Inadaiwa Lazaro hakufa bali alipewa dawa akalala usingizi mzito, baada ya saa 72 akaziduka huku Yesu akija na kudai kumfufua

Inadaiwa Lazaro hakufa bali alipewa dawa akalala usingizi mzito, baada ya saa 72 akaziduka huku Yesu akija na kudai kumfufua

Uzalendo wa Kitanzania

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2020
Posts
3,585
Reaction score
8,106
Wadau hamjamboni nyote?

Haya ni madai mapya kuyasikia japo yamekuwepo kwa Karne nyingi

Baadhi ya wanazuoni wanadai kuwa Lazaro rafikiye kipenzi na Bwana Yesu hakufa kweli japo ni kweli alizikwa!

Wanadai kuwa


Kilichotokea ni matumizi ya sayansi ya asili ya hali ya juu kabisa lengo kuwaaminisha uwezo wa Yesu

Kuwa Lazaro alipewa tu dawa maalumu ya kunywa ilomfanya apate usingizi mzito uliodumu masaa 72 na hivyo kuwafanya watu waamini kuwa amekufa!

Kuwa baada ya masaa hayo 72 ndipo Bwana wetu Yesu Kristo akaja na kutenda huo muujiza wa kumfufua

Ndugu zangu wenye elimu naomba mtujuze ukweli wa madai haya
 
Yohana 11: 17 Basi Yesu alipofika, alimkuta amekwisha kuwamo kaburini yapata siku nne.

Bwana Yesu alilia machozi zaidi ya mara tatu kabla ya kumfufua Lazaro.
Huyo dogo hata huo mstari hakusoma kuwa ilikuwa yalata siku 4 Lazaro yu kaburini, Yeye anakuja na ngonjera za saa 72.
 

Attachments

  • Screenshot_20240702-155233.png
    Screenshot_20240702-155233.png
    65.6 KB · Views: 7
Wadau hamjamboni nyote?

Haya ni madai mapya kuyasikia japo ni yamekuweoi kwa Karne nyingi

Baadhi ya wanazuoni wanadai kuwa Lazaro rafikiye kipenzi na Bwana Yesu hakufa kweli japo ni kweli alizikwa!

Wanadai kuwa


Kilichotokea ni matumizi ya sayansi ya asili ya hali ya juu kabisa lengo kuwaaminisha uwezo wa Yesu

Kuwa Lazaro alipewa tu dawa maalumu ya kunywa ilomfanya apate usingizi mzito uliodumu masaa 72 na hivyo kuwafanya watu waamini kuwa amekufa!

Kuwa baada ya masaa hayo 72 ndipo Bwana wetu Yesu Kristo akaja na kutenda huo muujiza wa kumfufua

Ndugu zangu wenye elimu naomba mtujuze ukweli wa madai haya
Ukishatawaliwa na Serikali ya CCM halafu ukasnza kuzindika kwa mbaali haya ndiyo huwa maluweluwe yanayokuwa yanakupata, hii ni kwa mtu yeyote yule.
 
Wadau hamjamboni nyote?

Haya ni madai mapya kuyasikia japo ni yamekuweoi kwa Karne nyingi

Baadhi ya wanazuoni wanadai kuwa Lazaro rafikiye kipenzi na Bwana Yesu hakufa kweli japo ni kweli alizikwa!

Wanadai kuwa


Kilichotokea ni matumizi ya sayansi ya asili ya hali ya juu kabisa lengo kuwaaminisha uwezo wa Yesu

Kuwa Lazaro alipewa tu dawa maalumu ya kunywa ilomfanya apate usingizi mzito uliodumu masaa 72 na hivyo kuwafanya watu waamini kuwa amekufa!

Kuwa baada ya masaa hayo 72 ndipo Bwana wetu Yesu Kristo akaja na kutenda huo muujiza wa kumfufua

Ndugu zangu wenye elimu naomba mtujuze ukweli wa madai haya
Kwa sayansi ya muda huo unahakikisha vipi mtu amefariki?
 
Wadau hamjamboni nyote?

Haya ni madai mapya kuyasikia japo ni yamekuweoi kwa Karne nyingi

Baadhi ya wanazuoni wanadai kuwa Lazaro rafikiye kipenzi na Bwana Yesu hakufa kweli japo ni kweli alizikwa!

Wanadai kuwa


Kilichotokea ni matumizi ya sayansi ya asili ya hali ya juu kabisa lengo kuwaaminisha uwezo wa Yesu

Kuwa Lazaro alipewa tu dawa maalumu ya kunywa ilomfanya apate usingizi mzito uliodumu masaa 72 na hivyo kuwafanya watu waamini kuwa amekufa!

Kuwa baada ya masaa hayo 72 ndipo Bwana wetu Yesu Kristo akaja na kutenda huo muujiza wa kumfufua

Ndugu zangu wenye elimu naomba mtujuze ukweli wa madai haya
Halafu alipokuwa amelala, akakaa kaburini karibu wiki, bila hewa, maji na Chakula, akaanza kuoza na kunuka, halafu Yesu alipofika Kaburini akamwita, akasikia, akastuka, akaamka, akajifungua kwenye sanda iliyokuwa imemfunga na akatoka kaburini!!!
Hiyo sayansi ni kiboko.
Na wale wote wanaoweza kuamini kuwepo kwa hiyo sayansi ni wendawazimu wa kiwango cha SGR
 
Wadau hamjamboni nyote?

Haya ni madai mapya kuyasikia japo ni yamekuweoi kwa Karne nyingi

Baadhi ya wanazuoni wanadai kuwa Lazaro rafikiye kipenzi na Bwana Yesu hakufa kweli japo ni kweli alizikwa!

Wanadai kuwa


Kilichotokea ni matumizi ya sayansi ya asili ya hali ya juu kabisa lengo kuwaaminisha uwezo wa Yesu

Kuwa Lazaro alipewa tu dawa maalumu ya kunywa ilomfanya apate usingizi mzito uliodumu masaa 72 na hivyo kuwafanya watu waamini kuwa amekufa!

Kuwa baada ya masaa hayo 72 ndipo Bwana wetu Yesu Kristo akaja na kutenda huo muujiza wa kumfufua

Ndugu zangu wenye elimu naomba mtujuze ukweli wa madai haya
Ungewakazania hao waliosema hayo wakupe hiyo dawa tuijaribu humu JF.Angechaguliwa memba mmoja ili jaribio liendelee.
 
Wadau hamjamboni nyote?

Haya ni madai mapya kuyasikia japo ni yamekuweoi kwa Karne nyingi

Baadhi ya wanazuoni wanadai kuwa Lazaro rafikiye kipenzi na Bwana Yesu hakufa kweli japo ni kweli alizikwa!

Wanadai kuwa


Kilichotokea ni matumizi ya sayansi ya asili ya hali ya juu kabisa lengo kuwaaminisha uwezo wa Yesu

Kuwa Lazaro alipewa tu dawa maalumu ya kunywa ilomfanya apate usingizi mzito uliodumu masaa 72 na hivyo kuwafanya watu waamini kuwa amekufa!

Kuwa baada ya masaa hayo 72 ndipo Bwana wetu Yesu Kristo akaja na kutenda huo muujiza wa kumfufua

Ndugu zangu wenye elimu naomba mtujuze ukweli wa madai haya
Naona umeamka bila kutoa Tongo tongo
 
Back
Top Bottom