Tetesi: Inadaiwa huyu ndio Herry aliyemtishia Bastola Nape Nnauye, akiwa na Simon Sirro

Status
Not open for further replies.
Hapo tumeshaunganisha dots......wauaji wetu na watelaji tunawajua kweli dunia hii hakuna siri tena!! Lisu akiziona picha na huyu sniper na huyu mwingine atasema kitu!! Uzuri hakuna siri chini ya jua na kwa polisi wa Tanzania.....pia ukitaka siri zaidi jina na mpango mzima....kwa wale masela kule selo wana data zote.....utashangaa mtandao wao mkubwa sana na unaingiliana na polisi wale wapiga deal wenzao....hakuna siri!!!! Aliepiga risasi Lisu aliendesha gari na hata posho waliolipwa itawekwa wazi siku moja!!!!........muda tuu
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…