laki si pesa.
JF-Expert Member
- Jul 14, 2015
- 10,003
- 9,755
Hivi kwa akili hii unaweza kuvuka barabara mwenyewe?Kama ni hivyo Nape kwa nini asiende kumfungulia mashtaka huyo hery?
Hamjapata na video yake ya mwaka 2008?
mkuu ndio umerudi Tanzania niniUngetueleza huyo hery sniper ndio nani umetuacha solemba bado
Wewe albadir imeanza kukuchanganya sio bure. Utaanza kutoa ute mdomoni kama mrema sasa hvKama ni hivyo Nape kwa nini asiende kumfungulia mashtaka huyo hery?
Hamjapata na video yake ya mwaka 2008?
Mkuu hivi ujui kuwa hii nchi inaongozwa na viherehere,?NASHAURI SIRRO AJIUZULU HARAKA SAN HAKUNA CHOCHOTE ANACHOKIFANYA ZAIDI YA UNAFIKI NA KUJIPENDEKEZA!
Kama ni hivyo Nape kwa nini asiende kumfungulia mashtaka huyo hery?
Hamjapata na video yake ya mwaka 2008?
Daniel Masimbusi ni yule aliyevaa tshirt nyeusi aliyekuwa anamsukuma Nape kwenye gari. muulize alikuwa wapi siku ya tukio la Lissu
Ungetueleza huyo hery sniper ndio nani umetuacha solemba bado