ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Mama Anatosha na chenji inabaki"Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili."
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mama Anatosha na chenji inabaki"Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili."
Mkuu unaandika uzi wa kusifia serikali huku unabubujikwa machozi kwa furaha kumbe ni hiyari?bila malipo wala kutaka uteuzi wowote?Mimi Sitafuti teuzi.nafanya kazi kwa hiyari yangu.
Hakuna utekaji Nchi hii.Tanzania ni salama na watanzania ni salama katika mikono salama ya Daktari wetu Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hasssan.Aiweke atekwe