Inadaiwa kuwa serikali ya Tanzania imeishiwa pesa na kuongeza wasiwasi wa kukamilika kwa SGR huku kukiwa na ahadi za uongo

Inadaiwa kuwa serikali ya Tanzania imeishiwa pesa na kuongeza wasiwasi wa kukamilika kwa SGR huku kukiwa na ahadi za uongo

Mi naona wangepiga miradi hii kwa awamu, wangeishia tu phase 1 ya Dar- Makutupora.wangeacha mradi ufanye kazi miaka kadhaa,wafanye tathimini,wajipange phase 2 kwenda Tabora kisha Phase3 kwenda Mwanza.
Kitu kingine cha muhimu si kila kiongozi anaweza kuhimili ujenzi wa miradi hii mikubwa. (MAMA HAWEZI KAZI).
Bora hata yule Paolo angekuwa Rais .
 
Kama rasalimali siyo mali, basi nchi kama Botswana isingeendelea! Una mawazo mafinyu sana, na unashindwa kuangalia dunia inakwendaje iwapo refernce yako yote ni kwenye ujenzi wa Tazara.
Naona hujaelewa maana ya "rasilimali sio mali", Rasimali ni potential tu, kama maji ya mto, usipojenga bwana na kuweka mitambo huo umeme utausikia tu kwa majirani zako.

Botswana wamebadilisha rasilimali kuwa mali, ndio maana unawatolea mfano hapa. DRC wanaongoza kwa Rasilimali na hawana chochote.
 
Mwenye miradi yake kafa nayo ndio trend yetu waafrika, hata kwenye biashara za wabantu mitaani ni ivyo ivyo kwa kiasi kikubwa mwanzilishi akifa anaowaachia mali sio muda mrefu wanapoteza kila kitu.

Hapo bado fines za kuchelewesha mradi na malipo ya wakandarasi jumlisha inflation. Kama JNHPP waliikuta imebakiza miezi michache iishe wakaunga kwa miaka mitatu nakusingizia waliikuta bado sana, ni kwa miujiza tu watamaliza hiyo reli.

Kumbuka ‘bi-tozo’ kakopa ndani ya miaka mitatu kushinda maraisi wote walivyokopa katika muda wao hata wale wa miaka 10 kawapita kwa ukopaji wake kwa kipindi kifupi.

Hakuna namna gęsi itagaiwa sawa na bure soon ‘economic hit men’ washafanya yao. Kuchekea mafisadi hakujawahi endeleza nchi yeyote duniani.
 
Mwenye miradi yake kafa nayo ndio trend yetu waafrika, hata kwenye biashara za wabantu mitaani ni ivyo ivyo kwa kiasi kikubwa mwanzilishi akifa anaowaachia mali sio muda mrefu wanapoteza kila kitu.

Hapo bado fines za kuchelewesha mradi na malipo ya wakandarasi jumlisha inflation. Kama JNHPP waliikuta imebakiza miezi michache iishe wakaunga kwa miaka mitatu nakusingizia waliikuta bado sana, ni kwa miujiza tu watamaliza hiyo reli.

Kumbuka ‘bi-tozo’ kakopa ndani ya miaka mitatu kushinda maraisi wote walivyokopa katika muda wao hata wale wa miaka 10 kawapita kwa ukopaji wake kwa kipindi kifupi.

Hakuna namna gęsi itagaiwa sawa na bure soon ‘economic hit men’ washafanya yao. Kuchekea mafisadi hakujawahi endeleza nchi yeyote duniani.
Absolutely mkuu, hayo yote lazima wakandarasi wata claim in near future
 
Pesa zipo, miaka hii miwili ina vipaumbele vyake. Kumbuka sisi hatufanyi kwa ajiri ya wajao, tunafanya kila kitu kwa manufaa yetu.
 
Safari, iliyojaa ahadi ambazo hazijatimizwa na vikwazo vya kifedha, imeacha sehemu za reli bila kukamilika na wafanyakazi wengi kuondolewa kwenye vipande vingi ambavyo ujenzi umesimama.

Kipande cha Mwanza-Isaka kilitakiwa kukamilika May 14 mwaka huu, huku Maendeleo ya kukamilika yakifikia 54.01 pekee na kuongeza wasiwasi juu ya ukamilishwaji wake kwa wakati. Kuchelewa kwa mradi huo pamoja na vipande vingine vinavyohusiana na SGR, kumechangiwa na changamoto za kifedha ambazo serikali inakabiliana nazo katika kumlipa mkandarasi CCECC kutoka Jamhuri ya Watu wa China ili kukamilisha kazi hiyo.

Hayo yanathibitishwa na baadhi ya wafanyakazi katika kambi mbalimbali za miradi wanaolalamikia kuachishwa kazi kwa vile walivyoambiwa na mkandarasi serikali haina fedha za kuwalipa.

Kipande cha Makutopora-Tabora pia katika mgogoro

Wengine waliokumbwa na hali hiyo ni wale wanaofanya kazi katika sehemu ya Makutopora hadi Tabora yenye urefu wa kilomita 368.

Kwa mujibu wa mmoja wa wafanyakazi hao, walifahamishwa kuwa hakutakuwa na kazi katika eneo hilo hadi watakapopigiwa simu, na tangu Septemba mwaka jana, zaidi ya watu 1,000 wameachishwa kazi.

Katika sehemu hii ya SGR, inayotekelezwa na mwanakandarasi Yapi Merkezi, mfanyikazi huyo anadai sababu ya kufukuzwa kwao ni serikali kukosa pesa za kumlipa mwanakandarasi.

Notisi kutoka kwa Yapi Merkezi iliyotolewa mnamo Mei 23, 2024, ilielekeza wafanyikazi wote kama ifuatavyo:

“Kuanzia Mei 23, 2024 hakuna kazi hadi utakapopewa taarifa na idara ya rasilimali watu na wakuu wa idara husika kurejea kazini tafadhali hakikisha simu yako inapatikana muda wote.

Source: The Citizen Tanzania
Pia soma zaidi: Tanzania’s SGR completion concerns rise amid broken promises

My Take:
Hii serikali lazima ijitathimini maana kuna wizi mkubwa sana wa pesa za umma katika kila sector, kiasi cha kupelekea mambo mengi sana kukwama kila mahala. Hali hii sio nzuri kwa ustawi wa maendeleo ya nchi. Pia Serikali inakopa pesa kwa mgomgo wa kuendeleza SGR lakini pesa hizo hazipelekwi sehemu tarajiwa na kuishiwa kuliwa na wahuni wengi waliopo kwenye serikali ya CCM.
Hii hali ikiendelea miradi yote ya kimkakati itaishia njiani na kuwa white elephant.
CCM NI JANGA LA KITAIFA
 
Safari, iliyojaa ahadi ambazo hazijatimizwa na vikwazo vya kifedha, imeacha sehemu za reli bila kukamilika na wafanyakazi wengi kuondolewa kwenye vipande vingi ambavyo ujenzi umesimama.

Kipande cha Mwanza-Isaka kilitakiwa kukamilika May 14 mwaka huu, huku Maendeleo ya kukamilika yakifikia 54.01 pekee na kuongeza wasiwasi juu ya ukamilishwaji wake kwa wakati. Kuchelewa kwa mradi huo pamoja na vipande vingine vinavyohusiana na SGR, kumechangiwa na changamoto za kifedha ambazo serikali inakabiliana nazo katika kumlipa mkandarasi CCECC kutoka Jamhuri ya Watu wa China ili kukamilisha kazi hiyo.

Hayo yanathibitishwa na baadhi ya wafanyakazi katika kambi mbalimbali za miradi wanaolalamikia kuachishwa kazi kwa vile walivyoambiwa na mkandarasi serikali haina fedha za kuwalipa.

Kipande cha Makutopora-Tabora pia katika mgogoro

Wengine waliokumbwa na hali hiyo ni wale wanaofanya kazi katika sehemu ya Makutopora hadi Tabora yenye urefu wa kilomita 368.

Kwa mujibu wa mmoja wa wafanyakazi hao, walifahamishwa kuwa hakutakuwa na kazi katika eneo hilo hadi watakapopigiwa simu, na tangu Septemba mwaka jana, zaidi ya watu 1,000 wameachishwa kazi.

Katika sehemu hii ya SGR, inayotekelezwa na mwanakandarasi Yapi Merkezi, mfanyikazi huyo anadai sababu ya kufukuzwa kwao ni serikali kukosa pesa za kumlipa mwanakandarasi.

Notisi kutoka kwa Yapi Merkezi iliyotolewa mnamo Mei 23, 2024, ilielekeza wafanyikazi wote kama ifuatavyo:

“Kuanzia Mei 23, 2024 hakuna kazi hadi utakapopewa taarifa na idara ya rasilimali watu na wakuu wa idara husika kurejea kazini tafadhali hakikisha simu yako inapatikana muda wote.

Source: The Citizen Tanzania
Pia soma zaidi: Tanzania’s SGR completion concerns rise amid broken promises

My Take:
Hii serikali lazima ijitathimini maana kuna wizi mkubwa sana wa pesa za umma katika kila sector, kiasi cha kupelekea mambo mengi sana kukwama kila mahala. Hali hii sio nzuri kwa ustawi wa maendeleo ya nchi. Pia Serikali inakopa pesa kwa mgomgo wa kuendeleza SGR lakini pesa hizo hazipelekwi sehemu tarajiwa na kuishiwa kuliwa na wahuni wengi waliopo kwenye serikali ya CCM.
Hii hali ikiendelea miradi yote ya kimkakati itaishia njiani na kuwa white elephant.
hata hazina huko kuna malipo mengi tu yamekwamba ninavyosikia. wenye wake zenu wafanyakazi wa umma tuambieni kama ni kweli.
 
Hii miradi yote inatekelezeka iwapo tu wizi na rushwa vingedhibitiwa
Ni kweli kabisa mkuu......hakuna commitment ya kutosha halafu fedha zinakuwa zinabadilishiwa matumizi sababu za kisiasa na kuacha miradi ya kimkakati.
 
Pesa zipo, miaka hii miwili ina vipaumbele vyake. Kumbuka sisi hatufanyi kwa ajiri ya wajao, tunafanya kila kitu kwa manufaa yetu.
Kwa hio hao Watoto mnaozaa mnategemea wataendesha vipi Uchumi kama nmajiangalia ninyi pekee?
 
Safari, iliyojaa ahadi ambazo hazijatimizwa na vikwazo vya kifedha, imeacha sehemu za reli bila kukamilika na wafanyakazi wengi kuondolewa kwenye vipande vingi ambavyo ujenzi umesimama.

Kipande cha Mwanza-Isaka kilitakiwa kukamilika May 14 mwaka huu, huku Maendeleo ya kukamilika yakifikia 54.01 pekee na kuongeza wasiwasi juu ya ukamilishwaji wake kwa wakati. Kuchelewa kwa mradi huo pamoja na vipande vingine vinavyohusiana na SGR, kumechangiwa na changamoto za kifedha ambazo serikali inakabiliana nazo katika kumlipa mkandarasi CCECC kutoka Jamhuri ya Watu wa China ili kukamilisha kazi hiyo.

Hayo yanathibitishwa na baadhi ya wafanyakazi katika kambi mbalimbali za miradi wanaolalamikia kuachishwa kazi kwa vile walivyoambiwa na mkandarasi serikali haina fedha za kuwalipa.

Kipande cha Makutopora-Tabora pia katika mgogoro

Wengine waliokumbwa na hali hiyo ni wale wanaofanya kazi katika sehemu ya Makutopora hadi Tabora yenye urefu wa kilomita 368.

Kwa mujibu wa mmoja wa wafanyakazi hao, walifahamishwa kuwa hakutakuwa na kazi katika eneo hilo hadi watakapopigiwa simu, na tangu Septemba mwaka jana, zaidi ya watu 1,000 wameachishwa kazi.

Katika sehemu hii ya SGR, inayotekelezwa na mwanakandarasi Yapi Merkezi, mfanyikazi huyo anadai sababu ya kufukuzwa kwao ni serikali kukosa pesa za kumlipa mwanakandarasi.

Notisi kutoka kwa Yapi Merkezi iliyotolewa mnamo Mei 23, 2024, ilielekeza wafanyikazi wote kama ifuatavyo:

“Kuanzia Mei 23, 2024 hakuna kazi hadi utakapopewa taarifa na idara ya rasilimali watu na wakuu wa idara husika kurejea kazini tafadhali hakikisha simu yako inapatikana muda wote.

Source: The Citizen Tanzania
Pia soma zaidi: Tanzania’s SGR completion concerns rise amid broken promises

My Take:
Hii serikali lazima ijitathimini maana kuna wizi mkubwa sana wa pesa za umma katika kila sector, kiasi cha kupelekea mambo mengi sana kukwama kila mahala. Hali hii sio nzuri kwa ustawi wa maendeleo ya nchi. Pia Serikali inakopa pesa kwa mgomgo wa kuendeleza SGR lakini pesa hizo hazipelekwi sehemu tarajiwa na kuishiwa kuliwa na wahuni wengi waliopo kwenye serikali ya CCM.
Hii hali ikiendelea miradi yote ya kimkakati itaishia njiani na kuwa white elephant.
Jk aliishi angani zaidi kuliko Tanzania nchi ikafilisika.

Bado napiga hesabu nione kama Chief Hangaya naye Kama anaikaribia rekodi ya Jk
 
Mngewatangazia Watanganyika wajue. Waache kulalamika miradi inasimama kumbe sio kipaombele kwa sasa.
 
Safari, iliyojaa ahadi ambazo hazijatimizwa na vikwazo vya kifedha, imeacha sehemu za reli bila kukamilika na wafanyakazi wengi kuondolewa kwenye vipande vingi ambavyo ujenzi umesimama.

Kipande cha Mwanza-Isaka kilitakiwa kukamilika May 14 mwaka huu, huku Maendeleo ya kukamilika yakifikia 54.01 pekee na kuongeza wasiwasi juu ya ukamilishwaji wake kwa wakati. Kuchelewa kwa mradi huo pamoja na vipande vingine vinavyohusiana na SGR, kumechangiwa na changamoto za kifedha ambazo serikali inakabiliana nazo katika kumlipa mkandarasi CCECC kutoka Jamhuri ya Watu wa China ili kukamilisha kazi hiyo.

Hayo yanathibitishwa na baadhi ya wafanyakazi katika kambi mbalimbali za miradi wanaolalamikia kuachishwa kazi kwa vile walivyoambiwa na mkandarasi serikali haina fedha za kuwalipa.

Kipande cha Makutopora-Tabora pia katika mgogoro

Wengine waliokumbwa na hali hiyo ni wale wanaofanya kazi katika sehemu ya Makutopora hadi Tabora yenye urefu wa kilomita 368.

Kwa mujibu wa mmoja wa wafanyakazi hao, walifahamishwa kuwa hakutakuwa na kazi katika eneo hilo hadi watakapopigiwa simu, na tangu Septemba mwaka jana, zaidi ya watu 1,000 wameachishwa kazi.

Katika sehemu hii ya SGR, inayotekelezwa na mwanakandarasi Yapi Merkezi, mfanyikazi huyo anadai sababu ya kufukuzwa kwao ni serikali kukosa pesa za kumlipa mwanakandarasi.

Notisi kutoka kwa Yapi Merkezi iliyotolewa mnamo Mei 23, 2024, ilielekeza wafanyikazi wote kama ifuatavyo:

“Kuanzia Mei 23, 2024 hakuna kazi hadi utakapopewa taarifa na idara ya rasilimali watu na wakuu wa idara husika kurejea kazini tafadhali hakikisha simu yako inapatikana muda wote.

Source: The Citizen Tanzania
Pia soma zaidi: Tanzania’s SGR completion concerns rise amid broken promises

My Take:
Hii serikali lazima ijitathimini maana kuna wizi mkubwa sana wa pesa za umma katika kila sector, kiasi cha kupelekea mambo mengi sana kukwama kila mahala. Hali hii sio nzuri kwa ustawi wa maendeleo ya nchi. Pia Serikali inakopa pesa kwa mgomgo wa kuendeleza SGR lakini pesa hizo hazipelekwi sehemu tarajiwa na kuishiwa kuliwa na wahuni wengi waliopo kwenye serikali ya CCM.
Hii hali ikiendelea miradi yote ya kimkakati itaishia njiani na kuwa white elephant.
Mkuu weka bayana ushahidi wa ubadhirifu, wizi na upondwaji wa hela hizo za mkopo. Tuhuma zako bila udhibitisho ni upotoshaji ulio kubuhu!!!
 
Back
Top Bottom