Inadaiwa Lazaro hakufa bali alipewa dawa akalala usingizi mzito, baada ya saa 72 akaziduka huku Yesu akija na kudai kumfufua

Inadaiwa Lazaro hakufa bali alipewa dawa akalala usingizi mzito, baada ya saa 72 akaziduka huku Yesu akija na kudai kumfufua

kuna watu wamepata kupita ktk kila jamii hapa ulimwenguni,wenye ushawishi kwa jamii zao,lakini jamii zote kila wanaposikia habari za Yesu kwa mara ya kwanza wanaona zina mashiko zaidi.

Wapo waliojaribu kumkataa,kwa kujenga hoja kama za kwako,mara wapo waliomzidi sifa,hivyo yeye pia wa kawaida tu alipaishwa.
Swali linawezakuwa gumu tena,alipaishwa kwa faida ya nani??ya kwake au ya wapaishaji??na wamepata faida gani kwa jambo hilo!!!
Swali zuri sana! BWANA apewe sifa!
 
Halafu alipokuwa amelala, akakaa kaburini karibu wiki, bila hewa, maji na Chakula, akaanza kuoza na kunuka, halafu Yesu alipofika Kaburini akamwita, akasikia, akastuka, akaamka, akajifungua kwenye sanda iliyokuwa imemfunga na akatoka kaburini!!!
Hiyo sayansi ni kiboko.
Na wale wote wanaoweza kuamini kuwepo kwa hiyo sayansi ni wendawazimu wa kiwango cha SGR
Alifufuka kwa staili gani ?
.kaburi kufungika kama mlango wa kielectronics.
.miudongo iliruka ruka huko yenyewe mara mtu paap!
.Walichimba kaburi.
. Alichomoka kama mshare shaa.
Swali la pembeni
Kwa nini wafu wa jirani hawakufufuliwa ispokuwa yeye tu ?
Je aliwahi rudi nyumbani kwake ?
Hadithi hadithi !
Hadithi njoo uongo usije.
 
Wadau hamjamboni nyote?

Haya ni madai mapya kuyasikia japo ni yamekuweoi kwa Karne nyingi

Baadhi ya wanazuoni wanadai kuwa Lazaro rafikiye kipenzi na Bwana Yesu hakufa kweli japo ni kweli alizikwa!

Wanadai kuwa


Kilichotokea ni matumizi ya sayansi ya asili ya hali ya juu kabisa lengo kuwaaminisha uwezo wa Yesu

Kuwa Lazaro alipewa tu dawa maalumu ya kunywa ilomfanya apate usingizi mzito uliodumu masaa 72 na hivyo kuwafanya watu waamini kuwa amekufa!

Kuwa baada ya masaa hayo 72 ndipo Bwana wetu Yesu Kristo akaja na kutenda huo muujiza wa kumfufua

Ndugu zangu wenye elimu naomba mtujuze ukweli wa madai haya
Unachokizungumza ni uongo, yesu hajawahi kuwa mwanadamu, ni andiko lilitokana na damu ya kichungaji(priest), mchungaji anadai alishukiwa na malaika kutoka mbinguni akamuona yesu ndotoni, mwana pekee wa Mungu atakayeshushwa kuukomboa ulimwengu, kutoka Kwa mtawala mrumi, chuki ilienezwa Kila mahala juu ya uovu wa mrumi (higher class) by lower class na yesu pekee mwenye huruma ndie atakuja kuukomboa ulimwengu, Sina uhakika kama alikuja, lakini dini ya chuki na masimango, I mean Christianity ndio ilizaliwa rasmi,...

Baada ya huyu beast kuzaliwa chuki aliyojijengea ilimtosheleza kulipa kisasi, waliobaki bila nguvu(watumwa) walichagua kuwa wanyenyekevu na watakatifu
 
Back
Top Bottom