Makamu Mwenyekiti wa CCM, Ndugu Abdulrahman Kinana, mwanzoni mwa mwezi huu, alipo dhihirisha kwa umma kuwa maridhiano kati ya Serikali na CHADEMA yalikufa baada ya chama hicho cha upinzani kususia mchakato huo kwa kutaka swala liwe kati ya CCM na CHADEMA pekee. Huu ndio ubinafsi ninao zungumzia wa viongozi waandamizi wa CHADEMA.

Sasa tuje kwa Tundu Lissu. Watu wengi wanajiuliza inakuaje leo Tundu Lissu anaanza kumshambuliwa Rais Samia kwa namna inayo ashiria kumvunjia heshima kama mwanamke na kama rais wa nchi? Ukweli ni kwamba kuna mambo yake kadhaa wa kadhaa ambayo amekua aki yataka kutoka kwa rais ambayo rais kakataa kumtimizia. Zipo taarifa za kwamba Tundu Lissu aliomba Nissan Patrol kwa ajili ya matumizi yake binafsi. Lissu ambae kwa sasa hana kazi yoyote zaidi ya nafasi yake ndani ya CHADEMA amekua akiomba fedha mara kadhaa kutoka kwa rais kwa ajili ya mambo yake binafsi.

Hivyo nongwa ya Tundu Lissu kwa Rais Samia ni kutokana na kitendo cha kukataliwa maombi yake ya kupewa gari na fedha kwa ajili ya matumizi yake binafsi. Haya mengine anayo tamka hadharani kwenye mikutano na kwenye vyombo vya habari ni gelesha tu. Lengo lake ni kupiga kelele ili atimiziwe mahitaji yake.

Inakumbukwa vema, tarehe 16 Februari, 2022, Tundu Lissu alifanya mkutano na Rais Samia wakati ambapo Rais alikuwa safarini kikazi nchini Ubelgiji. Katika mkutano huo, Lissu alileta mbele madai mawili, huku jambo kuu likiwa kuhusu maslahi yake binafsi na uwezekano wa kurudi nchini akihakikishiwa usalama wake. Hata hivyo, kuhusu hilo la kuhakikishiwa usalama, ni dhahiri ni udanganyifu, kwani mwaka 2020 wakati wa uchaguzi mkuu chini ya uongozi wa Rais Magufuli, Lissu aligombea urais na akaendesha kampeni kote nchini akiwa chini ya ulinzi wa maafisa wa TISS, lakini hakuna jambo lolote baya lililomkuta. Madai yake makubwa yalikuwa yanahusu maslahi yake ya kibunge.

Mara baada ya kutimiziwa hayo, Tundu Lissu alitua airport ya JNIA tarehe 24 Januari, 2023. Alipotua tu nchini Lissu alitamka yafuatayo, "Rais Samia Suluhu Hassan kupitia serikali na chama chake wameonyesha utayari wa kuanzisha upya safari. Tunahitaji kuonyesha ya kwamba hata sisi tuko tayari kwa hili." Mtu huyo huyo aliesema chama chake kionyeshe utayari alikuja kukosoa mchakato wa maridhiano yaliokua yanasimamiwa na mwenyekiti wa chama chake Freeman Mbowe.

Hivyo basi Watanzania waelewe. Kelele zote anazo piga sasa hivi Tundu Lissu ni kwa sababu kuna madai yake na maombi yake ambayo rais amegoma kumtimizia kwa sababu ni kinyume na sheria na taratibu za nchi. Kosa pekee la Rais ni kusimamia uadilifu wa nafasi yake na serikali anayo iongoza. Na uzuri kwa sasa CHADEMA wameanza kutajana wenyewe kwa wenyewe na kushutumiana kupokea rushwa wenyewe kwa wenyewe. Yapo mengi tutazidi kuyasikia na mwisho wa siku ukweli wa mambo utadhihirika.
Amemnyima Lissu gari ila MAULIDI Kitenge akampa?
 
Upo tayari kuandika uongo na kushuhudia uongo kwa mtanzania mwenzako kisa uchawa kwa CCM ?. Andiko lote Hilo ili umfurahishe mama Abdul. Wewe ni mjinga na mpumbavu kwa wakati mmoja.
 
Mwanafalsafa, mchumi na mwanasiasa wa India ya kale, Chanakya aliwahi kusema, “There is some self-interest behind every friendship. There is no friendship without self-interests. This is a bitter truth.” Kwa lugha yetu adhimu ya Kiswahili tunaweza itafsiri kama “Hakuna urafiki bila maslahi binafsi. Huo ndio ukweli mchungu.” Hii inaendana na msemo maarufu usemao. “There are no permanent enemies nor permanent friends, just permanent interests.” au “Hakuna marafiki wa kudumu wala maadui wa kudumu. Kuna maslahi ya kudumu tu.”

Nimeanza makala hii na misamiati hiyo kwa nini? Ni kwa sababu lengo la makala hii ni kufichua unafiki ambao viongozi wa juu wa CHADEMA wamekuwa wakiufanya. Unafiki huu huwafanya waseme na kutenda kwa njia moja wanapopata wanachokitaka kutoka kwa serikali, lakini kinyume chake wanapotambua mahitaji yao hayajatimizwa.

Mchezo huu hawajauanza leo. Utaratibu huu umekuwa sehemu ya taswira yao ya kisiasa tangu chama chao kikawe chama kikuu cha upinzani baada ya uchaguzi wa mwaka 2010. Nadhani sote tumeshuhudia jinsi, wakati wa muhula wa pili wa awamu ya nne, viongozi wa CHADEMA walivyokuwa wakipiga kelele na kuitisha maandamano, kisha ghafla wakialikwa Ikulu na Rais Jakaya Kikwete, na kunyamaza kimya.

Sote tunakumbuka jinsi viongozi mbalimbali wa CHADEMA walivyokuwa wana tweza utu wa Rais Jakaya Kikwete kwa namna ile ile ambavyo sasa wanatweza utu wa Rais Samia Suluhu Hassan. Ridhiwani Kikwete alishawahi kunukuliwa akimuulize baba ake ni kwanini hachukulii hatua wanaomtunaka [CHADEMA]. Baba ake akamjibu tu kuwa kama rais ana nguvu nyingi na kama akiamua kutumia mamlaka yake basi atawaumiza zaidi ya matusi yao yanavyo muumiza.

Walijaribu aina hii hii ya siasa na hayati John Pombe Magufuli. Kwa bahati mbaya au nzuri wakakutana na mtu ambae hakuwa tayari kupoteza muda na kucheza mziki wao. Walitamani kutumia njia zile zile za maandamano na mikutano ya kisiasa kumtukana rais na kuzua taharuki ili waitwe Ikulu “wayajenge”. Matokeo yake ni Rais Magufuli akapiga marufuku maandamano na mikutano ya hadhara na akazima Bunge lisirushe vipindi vyake mubashara. CHADEMA wakakosa namna ya kupata wanacho kitafuta.

Rais Samia Suluhu Hassan alipo ingia madarakani mwaka 2021 akaamua afungue ukurasa mpya. Labda ilikua ni huruma yake kama mama na mwanamke. Labda ilikua ni ugeni wake kwenye nafasi ya urais. Ila aliamini kabisa CHADEMA walikua na nia ya dhati ya kushiriki katika siasa safi na kujenga taifa. Mama akawapa upendeleo maalum CHADEMA. Alifuta kesi zao wanachama wa CHADEMA karibia zote. Usiku wa tarehe 7 Machi, 2022, alipotoka gerezani Freeman Mbowe alialikwa kwa mazungumzo na Rais Samia.

Wote tulimsikia Makamu Mwenyekiti wa CCM, Ndugu Abdulrahman Kinana, mwanzoni mwa mwezi huu, alipo dhihirisha kwa umma kuwa maridhiano kati ya Serikali na CHADEMA yalikufa baada ya chama hicho cha upinzani kususia mchakato huo kwa kutaka swala liwe kati ya CCM na CHADEMA pekee. Huu ndio ubinafsi ninao zungumzia wa viongozi waandamizi wa CHADEMA.

Sasa tuje kwa Tundu Lissu. Watu wengi wanajiuliza inakuaje leo Tundu Lissu anaanza kumshambuliwa Rais Samia kwa namna inayo ashiria kumvunjia heshima kama mwanamke na kama rais wa nchi? Ukweli ni kwamba kuna mambo yake kadhaa wa kadhaa ambayo amekua aki yataka kutoka kwa rais ambayo rais kakataa kumtimizia. Zipo taarifa za kwamba Tundu Lissu aliomba Nissan Patrol kwa ajili ya matumizi yake binafsi. Lissu ambae kwa sasa hana kazi yoyote zaidi ya nafasi yake ndani ya CHADEMA amekua akiomba fedha mara kadhaa kutoka kwa rais kwa ajili ya mambo yake binafsi.

Hivyo nongwa ya Tundu Lissu kwa Rais Samia ni kutokana na kitendo cha kukataliwa maombi yake ya kupewa gari na fedha kwa ajili ya matumizi yake binafsi. Haya mengine anayo tamka hadharani kwenye mikutano na kwenye vyombo vya habari ni gelesha tu. Lengo lake ni kupiga kelele ili atimiziwe mahitaji yake.

Inakumbukwa vema, tarehe 16 Februari, 2022, Tundu Lissu alifanya mkutano na Rais Samia wakati ambapo Rais alikuwa safarini kikazi nchini Ubelgiji. Katika mkutano huo, Lissu alileta mbele madai mawili, huku jambo kuu likiwa kuhusu maslahi yake binafsi na uwezekano wa kurudi nchini akihakikishiwa usalama wake. Hata hivyo, kuhusu hilo la kuhakikishiwa usalama, ni dhahiri ni udanganyifu, kwani mwaka 2020 wakati wa uchaguzi mkuu chini ya uongozi wa Rais Magufuli, Lissu aligombea urais na akaendesha kampeni kote nchini akiwa chini ya ulinzi wa maafisa wa TISS, lakini hakuna jambo lolote baya lililomkuta. Madai yake makubwa yalikuwa yanahusu maslahi yake ya kibunge.

Mara baada ya kutimiziwa hayo, Tundu Lissu alitua airport ya JNIA tarehe 24 Januari, 2023. Alipotua tu nchini Lissu alitamka yafuatayo, "Rais Samia Suluhu Hassan kupitia serikali na chama chake wameonyesha utayari wa kuanzisha upya safari. Tunahitaji kuonyesha ya kwamba hata sisi tuko tayari kwa hili." Mtu huyo huyo aliesema chama chake kionyeshe utayari alikuja kukosoa mchakato wa maridhiano yaliokua yanasimamiwa na mwenyekiti wa chama chake Freeman Mbowe.

Hivyo basi Watanzania waelewe. Kelele zote anazo piga sasa hivi Tundu Lissu ni kwa sababu kuna madai yake na maombi yake ambayo rais amegoma kumtimizia kwa sababu ni kinyume na sheria na taratibu za nchi. Kosa pekee la Rais ni kusimamia uadilifu wa nafasi yake na serikali anayo iongoza. Na uzuri kwa sasa CHADEMA wameanza kutajana wenyewe kwa wenyewe na kushutumiana kupokea rushwa wenyewe kwa wenyewe. Yapo mengi tutazidi kuyasikia na mwisho wa siku ukweli wa mambo utadhihirika.
Gari? Kanyimwa gari?..... Very stupid argument

Mwisho mtakuja na hoja kuwa Tundu Lissu anamwandama Samia Suluhu Hassan - Mzanzibari kwa kuwa alimnyima tendo la ngono kwa kuwa alimtongoza Ubelgiji na kumkataa.!

By the way, nani kakuambia kuwa Tundu Lissu anashindwa kununua gari lake kwa pesa za jasho lake tokana na kufanya kazi zake kwa bidii?

Na kwa taarifa yako ni kuwa, Tundu Lissu anapendwa na kukubalika na kila mpenda ukweli na haki kwa sababu ya matokeo ya kazi zake nzuri katika jamii ya Watanganganyika.

Tundu Lissu ana - influence watu kwa elimu ya uraia (civic education) anayotoa kiasi cha kuamsha ufahamu na akili za watu kuijua na kulielewa taifa lao na historia yake kwa usahihi.

Tundu Lissu anawatoa watu kwenye giza la fikra mbovu na za uongo zilizosababishwa na CCM kwa miaka zaidi ya 60 tangu uhuru wa Tanganyika mwaka 1961.

Watu tunautambua mchango wake mkubwa kwa nchi hii. Huyu mtu ndiye tunayemhitaji kama nchi na taifa. Hii ni hazina ya nchi na taifa.

Acha kuzusha uongo usio na kichwa wala miguu. Utahukumiwa severely, shauri lako.

Na kwa sababu hii, akitangaza hata leo kuwa anataka gari mpya ya aina yoyote hata kama ni mbili au tatu, tutachanga mapesa na tutanunua gari hizo kwa ajili yake Ili aweze kufanya kazi ya kuongoza mapambano ya kuikomboa nchi kwa urahisi zaidi!!

Lakini kutaka gari toka kwa mafisadi na wala rushwa, wanuka damu za watu na wanyimi wa haki za watu kina Samia Suluhu Hassan na wenzake huko CCM, HAPANA.!!
 
Mwanafalsafa, mchumi na mwanasiasa wa India ya kale, Chanakya aliwahi kusema, “There is some self-interest behind every friendship. There is no friendship without self-interests. This is a bitter truth.” Kwa lugha yetu adhimu ya Kiswahili tunaweza itafsiri kama “Hakuna urafiki bila maslahi binafsi. Huo ndio ukweli mchungu.” Hii inaendana na msemo maarufu usemao. “There are no permanent enemies nor permanent friends, just permanent interests.” au “Hakuna marafiki wa kudumu wala maadui wa kudumu. Kuna maslahi ya kudumu tu.”

Nimeanza makala hii na misamiati hiyo kwa nini? Ni kwa sababu lengo la makala hii ni kufichua unafiki ambao viongozi wa juu wa CHADEMA wamekuwa wakiufanya. Unafiki huu huwafanya waseme na kutenda kwa njia moja wanapopata wanachokitaka kutoka kwa serikali, lakini kinyume chake wanapotambua mahitaji yao hayajatimizwa.

Mchezo huu hawajauanza leo. Utaratibu huu umekuwa sehemu ya taswira yao ya kisiasa tangu chama chao kikawe chama kikuu cha upinzani baada ya uchaguzi wa mwaka 2010. Nadhani sote tumeshuhudia jinsi, wakati wa muhula wa pili wa awamu ya nne, viongozi wa CHADEMA walivyokuwa wakipiga kelele na kuitisha maandamano, kisha ghafla wakialikwa Ikulu na Rais Jakaya Kikwete, na kunyamaza kimya.

Sote tunakumbuka jinsi viongozi mbalimbali wa CHADEMA walivyokuwa wana tweza utu wa Rais Jakaya Kikwete kwa namna ile ile ambavyo sasa wanatweza utu wa Rais Samia Suluhu Hassan. Ridhiwani Kikwete alishawahi kunukuliwa akimuulize baba ake ni kwanini hachukulii hatua wanaomtunaka [CHADEMA]. Baba ake akamjibu tu kuwa kama rais ana nguvu nyingi na kama akiamua kutumia mamlaka yake basi atawaumiza zaidi ya matusi yao yanavyo muumiza.

Walijaribu aina hii hii ya siasa na hayati John Pombe Magufuli. Kwa bahati mbaya au nzuri wakakutana na mtu ambae hakuwa tayari kupoteza muda na kucheza mziki wao. Walitamani kutumia njia zile zile za maandamano na mikutano ya kisiasa kumtukana rais na kuzua taharuki ili waitwe Ikulu “wayajenge”. Matokeo yake ni Rais Magufuli akapiga marufuku maandamano na mikutano ya hadhara na akazima Bunge lisirushe vipindi vyake mubashara. CHADEMA wakakosa namna ya kupata wanacho kitafuta.

Rais Samia Suluhu Hassan alipo ingia madarakani mwaka 2021 akaamua afungue ukurasa mpya. Labda ilikua ni huruma yake kama mama na mwanamke. Labda ilikua ni ugeni wake kwenye nafasi ya urais. Ila aliamini kabisa CHADEMA walikua na nia ya dhati ya kushiriki katika siasa safi na kujenga taifa. Mama akawapa upendeleo maalum CHADEMA. Alifuta kesi zao wanachama wa CHADEMA karibia zote. Usiku wa tarehe 7 Machi, 2022, alipotoka gerezani Freeman Mbowe alialikwa kwa mazungumzo na Rais Samia.

Wote tulimsikia Makamu Mwenyekiti wa CCM, Ndugu Abdulrahman Kinana, mwanzoni mwa mwezi huu, alipo dhihirisha kwa umma kuwa maridhiano kati ya Serikali na CHADEMA yalikufa baada ya chama hicho cha upinzani kususia mchakato huo kwa kutaka swala liwe kati ya CCM na CHADEMA pekee. Huu ndio ubinafsi ninao zungumzia wa viongozi waandamizi wa CHADEMA.

Sasa tuje kwa Tundu Lissu. Watu wengi wanajiuliza inakuaje leo Tundu Lissu anaanza kumshambuliwa Rais Samia kwa namna inayo ashiria kumvunjia heshima kama mwanamke na kama rais wa nchi? Ukweli ni kwamba kuna mambo yake kadhaa wa kadhaa ambayo amekua aki yataka kutoka kwa rais ambayo rais kakataa kumtimizia. Zipo taarifa za kwamba Tundu Lissu aliomba Nissan Patrol kwa ajili ya matumizi yake binafsi. Lissu ambae kwa sasa hana kazi yoyote zaidi ya nafasi yake ndani ya CHADEMA amekua akiomba fedha mara kadhaa kutoka kwa rais kwa ajili ya mambo yake binafsi.

Hivyo nongwa ya Tundu Lissu kwa Rais Samia ni kutokana na kitendo cha kukataliwa maombi yake ya kupewa gari na fedha kwa ajili ya matumizi yake binafsi. Haya mengine anayo tamka hadharani kwenye mikutano na kwenye vyombo vya habari ni gelesha tu. Lengo lake ni kupiga kelele ili atimiziwe mahitaji yake.

Inakumbukwa vema, tarehe 16 Februari, 2022, Tundu Lissu alifanya mkutano na Rais Samia wakati ambapo Rais alikuwa safarini kikazi nchini Ubelgiji. Katika mkutano huo, Lissu alileta mbele madai mawili, huku jambo kuu likiwa kuhusu maslahi yake binafsi na uwezekano wa kurudi nchini akihakikishiwa usalama wake. Hata hivyo, kuhusu hilo la kuhakikishiwa usalama, ni dhahiri ni udanganyifu, kwani mwaka 2020 wakati wa uchaguzi mkuu chini ya uongozi wa Rais Magufuli, Lissu aligombea urais na akaendesha kampeni kote nchini akiwa chini ya ulinzi wa maafisa wa TISS, lakini hakuna jambo lolote baya lililomkuta. Madai yake makubwa yalikuwa yanahusu maslahi yake ya kibunge.

Mara baada ya kutimiziwa hayo, Tundu Lissu alitua airport ya JNIA tarehe 24 Januari, 2023. Alipotua tu nchini Lissu alitamka yafuatayo, "Rais Samia Suluhu Hassan kupitia serikali na chama chake wameonyesha utayari wa kuanzisha upya safari. Tunahitaji kuonyesha ya kwamba hata sisi tuko tayari kwa hili." Mtu huyo huyo aliesema chama chake kionyeshe utayari alikuja kukosoa mchakato wa maridhiano yaliokua yanasimamiwa na mwenyekiti wa chama chake Freeman Mbowe.

Hivyo basi Watanzania waelewe. Kelele zote anazo piga sasa hivi Tundu Lissu ni kwa sababu kuna madai yake na maombi yake ambayo rais amegoma kumtimizia kwa sababu ni kinyume na sheria na taratibu za nchi. Kosa pekee la Rais ni kusimamia uadilifu wa nafasi yake na serikali anayo iongoza. Na uzuri kwa sasa CHADEMA wameanza kutajana wenyewe kwa wenyewe na kushutumiana kupokea rushwa wenyewe kwa wenyewe. Yapo mengi tutazidi kuyasikia na mwisho wa siku ukweli wa mambo utadhihirika.
Waweza kuwa mtunzi mzuri hadithi, endeleza kipaji. Lakini hadithi yako ya Lissu kuomba gari aina ya Nissan Patrol SIIKUBALI kabisa.

Japo simuanimi Lissu kiuongozi wa nchi lakini naamini Lissu amekuwa akipigania kupata stahiki zake tu za ubunge wa 2015-20 na gharama za matibabu.

Hakuna muombaji anayeomba brand ya gari bali mtu huomba gari tu! Kwa nini Lissu amombe Nissan Patrol? Kwa hiyo akipewa LandCruiser atakataa na kuendelea kumsema Rais hadharani??

Mimi naamini Lissu kusema ovyo au kuropoka ni hulka yake tu. Wala hajali mema ambayo Rais kamtendea binafsi dhidi ya yule shetani afriti wa Chato
 
Upo tayari kuandika uongo na kushuhudia uongo kwa mtanzania mwenzako kisa uchawa kwa CCM ?. Andiko lote Hilo ili umfurahishe mama Abdul. Wewe ni mjinga na mpumbavu kwa wakati mmoja.
Lijinga sana
 
Mwanafalsafa, mchumi na mwanasiasa wa India ya kale, Chanakya aliwahi kusema, “There is some self-interest behind every friendship. There is no friendship without self-interests. This is a bitter truth.” Kwa lugha yetu adhimu ya Kiswahili tunaweza itafsiri kama “Hakuna urafiki bila maslahi binafsi. Huo ndio ukweli mchungu.” Hii inaendana na msemo maarufu usemao. “There are no permanent enemies nor permanent friends, just permanent interests.” au “Hakuna marafiki wa kudumu wala maadui wa kudumu. Kuna maslahi ya kudumu tu.”

Nimeanza makala hii na misamiati hiyo kwa nini? Ni kwa sababu lengo la makala hii ni kufichua unafiki ambao viongozi wa juu wa CHADEMA wamekuwa wakiufanya. Unafiki huu huwafanya waseme na kutenda kwa njia moja wanapopata wanachokitaka kutoka kwa serikali, lakini kinyume chake wanapotambua mahitaji yao hayajatimizwa.

Mchezo huu hawajauanza leo. Utaratibu huu umekuwa sehemu ya taswira yao ya kisiasa tangu chama chao kikawe chama kikuu cha upinzani baada ya uchaguzi wa mwaka 2010. Nadhani sote tumeshuhudia jinsi, wakati wa muhula wa pili wa awamu ya nne, viongozi wa CHADEMA walivyokuwa wakipiga kelele na kuitisha maandamano, kisha ghafla wakialikwa Ikulu na Rais Jakaya Kikwete, na kunyamaza kimya.

Sote tunakumbuka jinsi viongozi mbalimbali wa CHADEMA walivyokuwa wana tweza utu wa Rais Jakaya Kikwete kwa namna ile ile ambavyo sasa wanatweza utu wa Rais Samia Suluhu Hassan. Ridhiwani Kikwete alishawahi kunukuliwa akimuulize baba ake ni kwanini hachukulii hatua wanaomtunaka [CHADEMA]. Baba ake akamjibu tu kuwa kama rais ana nguvu nyingi na kama akiamua kutumia mamlaka yake basi atawaumiza zaidi ya matusi yao yanavyo muumiza.

Walijaribu aina hii hii ya siasa na hayati John Pombe Magufuli. Kwa bahati mbaya au nzuri wakakutana na mtu ambae hakuwa tayari kupoteza muda na kucheza mziki wao. Walitamani kutumia njia zile zile za maandamano na mikutano ya kisiasa kumtukana rais na kuzua taharuki ili waitwe Ikulu “wayajenge”. Matokeo yake ni Rais Magufuli akapiga marufuku maandamano na mikutano ya hadhara na akazima Bunge lisirushe vipindi vyake mubashara. CHADEMA wakakosa namna ya kupata wanacho kitafuta.

Rais Samia Suluhu Hassan alipo ingia madarakani mwaka 2021 akaamua afungue ukurasa mpya. Labda ilikua ni huruma yake kama mama na mwanamke. Labda ilikua ni ugeni wake kwenye nafasi ya urais. Ila aliamini kabisa CHADEMA walikua na nia ya dhati ya kushiriki katika siasa safi na kujenga taifa. Mama akawapa upendeleo maalum CHADEMA. Alifuta kesi zao wanachama wa CHADEMA karibia zote. Usiku wa tarehe 7 Machi, 2022, alipotoka gerezani Freeman Mbowe alialikwa kwa mazungumzo na Rais Samia.

Wote tulimsikia Makamu Mwenyekiti wa CCM, Ndugu Abdulrahman Kinana, mwanzoni mwa mwezi huu, alipo dhihirisha kwa umma kuwa maridhiano kati ya Serikali na CHADEMA yalikufa baada ya chama hicho cha upinzani kususia mchakato huo kwa kutaka swala liwe kati ya CCM na CHADEMA pekee. Huu ndio ubinafsi ninao zungumzia wa viongozi waandamizi wa CHADEMA.

Sasa tuje kwa Tundu Lissu. Watu wengi wanajiuliza inakuaje leo Tundu Lissu anaanza kumshambuliwa Rais Samia kwa namna inayo ashiria kumvunjia heshima kama mwanamke na kama rais wa nchi? Ukweli ni kwamba kuna mambo yake kadhaa wa kadhaa ambayo amekua aki yataka kutoka kwa rais ambayo rais kakataa kumtimizia. Zipo taarifa za kwamba Tundu Lissu aliomba Nissan Patrol kwa ajili ya matumizi yake binafsi. Lissu ambae kwa sasa hana kazi yoyote zaidi ya nafasi yake ndani ya CHADEMA amekua akiomba fedha mara kadhaa kutoka kwa rais kwa ajili ya mambo yake binafsi.

Hivyo nongwa ya Tundu Lissu kwa Rais Samia ni kutokana na kitendo cha kukataliwa maombi yake ya kupewa gari na fedha kwa ajili ya matumizi yake binafsi. Haya mengine anayo tamka hadharani kwenye mikutano na kwenye vyombo vya habari ni gelesha tu. Lengo lake ni kupiga kelele ili atimiziwe mahitaji yake.

Inakumbukwa vema, tarehe 16 Februari, 2022, Tundu Lissu alifanya mkutano na Rais Samia wakati ambapo Rais alikuwa safarini kikazi nchini Ubelgiji. Katika mkutano huo, Lissu alileta mbele madai mawili, huku jambo kuu likiwa kuhusu maslahi yake binafsi na uwezekano wa kurudi nchini akihakikishiwa usalama wake. Hata hivyo, kuhusu hilo la kuhakikishiwa usalama, ni dhahiri ni udanganyifu, kwani mwaka 2020 wakati wa uchaguzi mkuu chini ya uongozi wa Rais Magufuli, Lissu aligombea urais na akaendesha kampeni kote nchini akiwa chini ya ulinzi wa maafisa wa TISS, lakini hakuna jambo lolote baya lililomkuta. Madai yake makubwa yalikuwa yanahusu maslahi yake ya kibunge.

Mara baada ya kutimiziwa hayo, Tundu Lissu alitua airport ya JNIA tarehe 24 Januari, 2023. Alipotua tu nchini Lissu alitamka yafuatayo, "Rais Samia Suluhu Hassan kupitia serikali na chama chake wameonyesha utayari wa kuanzisha upya safari. Tunahitaji kuonyesha ya kwamba hata sisi tuko tayari kwa hili." Mtu huyo huyo aliesema chama chake kionyeshe utayari alikuja kukosoa mchakato wa maridhiano yaliokua yanasimamiwa na mwenyekiti wa chama chake Freeman Mbowe.

Hivyo basi Watanzania waelewe. Kelele zote anazo piga sasa hivi Tundu Lissu ni kwa sababu kuna madai yake na maombi yake ambayo rais amegoma kumtimizia kwa sababu ni kinyume na sheria na taratibu za nchi. Kosa pekee la Rais ni kusimamia uadilifu wa nafasi yake na serikali anayo iongoza. Na uzuri kwa sasa CHADEMA wameanza kutajana wenyewe kwa wenyewe na kushutumiana kupokea rushwa wenyewe kwa wenyewe. Yapo mengi tutazidi kuyasikia na mwisho wa siku ukweli wa mambo utadhihirika.
Tumia akili mkuu,acha ku Try again!

Kama anataka gari ,hizo Hela anazotumia kwenye mikutano SI angenunua gari jipya atanue!!?

Kwahiyo na hayo ya kudai katiba ambayo sisi CCM ndio tulianzisha mchakato wake ni nongwa ya kunyimwa gari!!?
 
Tumia akili mkuu,acha ku Try again!

Kama anataka gari ,hizo Hela anazotumia kwenye mikutano SI angenunua gari jipya atanue!!?

Kwahiyo na hayo ya kudai katiba ambayo sisi CCM ndio tulianzisha mchakato wake ni nongwa ya kunyimwa gari!!?
😂😂😂 kwahiyo ana hela za kuandaa mikutano nowdays ..?
 
Back
Top Bottom