Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usingizi kwa masaa 72??Wadau hamjamboni nyote?
Haya ni madai mapya kuyasikia japo ni yamekuweoi kwa Karne nyingi
Baadhi ya wanazuoni wanadai kuwa Lazaro rafikiye kipenzi na Bwana Yesu hakufa kweli japo ni kweli alizikwa!
Wanadai kuwa
Kilichotokea ni matumizi ya sayansi ya asili ya hali ya juu kabisa lengo kuwaaminisha uwezo wa Yesu
Kuwa Lazaro alipewa tu dawa maalumu ya kunywa ilomfanya apate usingizi mzito uliodumu masaa 72 na hivyo kuwafanya watu waamini kuwa amekufa!
Kuwa baada ya masaa hayo 72 ndipo Bwana wetu Yesu Kristo akaja na kutenda huo muujiza wa kumfufua
Ndugu zangu wenye elimu naomba mtujuze ukweli wa madai haya
Alizinduka baada ya saa 72!Yohana 11: 17 Basi Yesu alipofika, alimkuta amekwisha kuwamo kaburini yapata siku nne.
Bwana Yesu alilia machozi zaidi ya mara tatu kabla ya kumfufua Lazaro.
Cjui inaitwajeHio dawa inaitwaje
Lipo hujatoa maoniSAWA. KUNA JINGINE TENA?
Kama movie la Kihindi vile😁😁Halafu alipokuwa amelala, akakaa kaburini karibu wiki, bila hewa, maji na Chakula, akaanza kuoza na kunuka, halafu Yesu alipofika Kaburini akamwita, akasikia, akastuka, akaamka, akajifungua kwenye sanda iliyokuwa imemfunga na akatoka kaburini!!!
Hiyo sayansi ni kiboko.
Na wale wote wanaoweza kuamini kuwepo kwa hiyo sayansi ni wendawazimu wa kiwango cha SGR
Kisungura + gongoCjui inaitwaje
Kula chuma hichoUsingizi kwa masaa 72??
Na baada ya hapo akaendekea kuishi??
Ndiyo mchango wako huo!Mirembee inakusubiri
KwaKula chuma hicho
Lazaro rafikiye Bwana wetu Yesu KristoNi Nyalandu.
Unaamini wanaodaiWadau hamjamboni nyote?
Haya ni madai mapya kuyasikia japo ni yamekuweoi kwa Karne nyingi
Baadhi ya wanazuoni wanadai kuwa Lazaro rafikiye kipenzi na Bwana Yesu hakufa kweli japo ni kweli alizikwa!
Wanadai kuwa
Kilichotokea ni matumizi ya sayansi ya asili ya hali ya juu kabisa lengo kuwaaminisha uwezo wa Yesu
Kuwa Lazaro alipewa tu dawa maalumu ya kunywa ilomfanya apate usingizi mzito uliodumu masaa 72 na hivyo kuwafanya watu waamini kuwa amekufa!
Kuwa baada ya masaa hayo 72 ndipo Bwana wetu Yesu Kristo akaja na kutenda huo muujiza wa kumfufua
Ndugu zangu wenye elimu naomba mtujuze ukweli wa madai haya
Lengo ilikuwa kuwaaminisha watu kuwa Yesu Kristo yu mtenda miujizaWangejitolea kwanza kunywa hiyo dawa na kuzikwa alau kwa masaa 48 ndipo waje na hizo ngonjera.
Nimeweka mada cjasema kuwa naamini au siaminiUnaamini wanaodai
Tuletee hadithi zako MkuuWaafrika tunasumbuka sana na hadithi za wayahudi.. as if kuna myahudi hata mmoja ana interest na story za watu kama Ng'wanamalundi au Ondeto wa Kenya.
Soma mada husika Mkuu kisha changiaKisungura kitu kibaya Sana.
Labda unamuongelea Lazzaro Mnyepe.