Tetesi: Inadaiwa Mdude Nyagali kaletwa Dar jana Usiku, hali yake ni mbaya

Tetesi: Inadaiwa Mdude Nyagali kaletwa Dar jana Usiku, hali yake ni mbaya

Ahhahahhah eti suala la gwajima.

Mimi simung'unyi maneno mkuu naongea kilicho moyoni mwangu.
Sina huzuni wala furaha nipo kama zamani.

Huzuni niliyoipta kwa kuona matusi ya mshikaji akiwatukana wahusika basi ndio huzuni hiyo hiyo ambayk niliipata kuskia jamaa katekwa.

Sijaona kwamba kafanyiwa kubwa mnooo ambalo linastahiki kupigiwa kelele wakati na yeyr alikuwa ni mtukanaji mkubwa tena matusi ambayo ukimuambia mtu haya anayetukanwa ni mkuu wa Nchi hawezi amini.

Wote ni wahalifu,waliyemteka ni mhalifu mwenzao.

Kama yeye alionyesha ubabe wa mitandao kwa kufanya uhalifu wa kutukana.
Basi nawatu wanaonyeaha ubabe wao kwa kumteka na kumtia adabu huko aliko.

Kama ambavyo hakukuwa na sababu ya yeye kutukana bali angeongea uhalisia tu.

Basi na hao watekaji nadhani hawana sababu ya kumteka huyo mtu wangesema wazi tatizo nini.

Wote kwangu wako level moja.
Kila mmoja amejaribu kuonesha umwamba wake ila huyu mmoja kaonyesha kwenye mtandao na mwingine kafanya vitendo.

Ni tuhuma hadi pale itakapothibitishwa mahakamani.
Hata mimi siwezi tetea mhalifu pale itakapothibitika mahakamani kuwa alifanya kosa.

Waungwana wanasemea sheria kuzingatiwa kwa mujibu wa katiba.


Je Abdul Nondo yeye alikosea nini kwa mfano?
 
Kuna jamaa huwa kila jpili utamkuta ktk kanisa flani kaweka mikono nyuma huku michirizi ya damu za watu ikichuruzika rohoni mwake
 
Sasa ya abdul nondo unaniuliza mimi yananihusu nini?
Mbona unakuwa nje ya maudhui?

Basi kama ni tuhuma na mimi NASEMA MPAKA AONEKANE WAENDE MAHAKAMANI NA WAKUTWE NA HATIA HAO AMBAO INASEMEKANA WALIMTEKA NA HAPO NDO TUTATHIBITISHA KAMA ALITEKWA AU HAKUTEKWA.

Au wanaotuhumiwa wameteka hawatakiwi kupelekwa mahakamani ili wakathibitihwe kama kweli waliteka ?
Ni tuhuma hadi pale itakapothibitishwa mahakamani.
Hata mimi siwezi tetea mhalifu pale itakapothibitika mahakamani kuwa alifanya kosa.

Waungwana wanasemea sheria kuzingatiwa kwa mujibu wa katiba.


Je Abdul Nondo yeye alikosea nini kwa mfano?
 
Tunaacha kufuatilia vitu vya muhimu kama.hivi tunafatilia mambo ya kijinga
 
Hao waliomkamata ikitokea wakamuachia basi haitokuwa ni excuse kwake kwamba aachiwe.

Hatujui waliomkamata wamemkamata kwa kosa gani,huwenda kajiteka ili akijitokeza iwe rahisi kwake kujivua na kosa la matusi ambalo linamkabili.

Hivyo rai yangu akikamatwa au akionekana basi ashtakiwe kabisaaa.

Wanaosema serikali imemteka huwenda wanatumia upenyo huo kijanja ili akionekana aachiwe huru kwa sababu alikuwa katika kutekwa.hapana AKATIWE ADABU NA SHERIA ZA NCHI..

SERIKALI MKIMUONA MTIENI ADABU KABISA.
Nchi haiwezi kuwa na wahuni kama hawa alafu unasema ni mwana harakati ambae anaongoza watu.

Huyu mtu akishika nyadhifa za juu wawekezaji watakuja kweli kutokana na historia yake ya maneno machafu kama haya?

.....Ndugu wasikilizaji, hayo ni maneno yaliyosikika akisema Mwigulu Nchemba wakati akimuongelea kijana Abdul Nondo.
 
Kama kweli Yesu anafanya kazi duniani, Na Ukuu wake na Utukufu wake uonekane sasa

Huu sio Muda wa kumbembeleza Mungu.

Wakati wa Musa alikasirika na kutaka kuwabwaga waisraeli kama Mungu asingeingilia kati angewabwaga jangwani.

Wakati wa Eliua akiteswa na Wafaume wa Moabu alimwita Mungu kwa Lazima ajidhihirishe la sivto taifa lote la Israel litaamini Wafuasi wa Miungu ya Ba-al. Ndioo Mungu akajitokeza na Dunia nzima ikajua.
Mkuu umenigusa sana,like za kukupatia hazitoshi,kuna wakati hakuna sababu ya kumbembeleza Mungu ni kumlazimisha atende kwa lazima otherwise shetani ajitwalie utukufu
 
kama umeweza kujua yuko wapi si ukaripoti polisi mbona mnachukulia vitu kirahisi hivyo toa taarifa afuatiliwe aliye mchukua
Hao hao polisi wanaomficha uwape taarifa wamtafute aliyemchukua? Interesting [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hivi inakuwaje watu na majeshi, mabunduki, watu wenye elimu kubwa madoctor , maprofessor nk. M tunakaa na kupambana na mtu mmoja kijana eti kwa sababu ya maoni yake anatekwa na kuteswa. hivi. Hivi siku ikitokea watu wakachoka vitendo hivi nani wa kulaumiwa?

Mimi ningeshauri kwamba kama mtu hafai katika jamii, na ana hatarisha usalama wa taifa akamatwe apelekwe mahakamani na sheria ichukue mkondo wako.

Hii tabia ya watu kujichukulia sheria mikononi ni mbaya sana.

Kuna hatari ya wananchi kuanza kuwachukia/kuwaona watu wa baadhi ya idara nyeti za usalama za serikali kwa matendo yao.a


Mimi nikimuona mtu /au watu wanaoshulkiwa na wananchi karibu nami huwa najisikia vibaya sana.

Nafikiria watoto wangu, Biashara zangu, mali zangu nk kwa ajili tu ya Umafia hapa nchini.


Nina mshauri Mh Rais kama haya mambo ya kutekwa tekwa na kuteswa na wakati mwingine kuuwawa kwa Raia wako waliokupigia kura hujajui kweli kama ulivyoshangaa pia kwa MO. Tunakuomba uchukue hatua za kubadilisha mwennendo wa vyombo vyetu vya usalama.

Ukweli hakuna uhuru kila mtu anaogopa kuambiwa mchochezi, watu wana hofu na maisha yao. Kuna taharuki kubwa sana huku mitaani.

Please

Hatujazoea kuishi hivi.
 
Huyo mbunge (Halima Mdee) akamatwe na polisi ili akatoe ushirikiano maana yawezekana maneno yake yakawa ya kweli maana waswahli husema : Lisemwalo lipo kama halipo laja.
 
Rais Katika utawala wako kuna mambo mengi ya kushangaza kama tunavoshangaa kujenga reli, Umeme , Mabarabara, Kuhamia Dodoma nk. Vile vile tunashangaa sana unapofumbia uovu macho. Hatutaki uje uanze kuwakemea wakati wanaumiza na kuharibu watu.

Mh Rais watu ulionao wanaharibu sana fikra za Wananchi wako. tunajazwa hasiri, tunajazwa chuki, tunatishwa, tunanyanyaswa na wewe upo kimya bila ya kuwakemea!
 
Mkuu umenigusa sana,like za kukupatia hazitoshi,kuna wakati hakuna sababu ya kumbembeleza Mungu ni kumlazimisha atende kwa lazima otherwise shetani ajitwalie utukufu
Ndivyo ilivyo, unajua ndio maana watu wanaamua kuamini upande wa pili hasa wanapofika mahali hawaoni Faida ya kuendelea kushika iman ya Mwenyezi Mungu. Nyakati ngumu sana zinawafika watu wa Mungu kana kwamba Mungu haoni na hajali.

Musa na Eliya ni mifano bora ktk.maisha yangu ya Imani
 
My friend! my be you are facing a difficult situation now, but believe and have a strong faith, GOD is always there for you. Never give up, time will tell.
Mkuu umenigusa sana,like za kukupatia hazitoshi,kuna wakati hakuna sababu ya kumbembeleza Mungu ni kumlazimisha atende kwa lazima otherwise shetani ajitwalie utukufu
 
kama umeweza kujua yuko wapi si ukaripoti polisi mbona mnachukulia vitu kirahisi hivyo toa taarifa afuatiliwe aliye mchukua
Unaambiwa alivyoletwa Dar akapelekwa kituo kimoja cha Polisi, nawe wasema mleta mada akaripoti kituo cha polisi. Yaan kwamba aende kituo kimoja ili kukishitaki kituo kingine?

RIP Dkt Didas Masaburi,
Hakika uliona mbali aisee.
 
hivialichokiandiaka kuhusu ripot ya imf umeona ? siyo matusi hay? huyo hafai hata kutekwa ni wakukamatwa laivu na kushitakiwa kizibiti kipo
. Hakuna tusi jipya hapa duniani. Tusi ni tafsiri binafsi au ya kundi juu ya neno au fungi la maneno, na ajiaminiye hana muda nayo.
 
Huu uzii wakipuzii bado haujafutwa...
Imedaiwa rubbish...mnatunga vitu vyaajabu
 
Back
Top Bottom