Inadaiwa Lazaro hakufa bali alipewa dawa akalala usingizi mzito, baada ya saa 72 akaziduka huku Yesu akija na kudai kumfufua

Inadaiwa Lazaro hakufa bali alipewa dawa akalala usingizi mzito, baada ya saa 72 akaziduka huku Yesu akija na kudai kumfufua

Mambo ya Imani huwa ni mazito sana...

Ni kama unavyoweza kujiuliza, Wale wote waliokufa kabla ya Mtume Muhammad kuueneza Uislamu, ina maana hawakuzikwa na Dini Wala hakukuwa na Waislamu Hapo kabla??
 
JPM kuna mambo mazuri alipambana nayo sana. Mojawapo ni vita dhidi ya mbegu za mahindi za kisasa kutoka nje, alipambana tuwe na mbegu za asili kama zamani. Hizi mbegu mpya ukishashiba kuna kitu kinatokea.
 
mnajarubu kututoa kwenye mada ya chama mnatuleta kwa lazaro et...!
 
Wadau hamjamboni nyote?

Haya ni madai mapya kuyasikia japo ni yamekuweoi kwa Karne nyingi

Baadhi ya wanazuoni wanadai kuwa Lazaro rafikiye kipenzi na Bwana Yesu hakufa kweli japo ni kweli alizikwa!

Wanadai kuwa


Kilichotokea ni matumizi ya sayansi ya asili ya hali ya juu kabisa lengo kuwaaminisha uwezo wa Yesu

Kuwa Lazaro alipewa tu dawa maalumu ya kunywa ilomfanya apate usingizi mzito uliodumu masaa 72 na hivyo kuwafanya watu waamini kuwa amekufa!

Kuwa baada ya masaa hayo 72 ndipo Bwana wetu Yesu Kristo akaja na kutenda huo muujiza wa kumfufua

Ndugu zangu wenye elimu naomba mtujuze ukweli wa madai haya
Sawa Lazaro hakufa.
Je yule Binti wa Yairo?
 
FB_IMG_1719557793598.jpg
FB_IMG_1719557793598.jpg
 
Wadau hamjamboni nyote?

Haya ni madai mapya kuyasikia japo ni yamekuweoi kwa Karne nyingi

Baadhi ya wanazuoni wanadai kuwa Lazaro rafikiye kipenzi na Bwana Yesu hakufa kweli japo ni kweli alizikwa!

Wanadai kuwa


Kilichotokea ni matumizi ya sayansi ya asili ya hali ya juu kabisa lengo kuwaaminisha uwezo wa Yesu

Kuwa Lazaro alipewa tu dawa maalumu ya kunywa ilomfanya apate usingizi mzito uliodumu masaa 72 na hivyo kuwafanya watu waamini kuwa amekufa!

Kuwa baada ya masaa hayo 72 ndipo Bwana wetu Yesu Kristo akaja na kutenda huo muujiza wa kumfufua

Ndugu zangu wenye elimu naomba mtujuze ukweli wa madai haya
Mjinga Mmoja wee.

Kwan Yesu alifufua watu wangapi ukiachilia mbali Lazaro ambaye alikua Rafiki yake??.
 
Huyo dogo hata huo mstari hakusoma kuwa ilikuwa yalata siku 4 Lazaro yu kaburini, Yeye anakuja na ngonjera za saa 72.
Lakin huo mstari bado hauja thibitisha kabisa kuwa Lazaro alikufa, maana mstari unasema razaro amelala kaburini Kwa siku 4,
Je kulala kaburini Ndio kufa ?
 
Wala siwezi thibitisha kwamba kulikuwepo hata na hiyo zamani yenyewe achia mbali watu walioishi zamani na matendo yao.
Lakini kuna somo la historia, kuna jambo linaitwa historicity.

Unaelewa historicity ni nini?
 
Wadau hamjamboni nyote?

Haya ni madai mapya kuyasikia japo ni yamekuweoi kwa Karne nyingi

Baadhi ya wanazuoni wanadai kuwa Lazaro rafikiye kipenzi na Bwana Yesu hakufa kweli japo ni kweli alizikwa!

Wanadai kuwa


Kilichotokea ni matumizi ya sayansi ya asili ya hali ya juu kabisa lengo kuwaaminisha uwezo wa Yesu

Kuwa Lazaro alipewa tu dawa maalumu ya kunywa ilomfanya apate usingizi mzito uliodumu masaa 72 na hivyo kuwafanya watu waamini kuwa amekufa!

Kuwa baada ya masaa hayo 72 ndipo Bwana wetu Yesu Kristo akaja na kutenda huo muujiza wa kumfufua

Ndugu zangu wenye elimu naomba mtujuze ukweli wa madai haya
Sasa kwa taarifa yako yesu aliyajua yote haya ndio maana akafanya makusudi kuchelewa siku nne ili nyie msio na Imani muaibike.

Lazaro alikaa kaburini siku nne sasa nami nakuuliza siku nne ni masaa 72?
 
Muhimu hakuna uthibitisho historia zote zinakosa uhalali au wewe unaweza kuthibitisha dagama alizunguka dunia nzima??
Nimekuuliza unajua historicity ni nini, hujajibu.

Wewe ni mjinga, kibaya zaidi, ni mjinga mbishi.

You are making a non sequitur logical fallacy and false equivalence.
 
Nimekuuliza unajua historicity ni nini, hujajibu.

Wewe ni mjinga, kibaya zaidi, ni mjinga mbishi.

You are making a non sequitur logical fallacy and false equivalence.
Mbona kisukari mzee,ugonjwa mwingine mbaya ni kujisikia tu kwamba unawezakuwa unajua kuliko mwingine.

Swali si lazima lijibiwe unavyotaka,muhimu jibu lipatikane.

Unauliza historia na maana yake,lakini sijui kama unajua moja ya misingi yake ni maandishi,ambayo hutaki kabisa kuyapokea,kwanini tusiende na aina yako ya kufikiri ambayo kumbe hata wewe huitaki😁😁😁.

Embi kapumzike bana.
 
Mbona kisukari mzee,ugonjwa mwingine mbaya ni kujisikia tu kwamba unawezakuwa unajua kuliko mwingine.

Swali si lazima lijibiwe unavyotaka,muhimu jibu lipatikane.

Unauliza historia na maana yake,lakini sijui kama unajua moja ya misingi yake ni maandishi,ambayo hutaki kabisa kuyapokea,kwanini tusiende na aina yako ya kufikiri ambayo kumbe hata wewe huitaki😁😁😁.

Embi kapumzike bana.
Unalinganisha Vasco da Gama na Lazaro.

Mpaka hapo ushajionesha mjinga.
 
Unalinganisha Vasco da Gama na Lazaro.

Mpaka hapo ushajionesha mjinga.
Kwani hawa wote umewajuaje mkuu??

hoja yangu ni kwamba hawa wote tumewajua kwa historia,zilizoandikwa.

Au kwavile tu lazaro alifufuka ndio maana umetoa macho??vipi da gama na boat duni aliwezaje kukatiza kwenye bahari hata usiku mzito??
 
Yakwenu yamewashinda mmeanza kudhihaki imani za watu.
 
Back
Top Bottom