Inadaiwa Lazaro hakufa bali alipewa dawa akalala usingizi mzito, baada ya saa 72 akaziduka huku Yesu akija na kudai kumfufua

Inadaiwa Lazaro hakufa bali alipewa dawa akalala usingizi mzito, baada ya saa 72 akaziduka huku Yesu akija na kudai kumfufua

Kwanini unafikiri hakufufuka? je Mungu si nimuweza wayote?
Wala sifikiri kuwa hakufufuka, bali ndio ukweli wenyewe, vipo vitabu kadha wa kadha nje ya hizo injili vilivyoandikwa na watu ambao hawakuwa wafuasi wa Yesu.
 
Wadau hamjamboni nyote?

Haya ni madai mapya kuyasikia japo ni yamekuweoi kwa Karne nyingi

Baadhi ya wanazuoni wanadai kuwa Lazaro rafikiye kipenzi na Bwana Yesu hakufa kweli japo ni kweli alizikwa!

Wanadai kuwa


Kilichotokea ni matumizi ya sayansi ya asili ya hali ya juu kabisa lengo kuwaaminisha uwezo wa Yesu

Kuwa Lazaro alipewa tu dawa maalumu ya kunywa ilomfanya apate usingizi mzito uliodumu masaa 72 na hivyo kuwafanya watu waamini kuwa amekufa!

Kuwa baada ya masaa hayo 72 ndipo Bwana wetu Yesu Kristo akaja na kutenda huo muujiza wa kumfufua

Ndugu zangu wenye elimu naomba mtujuze ukweli wa madai haya
Mungu hadhihakiwi ndugu yangu.......
 
Wala sifikiri kuwa hakufufuka, bali ndio ukweli wenyewe, vipo vitabu kadha wa kadha nje ya hizo injili vilivyoandikwa na watu ambao hawakuwa wafuasi wa Yesu.
Kwa hiyo unaacha kuamini kitabu cha mfuasi wa Yesu unaenda kuamini kitabu cha mfuasi wa vitu vingine?
Shida iko kwako
 
Kwa hiyo unaacha kuamini kitabu cha mfuasi wa Yesu unaenda kuamini kitabu cha mfuasi wa vitu vingine?
Shida iko kwako
Kwa nini nikiamini kitabu cha mfuasi wa Yesu na wakati siamini kama huyo Yesu alikuwa ni mwana wa Mungu. Ninachojua Yesu alikuwa ni mtume na muhubiri wa habari za huyo Mungu wake kama walivyokuwa wengi kabla na baada yake.
Na walikuwepo kabla yake kama akina Josephus waliotenda miujiza mikubwa kuliko hata yeye na hawakuwahi kujisingizia kuwa wametoka kwa Mungu.
 
Wala sifikiri kuwa hakufufuka, bali ndio ukweli wenyewe, vipo vitabu kadha wa kadha nje ya hizo injili vilivyoandikwa na watu ambao hawakuwa wafuasi wa Yesu.
Angalia hapo nilikuwekea andiko linalosema Mafarisayo walitoa pesa kwa walinzi ili wasiseme kama Yesu alifufuka, kwahiyo hawatashindwa kuandika vitabu ambavyo vitasema Yesu hakufufuka. Kumbuka dunia inaongozwa na nguvu mbili ya WEMA NA UOVU.
 
Wadau hamjamboni nyote?

Haya ni madai mapya kuyasikia japo ni yamekuweoi kwa Karne nyingi

Baadhi ya wanazuoni wanadai kuwa Lazaro rafikiye kipenzi na Bwana Yesu hakufa kweli japo ni kweli alizikwa!

Wanadai kuwa


Kilichotokea ni matumizi ya sayansi ya asili ya hali ya juu kabisa lengo kuwaaminisha uwezo wa Yesu

Kuwa Lazaro alipewa tu dawa maalumu ya kunywa ilomfanya apate usingizi mzito uliodumu masaa 72 na hivyo kuwafanya watu waamini kuwa amekufa!

Kuwa baada ya masaa hayo 72 ndipo Bwana wetu Yesu Kristo akaja na kutenda huo muujiza wa kumfufua

Ndugu zangu wenye elimu naomba mtujuze ukweli wa madai haya
unapotosha kwasababu umetumwa na baba yako shetani ambaye ni baba wa uongo. Neno la Mungu limethibitishwa.

MITHALI 30:5-6 INA SEMA: Kila Neno la Mungu limehakikishwa; Yeye ni ngao yao wamwaminio. Usiongeze neno katika Maneno yake; Asije akakulaumu, ukaonekana u mwongo.
https://www.bible.com/sw/bible/compare/PRO.30.5-6
Neno la Mungu halijawahi kutetewa, huwa linajitetea, na litajitetea kwa watu kama wewe, na litathibitika kwamba kweli ni Neno halisi lisilo la uongo. Mungu akusaidie.
 
Angalia hapo nilikuwekea andiko linalosema Mafarisayo walitoa pesa kwa walinzi ili wasiseme kama Yesu alifufuka, kwahiyo hawatashindwa kuandika vitabu ambavyo vitasema Yesu hakufufuka. Kumbuka dunia inaongozwa na nguvu mbili ya WEMA NA UOVU.
Tatizo ni kuwa haya masuala ya imani ni very personal, inakuwa ngumu sana kufikia muafaka kama kila mtu ana mtizamo wake. Hili hunifanya nijitahidi sana kukwepa mijadala hii ya masuala ya imani. Mimi najua kabisa kuwa Yesu alikuwa ni binadamu wa kawaida kabisa kama nilivyo mimi na wewe. Ila nawaheshimu sana wale wanaoamini kuwa Yesu alizaliwa kwa uwezo wa roho mtakatifu na kwa aliletwa na baba yake (Mungu).
 
Tatizo ni kuwa haya masuala ya imani ni very personal, inakuwa ngumu sana kufikia muafaka kama kila mtu ana mtizamo wake. Hili hunifanya nijitahidi sana kukwepa mijadala hii ya masuala ya imani. Mimi najua kabisa kuwa Yesu alikuwa ni binadamu wa kawaida kabisa kama nilivyo mimi na wewe. Ila nawaheshimu sana wale wanaoamini kuwa Yesu alizaliwa kwa uwezo wa roho mtakatifu na kwa aliletwa na baba yake (Mungu).
Upo sahihi lakini kuna kitu mfano kwanini dunia inauovu? na kwanini tunakufa? kwanini tusingeishi milele tu na dunia iwe bila uovu?
 
Upo sahihi lakini kuna kitu mfano kwanini dunia inauovu? na kwanini tunakufa? kwanini tusingeishi milele tu na dunia iwe bila uovu?
Haya maswali yote yalishindwa kujibiwa na mababu zetu na jibu rahisi walilofikiria ni kuwa kuna kitu (Mungu) anayecontrol yote hayo. Na inawezekana kabisa hawakuwa sahihi hata kidogo, kwani hata leo hatuna majibu mengine zaidi ya kumsakizia huyo Mungu ambaye kiuhalisia alitengenezwa na wazee wetu waliokosa majibu ya hayo maswali.
 
Wenye kudhihaki, kutukana, kukashfu, kudharau na kuikosoa INJILI, walikuwepo, wapo na wataendelea kuwapo mpaka ile siku BWANA YESU KRISTO atakapokuja tena.

Siku watakapomwona BWANA YESU KRISTO akishuka mawinguni ndipo watafunga midomo yao kwa aibu.
 
Haya maswali yote yalishindwa kujibiwa na mababu zetu na jibu rahisi walilofikiria ni kuwa kuna kitu (Mungu) anayecontrol yote hayo. Na inawezekana kabisa hawakuwa sahihi hata kidogo, kwani hata leo hatuna majibu mengine zaidi ya kumsakizia huyo Mungu ambaye kiuhalisia alitengenezwa na wazee wetu waliokosa majibu ya hayo maswali.
Eti hakuna MUNGU? Kama hakuna MUNGU tuambie uhai na viumbe vyote hai vilitoka wapi?
 
Wadau hamjamboni nyote?

Haya ni madai mapya kuyasikia japo ni yamekuweoi kwa Karne nyingi

Baadhi ya wanazuoni wanadai kuwa Lazaro rafikiye kipenzi na Bwana Yesu hakufa kweli japo ni kweli alizikwa!

Wanadai kuwa


Kilichotokea ni matumizi ya sayansi ya asili ya hali ya juu kabisa lengo kuwaaminisha uwezo wa Yesu

Kuwa Lazaro alipewa tu dawa maalumu ya kunywa ilomfanya apate usingizi mzito uliodumu masaa 72 na hivyo kuwafanya watu waamini kuwa amekufa!

Kuwa baada ya masaa hayo 72 ndipo Bwana wetu Yesu Kristo akaja na kutenda huo muujiza wa kumfufua

Ndugu zangu wenye elimu naomba mtujuze ukweli wa madai haya
Binafsi sikuwepo
 
Eti hakuna MUNGU? Kama hakuna MUNGU tuambie uhai na viumbe vyote hai vilitoka wapi?
Mimi kushindwa kuthibitisha hakuhalalishi uwepo wake. Hata wewe nikikuambia uthibitishe uwepo wake hutoweza kamwe, zaidi utaishia kufanya marejeo ya hivyo vitabu vyenu tu. Ndio maana nilikwambia hili ni suala very personal, kila mtu akibaki na anachokiamini bila kusumbua wengine, dunia itakuwa nzuri sana.
 
Mimi kushindwa kuthibitisha hakuhalalishi uwepo wake. Hata wewe nikikuambia uthibitishe uwepo wake hutoweza kamwe, zaidi utaishia kufanya marejeo ya hivyo vitabu vyenu tu. Ndio maana nilikwambia hili ni suala very personal, kila mtu akibaki na anachokiamini bila kusumbua wengine, dunia itakuwa nzuri sana.
Huwezi kuthibitisha chanzo cha "uhai" na viumbe hai, lakini unaweza kusema kwa kujiamini hakuna MUNGU. Hii ni ajabu sana.
Mimi naweza kuthibitisha uwepo wa MUNGU kutukana na kazi za mikono yake. The whole universe na viumbe vyote vilivyomo ni kazi za mikono ya MUNGU.
Mfano, gari ni kazi ya mikono ya Mwanadamu. Gari ni uthibitisho kuwa Mwanadamu yupo na anaishi
Kazi za mikono Yake zinathibitisha uwepo wake hata kama hatumwoni YEYE moja kwa moja.
Alisema yeye ndiye aliyeumba viumbe vyote, dunia na ulimwengu wote. Sasa wewe kama unakataa unasema siyo kweli njoo na uthibitisho kuwa MUNGU hayupo na hakuumba chochote.
 
Tatizo walioandika hayo yote walikuwa ni wale inner circle ya Yesu, inawezekana kabisa wakashuhudia uongo ili kuhalalisha walichokuwa wakikiamini kwa waliyekuwa wakimfuata na kumtii. Ukisoma maandiko ya wengine wa nyakati hizo (waliokuwa si wanafunzi wa Yesu) kama ya Josephus utaona hadithi tofauti tofauti.
Yaani tusikilize hadithi za jirani yako na kuziamini zaidi kuliko za mkeo na wanao unaoishi nao???

Fine,alikuwa mtazamaji wa mbali.
Kwani ni yeye peke yake aliyekuwa si mwanafunzi wake???vipi na wengine waliokuaa watazamaji tu wameandika sawa na alivyoandika yeye!!!

Tuna mtu kama Muhammad aliyekuja karne ya 7 baadae,akaja na madai tofauti na ya paul,bahati mbaya akajikuta anajikanganya na anayedai ni Mungu aliyemtuma.
 
Kwa nini nikiamini kitabu cha mfuasi wa Yesu na wakati siamini kama huyo Yesu alikuwa ni mwana wa Mungu. Ninachojua Yesu alikuwa ni mtume na muhubiri wa habari za huyo Mungu wake kama walivyokuwa wengi kabla na baada yake.
Na walikuwepo kabla yake kama akina Josephus waliotenda miujiza mikubwa kuliko hata yeye na hawakuwahi kujisingizia kuwa wametoka kwa Mungu.
kwahiyo lawama unairudisha kwake sio kwa wafuasi wake tena😁😁😁.
Josephus alitenda muujiza gani mkubwa sana kumzidi Yesu??
 
Back
Top Bottom