Mine eyes
JF-Expert Member
- Apr 11, 2016
- 6,496
- 7,162
Wanatuletea drama..Wanasema alifungashiwa virago, sijawahi kuamini kama commando wa jeshi anaweza kufukuzwa
Jeshini wanalindana pia ...kesi kama hii haiko poa kwa sirikali .. ...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanatuletea drama..Wanasema alifungashiwa virago, sijawahi kuamini kama commando wa jeshi anaweza kufukuzwa
mbowe nae.kwani walinzi binafsi hakuwaonaHawa jamaa ni wanajeshi wastaafu na walikuwa mtaani wanaendesha maisha yao. Mbowe alikuwa anatafuta walinzi/body guards ndiyo kuna jamaa (naye mwana jeshi) akawainganisha na Mbowe. Kilichofuata hawa jamaa wakadakwa mwaka jana na mwaka huu Mbowe akaiunganishwa nao.
Asante mkuu,umenifungua.....Mbona kama Bado wadogo walistaafu kwa mujibu wa Sheria au walifukuzwa?Hawa jamaa ni wanajeshi wastaafu na walikuwa mtaani wanaendesha maisha yao. Mbowe alikuwa anatafuta walinzi/body guards ndiyo kuna jamaa (naye mwana jeshi) akawainganisha na Mbowe. Kilichofuata hawa jamaa wakadakwa mwaka jana na mwaka huu Mbowe akaiunganishwa nao.
HajapatikanaKumbe hajapatikana mpaka leo?
Unafahamu madhara ya asikari kujihusisha na inshu kama hizo?Hi issue inashangaza sana yaani ni udhalilishaji wa ajabu sana kisa chadema
Walitoka congo operation ikasemekana Wana battle confusion ,,yan matatzo ya akili ndo wakaachishwa kazi ila wote ni makomandooAsante mkuu,umenifungua.....Mbona kama Bado wadogo walistaafu kwa mujibu wa Sheria au walifukuzwa?
Mmmmh!Most of African leaders are full of stupidity
And sinfullyMost of African leaders are full of stupidity
Komandoo gani anapigwa na mahita Hadi anajinyea?Walitoka congo operation ikasemekana Wana battle confusion ,,yan matatzo ya akili ndo wakaachishwa kazi ila wote ni makomandoo
Unajielewa kwel wewe kwan komandoo ni jiwe? Hata CDf akipigwa analia komandoo ni prefesional tu na technique kwan ulidhan ni nn?Komandoo gani anapigwa na mahita Hadi anajinyea?
Mbona hàwakuzitumia?Unajielewa kwel wewe kwan komandoo ni jiwe? Hata CDf akipigwa analia komandoo ni prefesional tu na technique kwan ulidhan ni nn?
Naona hapa ilifutwa nataman kujua nini kiliendelea! Gazet la mwananchi nao sikuhiz kimyaKuna Yule Mkuu Wa Kituo Cha Chamwino Mpaka Kesho Kimya Ndugu Zake Wanahaha Police Inajibu Mtoro Kazini
Humu JF Tunakoperuzi Na Kudadisi WameifutaNaona hapa ilifutwa nataman kujua nini kiliendelea! Gazet la mwananchi nao sikuhiz kimya
Mama Tanzania ndio hiiNimeona picha ikizunguka mtandaoni watu wanaomba wamuone mahakamani naye apandishwe kizimbani.
Narudia tena: INADAIWA kuwa ndiye yeye.
View attachment 1955929
Utata umeibuka alipo mmoja wa watuhumiwa katika kesi ya kufadhili ugaidi inayomhusisha Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake, aitwaye Moses Lijenge kama yuko hai au amefariki dunia.
Utata huo umeibuliwa leo Jumanne Septemba 28, 2021 na shahidi wa pili wa utetezi katika kesi ndogo ndani ya kesi ya msingi, Mohamed Ling'wenya wakati akihojiwa na mawakili .
Shahidi huyo ambaye ni mshtakiwa wa tatu katika kesi hiyo anatoa ushahidi kwa lengo la kujiridhisha uhalali wa utoaji wa maelezo ya mshtakiwa wa pili, Adamu Kasekwa ambayo mawakili wa utetezi walipinga yasipokewe mahakamani kama kielelezo cha ushahidi upande wa mashtaka wakidai yalichukuliwa nje ya muda wa kisheria na mshtakiwa huyo alitoa maelezo hayo baada ya kuteswa na kutishiwa.
Awali, shahidi wa kwanza katika kesi ya msingi, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni, Ramadhani Kingai aliieleza mahakama kuwa wakati wakiwakamata watuhumiwa wawili huko Moshi, mtuhumiwa wa tatu Lijenge hawakumpat, licha ya kumtafuta sehemu mbalimbali, hivyo wakaamua kuwapeleka Dar es Salaam watuhumiwa hao wawili.
Lakini katika ushahidi wake wa msingi jana, shahidi huyo alidai wakati wakitolewa kituo cha polisi kwenda Mbweni mmoja wa maaskari alimweleza kuwa mwenzake Moses Lijenge wameshamtupa kwa sababu alijidai kuwakimbia.
Alipohojiwa na wakili wa Mbowe, Peter Kibatala leo Jumanne shahidi huyo amedai alivyoelezwa na askari yule kuwa mwenzao Lijenge wameshamtupa alielewa kuwa ameshauawa.
Akihojiwa zaidi na Kibatala, Mohamed amedai hajawahi kumsikia akitajwa mahali popote na upande wa mashtaka kama Lijenge ataunganishwa katika kesi hiyo, hivyo hajui kwa hakika kama yuko hai au ameshafariki.
Kwa sasa shahidi huyo wa pili upande wa utetezi katika kesi ndogo anaendelea kuhojiwa na upande wa mashtaka kuhusiana na ushahidi wake.
Chanzo: Mwananchi 28. 09. 2021
Wacha tu iendelee labda mabaka wataamka! Wamelala mno! Natamani watembeze kipigo kwa hao walamba makalio ya John mpaka mama akimbie nchi!Hii kesi itachochea chuki kati ya vitenge na khaki. Waifute tuu haina maana.
Sent using Jamii Forums mobile app
ķevxçnWewe mchochezi, kesi yako ya uhujumu uchumi!