Roboti Wa Nape JF-Expert Member Joined Nov 20, 2023 Posts 1,174 Reaction score 2,876 Mar 13, 2025 #21 The Wing said: Thamani ya timu bil 20, halafu jezi tu bil 30 haiwezekani. Click to expand... Hiyo hata mi Roboti wa Nape nimekataa kudanganywa😀😀
The Wing said: Thamani ya timu bil 20, halafu jezi tu bil 30 haiwezekani. Click to expand... Hiyo hata mi Roboti wa Nape nimekataa kudanganywa😀😀
Kurunzi JF-Expert Member Joined Jul 31, 2009 Posts 9,753 Reaction score 10,747 Mar 13, 2025 #22 Utapeli huu
Exy JF-Expert Member Joined Feb 7, 2022 Posts 3,146 Reaction score 5,520 Mar 13, 2025 #23 felakuti said: Chuki siku zote hua kwa kapuku. Nashauri na wewe tafuta namna uwe tajiri uwe unasaini mikataba minono na kushika pesa, tofauti na hapo utaendelea kulia huku mitandaoni Hadi kiama. Click to expand... Kwahiyo hapo ww umesaini mkataba wakuwa tajiri!!
felakuti said: Chuki siku zote hua kwa kapuku. Nashauri na wewe tafuta namna uwe tajiri uwe unasaini mikataba minono na kushika pesa, tofauti na hapo utaendelea kulia huku mitandaoni Hadi kiama. Click to expand... Kwahiyo hapo ww umesaini mkataba wakuwa tajiri!!