Inadaiwa Lazaro hakufa bali alipewa dawa akalala usingizi mzito, baada ya saa 72 akaziduka huku Yesu akija na kudai kumfufua

Inadaiwa Lazaro hakufa bali alipewa dawa akalala usingizi mzito, baada ya saa 72 akaziduka huku Yesu akija na kudai kumfufua

Huwezi kuthibitisha chanzo cha "uhai" na viumbe hai, lakini unaweza kusema kwa kujiamini hakuna MUNGU. Hii ni ajabu sana.
Mimi naweza kuthibitisha uwepo wa MUNGU kutukana na kazi za mikono yake. The whole universe na viumbe vyote vilivyomo ni kazi za mikono ya MUNGU.
Mfano, gari ni kazi ya mikono ya Mwanadamu. Gari ni uthibitisho kuwa Mwanadamu yupo na anaishi
Kazi za mikono Yake zinathibitisha uwepo wake hata kama hatumwoni YEYE moja kwa moja.
Alisema yeye ndiye aliyeumba viumbe vyote, dunia na ulimwengu wote. Sasa wewe kama unakataa unasema siyo kweli njoo na uthibitisho kuwa MUNGU hayupo na hakuumba chochote.
Hilo unalosema la kazi ya mikono yake hutoweza kulithibitisha kamwe kwani limeegemea kwenye nadharia ya yaliyoandikwa kwenye hivyo vitabu. Tangu mwanzo nilikuambia wazi kabisa kuwa wanaoamini na wasioamini uwepo wake wanaweza kuwa sahihi au la. Mwisho linabaki ni suala la mtu binafsi, ukiamua kuamini yaliyoandikwa kwenye hivyo vitabu hakuna atakayekubadilisha kamwe.
Mimi sitopenda kuendelea na huu mjadala, nina mtizamo wangu tofauti kabisa kuhusu mada hii.
 
kwahiyo lawama unairudisha kwake sio kwa wafuasi wake tena😁😁😁.
Josephus alitenda muujiza gani mkubwa sana kumzidi Yesu??
Huwa sipendi sana kuwa sehemu ya mijadala inayohusu haya mambo ya kiimani. Utakuwa sahihi kabisa kuamini unachokiamini, na wengine wako sahihi kabisa kuamini wanachoamini. Ngoja tujikite kwenye mada zingine zinazoweza kujadilika.
 
Wadau hamjamboni nyote?

Haya ni madai mapya kuyasikia japo ni yamekuweoi kwa Karne nyingi

Baadhi ya wanazuoni wanadai kuwa Lazaro rafikiye kipenzi na Bwana Yesu hakufa kweli japo ni kweli alizikwa!

Wanadai kuwa


Kilichotokea ni matumizi ya sayansi ya asili ya hali ya juu kabisa lengo kuwaaminisha uwezo wa Yesu

Kuwa Lazaro alipewa tu dawa maalumu ya kunywa ilomfanya apate usingizi mzito uliodumu masaa 72 na hivyo kuwafanya watu waamini kuwa amekufa!

Kuwa baada ya masaa hayo 72 ndipo Bwana wetu Yesu Kristo akaja na kutenda huo muujiza wa kumfufua

Ndugu zangu wenye elimu naomba mtujuze ukweli wa madai haya
 
Yaani tusikilize hadithi za jirani yako na kuziamini zaidi kuliko za mkeo na wanao unaoishi nao???

Fine,alikuwa mtazamaji wa mbali.
Kwani ni yeye peke yake aliyekuwa si mwanafunzi wake???vipi na wengine waliokuaa watazamaji tu wameandika sawa na alivyoandika yeye!!!

Tuna mtu kama Muhammad aliyekuja karne ya 7 baadae,akaja na madai tofauti na ya paul,bahati mbaya akajikuta anajikanganya na anayedai ni Mungu aliyemtuma.
Mkuu wewe endelea kuamini kwani utakuwa hujakosea chochote kile. Waliokuja kuicompile hiyo biblia unayoisoma leo walifanya yao ya kutosha. Hii mijadala huwa haina afya kwa watu walioamua kutumia fikra zao vizuri.
 
Huwa sipendi sana kuwa sehemu ya mijadala inayohusu haya mambo ya kiimani. Utakuwa sahihi kabisa kuamini unachokiamini, na wengine wako sahihi kabisa kuamini wanachoamini. Ngoja tujikite kwenye mada zingine zinazoweza kujadilika.
Miaka 500 ijayo kuna mtu atakuja kusoma kitabu cha maisha ya nabii mtume mwamposa na atakizingatia kwamba kulitokea huyu mtu alitenda miujiza mingi mno,maelfu kwa maelfu walipona kupitia yeye,na atakuwa pia anabishana na wanaodai kulikuwa na Yesu.
 
Mkuu wewe endelea kuamini kwani utakuwa hujakosea chochote kile. Waliokuja kuicompile hiyo biblia unayoisoma leo walifanya yao ya kutosha. Hii mijadala huwa haina afya kwa watu walioamua kutumia fikra zao vizuri.
Hao pia unaoamini walifanya yao ya kutosha,bado pia ni story ulizosimuliwa au kuandikwa sehemu ukasoma.
Namna ambavyo umekosa nguvu kuamini injili,ndivyo ambavyo ulitakiwa kukosa nguvu ya kuamini hizo story nyingine.

Kuna faida kubwa kusoma sana,ila tu iwe ni kwa lengo la kuelimika,sio kuhangaika ili uonekane kwa watu umesoma vingi,utakuwa unaonekana mwehu maeneo mengi,maana utaokota okota mpaka ambavyo havikufai.
 
Miaka 500 ijayo kuna mtu atakuja kusoma kitabu cha maisha ya nabii mtume mwamposa na atakizingatia kwamba kulitokea huyu mtu alitenda miujiza mingi mno,maelfu kwa maelfu walipona kupitia yeye,na atakuwa pia anabishana na wanaodai kulikuwa na Yesu.
Kwa wanaojua na kuisoma historia vyema, hakuna atakayepinga uwepo wa Yesu. Vitabu vyote vya historia, thiolojia pamoja na hiyo biblia vinakubaliana na hilo. Tofauti ya msingi ni pale ambapo baadhi wanaamini alikuwa ni mwana wa Mungu na wanaojua kuwa alikuwa ni binadamu wa kawaida tu akiihubiri habari njema kwa watu wa taifa lake.
Na ujue kuwa hizi imani na namna ya kumuabudu huyo Mungu zilikuwa ni tofauti toka jamii moja kwenda nyingine na zilikuwa ni sehemu kuu ya tamaduni za jamii husika. Kuna jamii mpaka leo zinawaamini mitume waliotokea kwenye jamii zao na kamwe hamzimtambui huyo Yesu kuwa ni mwana wa Mungu, ingawa jamii zote zinakubaliana na uwepo wa huyo Mungu kwa namna na desturi zao wenyewe.
 
Hao pia unaoamini walifanya yao ya kutosha,bado pia ni story ulizosimuliwa au kuandikwa sehemu ukasoma.
Namna ambavyo umekosa nguvu kuamini injili,ndivyo ambavyo ulitakiwa kukosa nguvu ya kuamini hizo story nyingine.

Kuna faida kubwa kusoma sana,ila tu iwe ni kwa lengo la kuelimika,sio kuhangaika ili uonekane kwa watu umesoma vingi,utakuwa unaonekana mwehu maeneo mengi,maana utaokota okota mpaka ambavyo havikufai.
Mkuu kumbuka wanaoiamini hiyo injili ni takribani theluthi moja tu ya binadamu wote. Wanaomuamini huyo Yesu kuwa ni mwana wa Mungu (1/3) hawatofautiana sana kwa idadi na wanaoamuamini mtume Muhamad (1/3), na hawana tofauti ya idadi na wale wanaoamini kwa mitume wengine na wale wasioamini kabisa kwa chochote (1/3).
Ni suala la kuamua kuzitumia vyema akili zako au kuziachia ziwe controlled na wengine, ni suala la kuangalia mambo haya kwa kuwa na open mind na si vinginevyo.
 
Kwa wanaojua na kuisoma historia vyema, hakuna atakayepinga uwepo wa Yesu. Vitabu vyote vya historia, thiolojia pamoja na hiyo biblia vinakubaliana na hilo. Tofauti ya msingi ni pale ambapo baadhi wanaamini alikuwa ni mwana wa Mungu na wanaojua kuwa alikuwa ni binadamu wa kawaida tu akiihubiri habari njema kwa watu wa taifa lake.
Na ujue kuwa hizi imani na namna ya kumuabudu huyo Mungu zilikuwa ni tofauti toka jamii moja kwenda nyingine na zilikuwa ni sehemu kuu ya tamaduni za jamii husika. Kuna jamii mpaka leo zinawaamini mitume waliotokea kwenye jamii zao na kamwe hamzimtambui huyo Yesu kuwa ni mwana wa Mungu, ingawa jamii zote zinakubaliana na uwepo wa huyo Mungu kwa namna na desturi zao wenyewe.
kuna watu wamepata kupita ktk kila jamii hapa ulimwenguni,wenye ushawishi kwa jamii zao,lakini jamii zote kila wanaposikia habari za Yesu kwa mara ya kwanza wanaona zina mashiko zaidi.

Wapo waliojaribu kumkataa,kwa kujenga hoja kama za kwako,mara wapo waliomzidi sifa,hivyo yeye pia wa kawaida tu alipaishwa.
Swali linawezakuwa gumu tena,alipaishwa kwa faida ya nani??ya kwake au ya wapaishaji??na wamepata faida gani kwa jambo hilo!!!
 
kuna watu wamepata kupita ktk kila jamii hapa ulimwenguni,wenye ushawishi kwa jamii zao,lakini jamii zote kila wanaposikia habari za Yesu kwa mara ya kwanza wanaona zina mashiko zaidi.

Wapo waliojaribu kumkataa,kwa kujenga hoja kama za kwako,mara wapo waliomzidi sifa,hivyo yeye pia wa kawaida tu alipaishwa.
Swali linawezakuwa gumu tena,alipaishwa kwa faida ya nani??ya kwake au ya wapaishaji??na wamepata faida gani kwa jambo hilo!!!
Mkuu uwe na jioni njema, naingia lindoni leo niko zamu ya usiku.
 
Yaani unatengeneza conspiracy kwa kuiwekea ugumu zaidi....; Binafsi nadhani ingekuwa rahisi tu ungesema wanachosema kilitokea hakikutokea..., after all hakuna any factual evidence kama wanachosema kilitokea kweli kilitokea
 
Mkuu kumbuka wanaoiamini hiyo injili ni takribani theluthi moja tu ya binadamu wote. Wanaomuamini huyo Yesu kuwa ni mwana wa Mungu (1/3) hawatofautiana sana kwa idadi na wanaoamuamini mtume Muhamad (1/3), na hawana tofauti ya idadi na wale wanaoamini kwa mitume wengine na wale wasioamini kabisa kwa chochote (1/3).
Ni suala la kuamua kuzitumia vyema akili zako au kuziachia ziwe controlled na wengine, ni suala la kuangalia mambo haya kwa kuwa na open mind na si vinginevyo.
Theluthi moja ya huu ulimwengu ni idadi kubwa sana ukilinganisha na kundi lolote linalofanana mtizamo kuwahi kutokea toka dunia iumbwe.

Wanaoamini Muhammad wote kama sio sheria inayowasimamia wote wangekuwa wafuasi wa Yesu.wote msimamo wao ni kwamba tu Yesu sio mwana wa Mungu,hii ni tofauti kabisa na kusema Yesu hakuwa lolote.
Kwa maana nyingine nawezasema muislam ni mkristo aliye mguu mmoja ndani.

kwahiyo akili zangu ziko controlled na nani kupitia dini😁😁
 
Yaani unatengeneza conspiracy kwa kuiwekea ugumu zaidi....; Binafsi nadhani ingekuwa rahisi tu ungesema wanachosema kilitokea hakikutokea..., after all hakuna any factual evidence kama wanachosema kilitokea kweli kilitokea
Hii bado ni tatizo😅😅,wapwa watahoji hizo taarifa umezitoa wapi??na kwanini uziamini wakati ziko ktk misingi mibovu ya kukosa evidence kama hizo unazozihoji???
 
Wadau hamjamboni nyote?

Haya ni madai mapya kuyasikia japo ni yamekuweoi kwa Karne nyingi

Baadhi ya wanazuoni wanadai kuwa Lazaro rafikiye kipenzi na Bwana Yesu hakufa kweli japo ni kweli alizikwa!

Wanadai kuwa


Kilichotokea ni matumizi ya sayansi ya asili ya hali ya juu kabisa lengo kuwaaminisha uwezo wa Yesu

Kuwa Lazaro alipewa tu dawa maalumu ya kunywa ilomfanya apate usingizi mzito uliodumu masaa 72 na hivyo kuwafanya watu waamini kuwa amekufa!

Kuwa baada ya masaa hayo 72 ndipo Bwana wetu Yesu Kristo akaja na kutenda huo muujiza wa kumfufua

Ndugu zangu wenye elimu naomba mtujuze ukweli wa madai haya
Chai
 
Hii bado ni tatizo😅😅,wapwa watahoji hizo taarifa umezitoa wapi??na kwanini uziamini wakati ziko ktk misingi mibovu ya kukosa evidence kama hizo unazozihoji???
ukishaamini kuna hizo dawa na it was an actual historical event bora uamini tu mpaka mwisho... ; hata leo hii kuna watu wanaamini kuna mitunge na watu wanapatikana baada ya kufa na kuzikwa kwa miaka kadhaa sasa huoni hapo kwa wewe kuuliza hili ni kama unataka mtu achague Kekundu wakati umemziba macho na haoni
 
Back
Top Bottom