Inadaiwa huyu ndiye Moses Lijenge (luhende)

Wanajeshi siku hizi mbona wapo wanakipigania CCM...kuhusu hao wa Mbowe walikua hawapo kazini kwa sababu mbalimbali
 
Unajielewa kwel wewe kwan komandoo ni jiwe? Hata CDf akipigwa analia komandoo ni prefesional tu na technique kwan ulidhan ni nn?
Anapigwa nyundo haumii itakuwa na kingai?
 
Kwa mtindo huu makampuni mengi ya ulinzi yataitwa ya kigaidi, wanajeshi wakimaliza mikataba yao jeshini huanzisha au kuajiriwa na kampuni za ulinzi au hata mlinzi wa nyumbani kwako, hilo si kosa, hapa tatizo ni Chadema, Mbowe ni mwanachadema na Chadema ni mgeni wa polisi.
 
HuEndA huyu alikuwa chambo, akachota information kisha wakamfivha
 
Walitoka congo operation ikasemekana Wana battle confusion ,,yan matatzo ya akili ndo wakaachishwa kazi ila wote ni makomandoo
Adamoo si aliiba mafuta ya mitambo ya mradi wa SGR?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…