Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 37,957
- 26,414
Polisi wametibua hasira za Wanajeshi
Ngoja tuone mwisho wake
Ngoja tuone mwisho wake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
So sasa hivi hatumpiganii Mbowe Tena?Tuko pamoja. Sirro asikie popote alipo. Tutawahitaji Lijenje na Luteni Urio wakiwa hai.
Hapo ni kwa kuanzia.
Tmewavumilia ya kutosha. Kama vipi tuuweni wote.
Wana jeshi gani walio kuwa na hasira baada ya hii kesiPolisi wametibua hasira za Wanajeshi
Ngoja tuone mwisho wake
Ajabu sana, na kuna baadhi ya bendera fuata upepo wamempa [emoji106][emoji847]Angalia kizungu chako ndugu
Are stupid [emoji777] Are stupids [emoji736] due to their multiple nouns.are they stupidity or stupid?
So sasa hivi hatumpiganii Mbowe Tena?
Muda ni mwamuzi mzuri...subiriWana jeshi gani walio kuwa na hasira baada ya hii kesi
OkMuda ni mwamuzi mzuri...subiri
Are they stupid or stupids?are they stupidity or stupid?
Hii italeta bifu tu soon
Amesema wapiHuyo Komandoo mwenyewe amesema komando anaweza kupigwa na Askari na komandoo pia anaweza kumpiga askari,itategemea.
Amesema hapo mahakamani hizo stories mnazosikia khs makomandoo Ni za kwny movie za Rambo tu.
Wanasema alifungashiwa virago, sijawahi kuamini kama commando wa jeshi anaweza kufukuzwaInamaana huko 92KJ haonekani?
Wamekagua Lindo zote?
Kumbuka wakati anaambiwa atapotezwa bastola ilikuwa kwenye kichwa chake, hapo jibu la maana ya kupotezwa lipo.Kupotezwa inamaanisha nini?
Mahakamani leo.Amesema wapi
Unaishi dunia gani?Kupotezwa inamaanisha nini?
Highly trained and skilled manpower inaachwa jobless mtaani daaah...