Inadaiwa Lazaro hakufa bali alipewa dawa akalala usingizi mzito, baada ya saa 72 akaziduka huku Yesu akija na kudai kumfufua

Inadaiwa Lazaro hakufa bali alipewa dawa akalala usingizi mzito, baada ya saa 72 akaziduka huku Yesu akija na kudai kumfufua

Kwani hawa wote umewajuaje mkuu??

hoja yangu ni kwamba hawa wote tumewajua kwa historia,zilizoandikwa.

Au kwavile tu lazaro alifufuka ndio maana umetoa macho??vipi da gama na boat duni aliwezaje kukatiza kwenye bahari hata usiku mzito??
Kwanza kabisa hujathibitisha Lazaro alifufuka.

Hiyo ndiyo point ya muhimu.

Hayo mengine yote ni kuondoana kwenye reli.
 
Kwanza kabisa hujathibitisha Lazaro alifufuka.

Hiyo ndiyo point ya muhimu.

Hayo mengine yote ni kuondoana kwenye reli.
Sawa mkuu,hakuna sehemu nilisema nitathibitisha,hakuna.
Nilichofanya tu nilirejea kwamba historia nyingi hazina vithibitisho zaidi ya maandishi.

Kama hiyo pekee itatosha kuzikataa ni sawa tu.
 
Wadau hamjamboni nyote?

Haya ni madai mapya kuyasikia japo ni yamekuweoi kwa Karne nyingi

Baadhi ya wanazuoni wanadai kuwa Lazaro rafikiye kipenzi na Bwana Yesu hakufa kweli japo ni kweli alizikwa!

Wanadai kuwa


Kilichotokea ni matumizi ya sayansi ya asili ya hali ya juu kabisa lengo kuwaaminisha uwezo wa Yesu

Kuwa Lazaro alipewa tu dawa maalumu ya kunywa ilomfanya apate usingizi mzito uliodumu masaa 72 na hivyo kuwafanya watu waamini kuwa amekufa!

Kuwa baada ya masaa hayo 72 ndipo Bwana wetu Yesu Kristo akaja na kutenda huo muujiza wa kumfufua

Ndugu zangu wenye elimu naomba mtujuze ukweli wa madai haya
Wangejitolea kwanza kunywa hiyo dawa na kuzikwa alau kwa masaa 48 ndipo waje na hizo ngonjera.
 
Wadau hamjamboni nyote?

Haya ni madai mapya kuyasikia japo ni yamekuweoi kwa Karne nyingi

Baadhi ya wanazuoni wanadai kuwa Lazaro rafikiye kipenzi na Bwana Yesu hakufa kweli japo ni kweli alizikwa!

Wanadai kuwa


Kilichotokea ni matumizi ya sayansi ya asili ya hali ya juu kabisa lengo kuwaaminisha uwezo wa Yesu

Kuwa Lazaro alipewa tu dawa maalumu ya kunywa ilomfanya apate usingizi mzito uliodumu masaa 72 na hivyo kuwafanya watu waamini kuwa amekufa!

Kuwa baada ya masaa hayo 72 ndipo Bwana wetu Yesu Kristo akaja na kutenda huo muujiza wa kumfufua

Ndugu zangu wenye elimu naomba mtujuze ukweli wa madai haya
Hiyo dawa naijua. Ni chungu hatari
 
Sawa mkuu,hakuna sehemu nilisema nitathibitisha,hakuna.
Nilichofanya tu nilirejea kwamba historia nyingi hazina vithibitisho zaidi ya maandishi.

Kama hiyo pekee itatosha kuzikataa ni sawa tu.
Historia zina uthibitisho zaidi ya maandishi.

Ndiyo maana nikakuuliza unajua historicity ni nini?

Tatizo siyo tu hujui, hutaki kujua.
 
Yesu mwenyewe kashakufa na alishindwa kujiokoa na akafa kifo cha fedheha cha laana ya taurati ndio aweze kumfufua mtu vioja vilioje mtu mwenye matatizo ya akili pekee ndio anaweza kuamini hadithi za Abunuwas 😅😅😅😅
 
Wadau hamjamboni nyote?

Haya ni madai mapya kuyasikia japo ni yamekuweoi kwa Karne nyingi

Baadhi ya wanazuoni wanadai kuwa Lazaro rafikiye kipenzi na Bwana Yesu hakufa kweli japo ni kweli alizikwa!

Wanadai kuwa


Kilichotokea ni matumizi ya sayansi ya asili ya hali ya juu kabisa lengo kuwaaminisha uwezo wa Yesu

Kuwa Lazaro alipewa tu dawa maalumu ya kunywa ilomfanya apate usingizi mzito uliodumu masaa 72 na hivyo kuwafanya watu waamini kuwa amekufa!

Kuwa baada ya masaa hayo 72 ndipo Bwana wetu Yesu Kristo akaja na kutenda huo muujiza wa kumfufua

Ndugu zangu wenye elimu naomba mtujuze ukweli wa madai haya
Acha fix wewe.
 
Wadau hamjamboni nyote?

Haya ni madai mapya kuyasikia japo ni yamekuweoi kwa Karne nyingi

Baadhi ya wanazuoni wanadai kuwa Lazaro rafikiye kipenzi na Bwana Yesu hakufa kweli japo ni kweli alizikwa!

Wanadai kuwa


Kilichotokea ni matumizi ya sayansi ya asili ya hali ya juu kabisa lengo kuwaaminisha uwezo wa Yesu

Kuwa Lazaro alipewa tu dawa maalumu ya kunywa ilomfanya apate usingizi mzito uliodumu masaa 72 na hivyo kuwafanya watu waamini kuwa amekufa!

Kuwa baada ya masaa hayo 72 ndipo Bwana wetu Yesu Kristo akaja na kutenda huo muujiza wa kumfufua

Ndugu zangu wenye elimu naomba mtujuze ukweli wa madai haya
Acha upotoshaji wewe!
 
Ndio maana hayo yanaitwa mambo ya imani kwani hayawezi kuthibitishwa kisayansi ni sawa na pale mtu anaposema kuna kitabu eti kilishushwa kutoka mbinguni na mwenyezi Mungu ila ukitafuta mashahidi walioona kikitelemshwa, hutawapata lakini wenye kuamini wanaamini kwamba kilitelemshwa.
 
Historia zina uthibitisho zaidi ya maandishi.

Ndiyo maana nikakuuliza unajua historicity ni nini?

Tatizo siyo tu hujui, hutaki kujua.
NImemtaja da gama makusudi sijui ulielewa nia yangu???embu leta uthibitisho hapa kwama alizunguka dunia nzima.
 
NImemtaja da gama makusudi sijui ulielewa nia yangu???embu leta uthibitisho hapa kwama alizunguka dunia nzima.
Ndiyo maana nikakuuliza unaelewa historicity ni nini?

Unaishia kusema historia haina zaidi ya maandishi.

Hatuwezi kuelewana kama hutaki kujifunza vitu basic kama historicity.
 
Wadau hamjamboni nyote?

Haya ni madai mapya kuyasikia japo ni yamekuweoi kwa Karne nyingi

Baadhi ya wanazuoni wanadai kuwa Lazaro rafikiye kipenzi na Bwana Yesu hakufa kweli japo ni kweli alizikwa!

Wanadai kuwa


Kilichotokea ni matumizi ya sayansi ya asili ya hali ya juu kabisa lengo kuwaaminisha uwezo wa Yesu

Kuwa Lazaro alipewa tu dawa maalumu ya kunywa ilomfanya apate usingizi mzito uliodumu masaa 72 na hivyo kuwafanya watu waamini kuwa amekufa!

Kuwa baada ya masaa hayo 72 ndipo Bwana wetu Yesu Kristo akaja na kutenda huo muujiza wa kumfufua

Ndugu zangu wenye elimu naomba mtujuze ukweli wa madai haya
Ebana walikua vizuri sana, yaani miaka iyo kuwa na dawa za kulala kwa masaa 72. Aisee walikua magenius
 
Wadau hamjamboni nyote?

Haya ni madai mapya kuyasikia japo ni yamekuweoi kwa Karne nyingi

Baadhi ya wanazuoni wanadai kuwa Lazaro rafikiye kipenzi na Bwana Yesu hakufa kweli japo ni kweli alizikwa!

Wanadai kuwa


Kilichotokea ni matumizi ya sayansi ya asili ya hali ya juu kabisa lengo kuwaaminisha uwezo wa Yesu

Kuwa Lazaro alipewa tu dawa maalumu ya kunywa ilomfanya apate usingizi mzito uliodumu masaa 72 na hivyo kuwafanya watu waamini kuwa amekufa!

Kuwa baada ya masaa hayo 72 ndipo Bwana wetu Yesu Kristo akaja na kutenda huo muujiza wa kumfufua

Ndugu zangu wenye elimu naomba mtujuze ukweli wa madai haya
Ata
Wadau hamjamboni nyote?

Haya ni madai mapya kuyasikia japo ni yamekuweoi kwa Karne nyingi

Baadhi ya wanazuoni wanadai kuwa Lazaro rafikiye kipenzi na Bwana Yesu hakufa kweli japo ni kweli alizikwa!

Wanadai kuwa


Kilichotokea ni matumizi ya sayansi ya asili ya hali ya juu kabisa lengo kuwaaminisha uwezo wa Yesu

Kuwa Lazaro alipewa tu dawa maalumu ya kunywa ilomfanya apate usingizi mzito uliodumu masaa 72 na hivyo kuwafanya watu waamini kuwa amekufa!

Kuwa baada ya masaa hayo 72 ndipo Bwana wetu Yesu Kristo akaja na kutenda huo muujiza wa kumfufua

Ndugu zangu wenye elimu naomba mtujuze ukweli wa madai haya
Aliwekewa dawa nyingi mpk akaanza kunuka...???
 
Wadau hamjamboni nyote?

Haya ni madai mapya kuyasikia japo ni yamekuweoi kwa Karne nyingi

Baadhi ya wanazuoni wanadai kuwa Lazaro rafikiye kipenzi na Bwana Yesu hakufa kweli japo ni kweli alizikwa!

Wanadai kuwa


Kilichotokea ni matumizi ya sayansi ya asili ya hali ya juu kabisa lengo kuwaaminisha uwezo wa Yesu

Kuwa Lazaro alipewa tu dawa maalumu ya kunywa ilomfanya apate usingizi mzito uliodumu masaa 72 na hivyo kuwafanya watu waamini kuwa amekufa!

Kuwa baada ya masaa hayo 72 ndipo Bwana wetu Yesu Kristo akaja na kutenda huo muujiza wa kumfufua

Ndugu zangu wenye elimu naomba mtujuze ukweli wa madai haya
Nyie wavaa kobazi, endeleeni kumwabudu Shetani na mtume wenu Mudy, Yesu hawahusu ni mali yetu....
 
Back
Top Bottom