Mngewatangazia Watanganyika wajue. Waache kulalamika miradi inasimama kumbe sio kipaombele kwa sasa.
Machawa wanasemaje
Ova
Mkuu sio kweli kuwa miradi hii ilikuwa imebaki kidogo kumalizika! Ndio ilikuwa hatua ya mwanzo tu!Rest in peace mzalendo.miradi uliyoianzisha ambayo ilibaki kidogo tu kumaliziwa imewashinda Hawa wahuni.
Hicho si kitu cha kushtua tukiishiwa tunakopa na mabo yanaendlea kama kawa..Safari, iliyojaa ahadi ambazo hazijatimizwa na vikwazo vya kifedha, imeacha sehemu za reli bila kukamilika na wafanyakazi wengi kuondolewa kwenye vipande vingi ambavyo ujenzi umesimama.
Kipande cha Mwanza-Isaka kilitakiwa kukamilika May 14 mwaka huu, huku Maendeleo ya kukamilika yakifikia 54.01 pekee na kuongeza wasiwasi juu ya ukamilishwaji wake kwa wakati. Kuchelewa kwa mradi huo pamoja na vipande vingine vinavyohusiana na SGR, kumechangiwa na changamoto za kifedha ambazo serikali inakabiliana nazo katika kumlipa mkandarasi CCECC kutoka Jamhuri ya Watu wa China ili kukamilisha kazi hiyo.
Hayo yanathibitishwa na baadhi ya wafanyakazi katika kambi mbalimbali za miradi wanaolalamikia kuachishwa kazi kwa vile walivyoambiwa na mkandarasi serikali haina fedha za kuwalipa.
Kipande cha Makutopora-Tabora pia katika mgogoro
Wengine waliokumbwa na hali hiyo ni wale wanaofanya kazi katika sehemu ya Makutopora hadi Tabora yenye urefu wa kilomita 368.
Kwa mujibu wa mmoja wa wafanyakazi hao, walifahamishwa kuwa hakutakuwa na kazi katika eneo hilo hadi watakapopigiwa simu, na tangu Septemba mwaka jana, zaidi ya watu 1,000 wameachishwa kazi.
Katika sehemu hii ya SGR, inayotekelezwa na mwanakandarasi Yapi Merkezi, mfanyikazi huyo anadai sababu ya kufukuzwa kwao ni serikali kukosa pesa za kumlipa mwanakandarasi.
Notisi kutoka kwa Yapi Merkezi iliyotolewa mnamo Mei 23, 2024, ilielekeza wafanyikazi wote kama ifuatavyo:
“Kuanzia Mei 23, 2024 hakuna kazi hadi utakapopewa taarifa na idara ya rasilimali watu na wakuu wa idara husika kurejea kazini tafadhali hakikisha simu yako inapatikana muda wote.
Source: The Citizen Tanzania
Pia soma zaidi: Tanzania’s SGR completion concerns rise amid broken promises
My Take:
Hii serikali lazima ijitathimini maana kuna wizi mkubwa sana wa pesa za umma katika kila sector, kiasi cha kupelekea mambo mengi sana kukwama kila mahala. Hali hii sio nzuri kwa ustawi wa maendeleo ya nchi. Pia Serikali inakopa pesa kwa mgomgo wa kuendeleza SGR lakini pesa hizo hazipelekwi sehemu tarajiwa na kuishiwa kuliwa na wahuni wengi waliopo kwenye serikali ya CCM.
Hii hali ikiendelea miradi yote ya kimkakati itaishia njiani na kuwa white elephant.
Mkuu sio kweli, aliyeifilisi nchi hii ni Magufuli, Samia anaishi effects za maamuzi mabovu ya Magufuli.Jk aliishi angani zaidi kuliko Tanzania nchi ikafilisika.
Bado napiga hesabu nione kama Chief Hangaya naye Kama anaikaribia rekodi ya Jk
Mkuu hizo ni valid facts wewe ndiye unayetaka kuleta mahaba kwenye facts.Usilete taarifa za kijiweni lete facts !
Kosa lililopo ni maharamia kuchota pesa za Serikali na mama hana ubavu wa kuwazuia maana Rais mwenyewe kilaza hakuna anachojuaKosa la kwanza lilikuwa ni kuamini tunaweza kujenga kwa fedha zetu.... whatever that means
Kwani Magufuli aliweza nini katika hiyo miaka yake 6? Tuna matatizo makubwa kuliko MamaKosa lililopo ni maharamia kuchota pesa za Serikali na mama hana ubavu wa kuwazuia maana Rais mwenyewe kilaza hakuna anachojua
Wamewahomea kuachia.....wataendrlea waturuki....mama alienda Turkey kuomba wasiuze kazi....Makutupora tabora tangu mwaka Jana,mturuki anaachia anaingia mchina,nilidhani habari mpya kumbe chakavu
Lakini mbona wametoa notice ya kusimamisha wafanyakazi wake wote? lazima kutakuwa na jamboWamewahomea kuachia.....wataendrlea waturuki....mama alienda Turkey kuomba wasiuze kazi....
Lakini kumbuka pia project cost ita-skyrocket sababu ya delay ambayo sio ya mkandarasi Pamoja na interest........so inakuwa ni wastage of money ambazo zingetumika kutatua changamoto zingine zinazolikabili taifaHicho si kitu cha kushtua tukiishiwa tunakopa na mabo yanaendlea kama kawa..
Maada kama hizi zenye ukweli huwezi kuwaonaTupate maeleze ya ziada kutoka kwa kina ChoiceVariable na Lucas Mwashambwa
Wameambiwa wasizime simu kabla June 1 wataitwa tena....Lakini mbona wametoa notice ya kusimamisha wafanyakazi wake wote? lazima kutakuwa na jambo
Mama anaupiga mwingi sana.Safari, iliyojaa ahadi ambazo hazijatimizwa na vikwazo vya kifedha, imeacha sehemu za reli bila kukamilika na wafanyakazi wengi kuondolewa kwenye vipande vingi ambavyo ujenzi umesimama.
Kipande cha Mwanza-Isaka kilitakiwa kukamilika May 14 mwaka huu, huku Maendeleo ya kukamilika yakifikia 54.01 pekee na kuongeza wasiwasi juu ya ukamilishwaji wake kwa wakati. Kuchelewa kwa mradi huo pamoja na vipande vingine vinavyohusiana na SGR, kumechangiwa na changamoto za kifedha ambazo serikali inakabiliana nazo katika kumlipa mkandarasi CCECC kutoka Jamhuri ya Watu wa China ili kukamilisha kazi hiyo.
Hayo yanathibitishwa na baadhi ya wafanyakazi katika kambi mbalimbali za miradi wanaolalamikia kuachishwa kazi kwa vile walivyoambiwa na mkandarasi serikali haina fedha za kuwalipa.
Kipande cha Makutopora-Tabora pia katika mgogoro
Wengine waliokumbwa na hali hiyo ni wale wanaofanya kazi katika sehemu ya Makutopora hadi Tabora yenye urefu wa kilomita 368.
Kwa mujibu wa mmoja wa wafanyakazi hao, walifahamishwa kuwa hakutakuwa na kazi katika eneo hilo hadi watakapopigiwa simu, na tangu Septemba mwaka jana, zaidi ya watu 1,000 wameachishwa kazi.
Katika sehemu hii ya SGR, inayotekelezwa na mwanakandarasi Yapi Merkezi, mfanyikazi huyo anadai sababu ya kufukuzwa kwao ni serikali kukosa pesa za kumlipa mwanakandarasi.
Notisi kutoka kwa Yapi Merkezi iliyotolewa mnamo Mei 23, 2024, ilielekeza wafanyikazi wote kama ifuatavyo:
“Kuanzia Mei 23, 2024 hakuna kazi hadi utakapopewa taarifa na idara ya rasilimali watu na wakuu wa idara husika kurejea kazini tafadhali hakikisha simu yako inapatikana muda wote.
Source: The Citizen Tanzania
Pia soma zaidi: Tanzania’s SGR completion concerns rise amid broken promises
My Take:
Hii serikali lazima ijitathimini maana kuna wizi mkubwa sana wa pesa za umma katika kila sector, kiasi cha kupelekea mambo mengi sana kukwama kila mahala. Hali hii sio nzuri kwa ustawi wa maendeleo ya nchi. Pia Serikali inakopa pesa kwa mgomgo wa kuendeleza SGR lakini pesa hizo hazipelekwi sehemu tarajiwa na kuishiwa kuliwa na wahuni wengi waliopo kwenye serikali ya CCM.
Hii hali ikiendelea miradi yote ya kimkakati itaishia njiani na kuwa white elephant.
Lete hio written notice kuonesha hio approval ya hicho kiasi?TRC nasikia wamepewa 55bil kuwapa Yepi.....ili watu na mitambo warudi site
Alianzisha miradi mikubwa ya kimkakati na vyote vilikuwa vinatekelezwa kwa Kasi. Na ambayo ilipaswa kukamilika ilikamilika kwa wakatiKwani Magufuli aliweza nini katika hiyo miaka yake 6? Tuna matatizo makubwa kuliko Mama
Usitufanye sisi watoto we kijana.Mkuu sio kweli, aliyeifilisi nchi ni Magufuli, Samia anaishi effects za maamuzi mabovu Magufuli.