Inadaiwa kuwa serikali ya Tanzania imeishiwa pesa na kuongeza wasiwasi wa kukamilika kwa SGR huku kukiwa na ahadi za uongo

Inadaiwa kuwa serikali ya Tanzania imeishiwa pesa na kuongeza wasiwasi wa kukamilika kwa SGR huku kukiwa na ahadi za uongo

Nyasi-Man

Senior Member
Joined
Sep 3, 2023
Posts
171
Reaction score
351
Safari, iliyojaa ahadi ambazo hazijatimizwa na vikwazo vya kifedha, imeacha sehemu za reli bila kukamilika na wafanyakazi wengi kuondolewa kwenye vipande vingi ambavyo ujenzi umesimama.

Kipande cha Mwanza-Isaka kilitakiwa kukamilika May 14 mwaka huu, huku Maendeleo ya kukamilika yakifikia 54.01 pekee na kuongeza wasiwasi juu ya ukamilishwaji wake kwa wakati. Kuchelewa kwa mradi huo pamoja na vipande vingine vinavyohusiana na SGR, kumechangiwa na changamoto za kifedha ambazo serikali inakabiliana nazo katika kumlipa mkandarasi CCECC kutoka Jamhuri ya Watu wa China ili kukamilisha kazi hiyo.

Hayo yanathibitishwa na baadhi ya wafanyakazi katika kambi mbalimbali za miradi wanaolalamikia kuachishwa kazi kwa vile walivyoambiwa na mkandarasi serikali haina fedha za kuwalipa.

Kipande cha Makutopora-Tabora pia katika mgogoro

Wengine waliokumbwa na hali hiyo ni wale wanaofanya kazi katika sehemu ya Makutopora hadi Tabora yenye urefu wa kilomita 368.

Kwa mujibu wa mmoja wa wafanyakazi hao, walifahamishwa kuwa hakutakuwa na kazi katika eneo hilo hadi watakapopigiwa simu, na tangu Septemba mwaka jana, zaidi ya watu 1,000 wameachishwa kazi.

Katika sehemu hii ya SGR, inayotekelezwa na mwanakandarasi Yapi Merkezi, mfanyikazi huyo anadai sababu ya kufukuzwa kwao ni serikali kukosa pesa za kumlipa mwanakandarasi.

Notisi kutoka kwa Yapi Merkezi iliyotolewa mnamo Mei 23, 2024, ilielekeza wafanyikazi wote kama ifuatavyo:

“Kuanzia Mei 23, 2024 hakuna kazi hadi utakapopewa taarifa na idara ya rasilimali watu na wakuu wa idara husika kurejea kazini tafadhali hakikisha simu yako inapatikana muda wote.

SGR-NEW2.jpg

Source: The Citizen Tanzania
Pia soma zaidi: Tanzania’s SGR completion concerns rise amid broken promises

My Take:
Hii serikali lazima ijitathimini maana kuna wizi mkubwa sana wa pesa za umma katika kila sector, kiasi cha kupelekea mambo mengi sana kukwama kila mahala. Hali hii sio nzuri kwa ustawi wa maendeleo ya nchi. Pia Serikali inakopa pesa kwa mgomgo wa kuendeleza SGR lakini pesa hizo hazipelekwi sehemu tarajiwa na kuishiwa kuliwa na wahuni wengi waliopo kwenye serikali ya CCM.
Hii hali ikiendelea miradi yote ya kimkakati itaishia njiani na kuwa white elephant.
 
Kipindi cha budget lazima contractors wawavimbie Serikali mahesabu yafungwe. Au Waone allocation ya funds zao kwenye budget mpya.

Hiki ndiyo kipindi ambacho wizi wa hela za Serikali unashamiri.

Ukizingatia Kuna local elections, hiki kipindi hadi October ndiyo utajua kuwa wanasiasa wengi ni watu wasio na uwezo mkubwa wa kiakili.
 
Safari, iliyojaa ahadi ambazo hazijatimizwa na vikwazo vya kifedha, imeacha sehemu za reli bila kukamilika na wafanyakazi wengi kuondolewa kwenye vipande vingi ambavyo ujenzi umesimama.

Kipande cha Mwanza-Isaka kilitakiwa kukamilika May 14 mwaka huu, huku Maendeleo ya kukamilika yakifikia 54.01 pekee na kuongeza wasiwasi juu ya ukamilishwaji wake kwa wakati. Kuchelewa kwa mradi huo pamoja na vipande vingine vinavyohusiana na SGR, kumechangiwa na changamoto za kifedha ambazo serikali inakabiliana nazo katika kumlipa mkandarasi CCECC kutoka Jamhuri ya Watu wa China ili kukamilisha kazi hiyo.

Hayo yanathibitishwa na baadhi ya wafanyakazi katika kambi mbalimbali za miradi wanaolalamikia kuachishwa kazi kwa vile walivyoambiwa na mkandarasi serikali haina fedha za kuwalipa.

Kipande cha Makutopora-Tabora pia katika mgogoro

Wengine waliokumbwa na hali hiyo ni wale wanaofanya kazi katika sehemu ya Makutopora hadi Tabora yenye urefu wa kilomita 368.

Kwa mujibu wa mmoja wa wafanyakazi hao, walifahamishwa kuwa hakutakuwa na kazi katika eneo hilo hadi watakapopigiwa simu, na tangu Septemba mwaka jana, zaidi ya watu 1,000 wameachishwa kazi.

Katika sehemu hii ya SGR, inayotekelezwa na mwanakandarasi Yapi Merkezi, mfanyikazi huyo anadai sababu ya kufukuzwa kwao ni serikali kukosa pesa za kumlipa mwanakandarasi.

Notisi kutoka kwa Yapi Merkezi iliyotolewa mnamo Mei 23, 2024, ilielekeza wafanyikazi wote kama ifuatavyo:

“Kuanzia Mei 23, 2024 hakuna kazi hadi utakapopewa taarifa na idara ya rasilimali watu na wakuu wa idara husika kurejea kazini tafadhali hakikisha simu yako inapatikana muda wote.

Source: The Citizen Tanzania
Pia soma zaidi: Tanzania’s SGR completion concerns rise amid broken promises

My Take:
Hii serikali lazima ijitathimini maana kuna wizi mkubwa sana wa pesa za umma katika kila sector, kiasi cha kupelekea mambo mengi sana kukwama kila mahala. Hali hii sio nzuri kwa ustawi wa maendeleo ya nchi. Pia Serikali inakopa pesa kwa mgomgo wa kuendeleza SGR lakini pesa hizo hazipelekwi sehemu tarajiwa na kuishiwa kuliwa na wahuni wengi waliopo kwenye serikali ya CCM.
Hii hali ikiendelea miradi yote ya kimkakati itaishia njiani na kuwa white elephant.
Huo mradi ni mkubwa sio wa kikurupukia kihivyo.
 
Kipindi cha budget lazima contractors wawavimbie Serikali mahesabu yafungwe. Au Waone allocation ya funds zao kwenye budget mpya.

Hiki ndiyo kipindi ambacho wizi wa hela za Serikali unashamiri.
Kabisa, wapumbavu wengi huwa wanakuwa active sana nyakati hizi kuchota hizo pesa ambazo zilikuwa allocated kwa issue Fulani ila sababu ya ujanjaujanja zinatengenezewa mazingira ya kuibiwa wakati huu....very sad.
 
Safari, iliyojaa ahadi ambazo hazijatimizwa na vikwazo vya kifedha, imeacha sehemu za reli bila kukamilika na wafanyakazi wengi kuondolewa kwenye vipande vingi ambavyo ujenzi umesimama.

Kipande cha Mwanza-Isaka kilitakiwa kukamilika May 14 mwaka huu, huku Maendeleo ya kukamilika yakifikia 54.01 pekee na kuongeza wasiwasi juu ya ukamilishwaji wake kwa wakati. Kuchelewa kwa mradi huo pamoja na vipande vingine vinavyohusiana na SGR, kumechangiwa na changamoto za kifedha ambazo serikali inakabiliana nazo katika kumlipa mkandarasi CCECC kutoka Jamhuri ya Watu wa China ili kukamilisha kazi hiyo.

Hayo yanathibitishwa na baadhi ya wafanyakazi katika kambi mbalimbali za miradi wanaolalamikia kuachishwa kazi kwa vile walivyoambiwa na mkandarasi serikali haina fedha za kuwalipa.

Kipande cha Makutopora-Tabora pia katika mgogoro

Wengine waliokumbwa na hali hiyo ni wale wanaofanya kazi katika sehemu ya Makutopora hadi Tabora yenye urefu wa kilomita 368.

Kwa mujibu wa mmoja wa wafanyakazi hao, walifahamishwa kuwa hakutakuwa na kazi katika eneo hilo hadi watakapopigiwa simu, na tangu Septemba mwaka jana, zaidi ya watu 1,000 wameachishwa kazi.

Katika sehemu hii ya SGR, inayotekelezwa na mwanakandarasi Yapi Merkezi, mfanyikazi huyo anadai sababu ya kufukuzwa kwao ni serikali kukosa pesa za kumlipa mwanakandarasi.

Notisi kutoka kwa Yapi Merkezi iliyotolewa mnamo Mei 23, 2024, ilielekeza wafanyikazi wote kama ifuatavyo:

“Kuanzia Mei 23, 2024 hakuna kazi hadi utakapopewa taarifa na idara ya rasilimali watu na wakuu wa idara husika kurejea kazini tafadhali hakikisha simu yako inapatikana muda wote.

Source: The Citizen Tanzania
Pia soma zaidi: Tanzania’s SGR completion concerns rise amid broken promises

My Take:
Hii serikali lazima ijitathimini maana kuna wizi mkubwa sana wa pesa za umma katika kila sector, kiasi cha kupelekea mambo mengi sana kukwama kila mahala. Hali hii sio nzuri kwa ustawi wa maendeleo ya nchi. Pia Serikali inakopa pesa kwa mgomgo wa kuendeleza SGR lakini pesa hizo hazipelekwi sehemu tarajiwa na kuishiwa kuliwa na wahuni wengi waliopo kwenye serikali ya CCM.
Hii hali ikiendelea miradi yote ya kimkakati itaishia njiani na kuwa white elephant.
Amiri jeshi kapwaya sana
 
Kosa la kwanza lilikuwa ni kuamini tunaweza kujenga kwa fedha zetu.... whatever that means
Kosa la kwanza ni hiyo imani yako ya kutegemea fedha za wengine wakati tuna raslimali kibao. Tulitegemea sana fedha za wengine tangu tupate uhru, tukashindwa kujenga na huenda hata gharama za ujenzi zikazidi kupanda. Iwapo kuvunja mwiko huo wa kutegemea nje ndilo kosa, basi Tanzania haina wenyewe.
 
Safari, iliyojaa ahadi ambazo hazijatimizwa na vikwazo vya kifedha, imeacha sehemu za reli bila kukamilika na wafanyakazi wengi kuondolewa kwenye vipande vingi ambavyo ujenzi umesimama.

Kipande cha Mwanza-Isaka kilitakiwa kukamilika May 14 mwaka huu, huku Maendeleo ya kukamilika yakifikia 54.01 pekee na kuongeza wasiwasi juu ya ukamilishwaji wake kwa wakati. Kuchelewa kwa mradi huo pamoja na vipande vingine vinavyohusiana na SGR, kumechangiwa na changamoto za kifedha ambazo serikali inakabiliana nazo katika kumlipa mkandarasi CCECC kutoka Jamhuri ya Watu wa China ili kukamilisha kazi hiyo.

Hayo yanathibitishwa na baadhi ya wafanyakazi katika kambi mbalimbali za miradi wanaolalamikia kuachishwa kazi kwa vile walivyoambiwa na mkandarasi serikali haina fedha za kuwalipa.

Kipande cha Makutopora-Tabora pia katika mgogoro

Wengine waliokumbwa na hali hiyo ni wale wanaofanya kazi katika sehemu ya Makutopora hadi Tabora yenye urefu wa kilomita 368.

Kwa mujibu wa mmoja wa wafanyakazi hao, walifahamishwa kuwa hakutakuwa na kazi katika eneo hilo hadi watakapopigiwa simu, na tangu Septemba mwaka jana, zaidi ya watu 1,000 wameachishwa kazi.

Katika sehemu hii ya SGR, inayotekelezwa na mwanakandarasi Yapi Merkezi, mfanyikazi huyo anadai sababu ya kufukuzwa kwao ni serikali kukosa pesa za kumlipa mwanakandarasi.

Notisi kutoka kwa Yapi Merkezi iliyotolewa mnamo Mei 23, 2024, ilielekeza wafanyikazi wote kama ifuatavyo:

“Kuanzia Mei 23, 2024 hakuna kazi hadi utakapopewa taarifa na idara ya rasilimali watu na wakuu wa idara husika kurejea kazini tafadhali hakikisha simu yako inapatikana muda wote.

Source: The Citizen Tanzania
Pia soma zaidi: Tanzania’s SGR completion concerns rise amid broken promises

My Take:
Hii serikali lazima ijitathimini maana kuna wizi mkubwa sana wa pesa za umma katika kila sector, kiasi cha kupelekea mambo mengi sana kukwama kila mahala. Hali hii sio nzuri kwa ustawi wa maendeleo ya nchi. Pia Serikali inakopa pesa kwa mgomgo wa kuendeleza SGR lakini pesa hizo hazipelekwi sehemu tarajiwa na kuishiwa kuliwa na wahuni wengi waliopo kwenye serikali ya CCM.
Hii hali ikiendelea miradi yote ya kimkakati itaishia njiani na kuwa white elephant.
Nadhani taarifa hii ni kweli kwani kile kipande cha Mwanza isaka kimesimama muda mrefu sana na ndugu zangu waolikuwa wanawekeza ujenzi kwenye stesheni fulani wanajilaumu kuwa huenda wamepoteza fedha zao tu.

Usimamizi wa serikali yenye watanzania unahitaji umadhubuti sana ambao JPM alikuwa nao akaonekana mwehu lakini wizi wa hovyo huu haukuwapo kwa kiwango hiki.
 
Nadhani taarifa hii ni kweli kwani kile kipande cha Mwanza isaka kimesimama muda mrefu sana na ndugu zangu waolikuwa wanawekeza ujenzi kwenye stesheni fulani wanajilaumu kuwa huenda wamepoteza fedha zao tu.

Usimamizi wa aserikali yenye watanzania unahitaji umadhubuti sana ambao JPM alikuwa nao akaonekana mwehu lakini wizi wa hovyo huu haukuwapo kwa kiwango hiki
Ni kweli mkuu, hali ya mambo sio nzuri na wakati huo hakuna mkakati Madhubuti unaoonekana kuhakikisha kunakuwa na smooth implementation lakini pia usimamizi mzuri wa mradi......kila mtu saizi anafikiria kuiba tu
 
Kosa la kwanza ni hiyo imani yako ya kutegemea fedha za wengine wakati tuna raslimali kibao. Tulitegemea sana fedha za wengine tangu tupate uhru, tukashindwa kujenga na huenda hata gharama za ujenzi zikazidi kupanda. Iwapo kuvunja mwiko huo wa kutegemea nje ndilo kosa, basi Tanzania haina wenyewe.
Hakuna kitu kibaya kama kuishi kwa uongo na udanganyifu.... rasilimali sio mali. Hata Nyerere na ubishi wake wote, reli ya TAZARA alijenga kwa mkopo. Nchi hii haina uwezo wa kujenga reli ya 15Bil usd.

Yule bwana mbishi alianza kwa fedha za ndani, hali ilivyokuwa mbaya akakimbilia commercial banks[Ujinga wa kiwango cha juu kabisa].

Hela unayopata kwa tabu, peleka kwenye matumizi yasiyo ya uwekezaji wa moja kwa moja; elimu, afya etc. Hizi za kibiashara, tafuta mtu atengeneze, aendeshe mgawane faida. Unachukua pesa ya korosho kwenda kununua chuma China!
 
Hakuna kitu kibaya kama kuishi kwa uongo na udanganyifu.... rasilimali sio mali. Hata Nyerere na ubishi wake wote, reli ya TAZARA alijenga kwa mkopo. Nchi hii haina uwezo wa kujenga reli ya 15Bil usd.

Yule bwana mbishi alianza kwa fedha za ndani, hali ilivyokuwa mbaya akakimbilia commercial banks[Ujinga wa kiwango cha juu kabisa].

Hela unayopata kwa tabu, peleka kwenye matumizi yasiyo ya uwekezaji wa moja kwa moja; elimu, afya etc. Hizi za kibiashara, tafuta mtu atengeneze, aendeshe mgawane faida. Unachukua pesa ya korosho kwenda kununua chuma China!
Kama raslimali siyo mali, basi nchi kama Botswana isingeendelea! Una mawazo mafinyu sana, na unashindwa kuangalia dunia inakwendaje iwapo reference yako yote ni kwenye ujenzi wa Tazara.
 
Back
Top Bottom