Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 11,936
- 15,196
spin docter katika kiwango kidogo kabisa cha iqueNi mtz kama wwe anayo haki ya kuishi pia kama wwe,hata wwe yatakufika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
spin docter katika kiwango kidogo kabisa cha iqueNi mtz kama wwe anayo haki ya kuishi pia kama wwe,hata wwe yatakufika
spin docter katika kiwango kidogo kabisa cha ique
MTU akitukana uburuzwa mahakamani Na sio kutekwa Na Gestapo ili auwawe,tunachosema ni kuepusha hizi kafala za damu za watu si nzuri uleta laana ktk nchi,Na hatutowezafanikiwa Kwa lolote,tutafungua miradi itafail sababu ardhi imejaa damu.Kanuni ya damu Na uhai usema hivi. Ukimwaga damu ya MTU ktk USO wa ardhi ardhi hio ugeuka laana Na hakuna pando au zao lolote litaota hapo,ni hadi damu hio imalize kulipa kisasi Kwa wahusika.
Kwa hiyo sheria inasema mtu wa hivyo atekwe?
Au apekwe mahakamani ikithibitika afungwe?
Mbona unapaatika na swali langu jujajibu,jibu nilichokuuliza.
NAKUULIZA HIVI JEE MTU ANAYETUKANA MITANDAONI NI KOSA KISHERIA AU SIYO KOSA KISHERIA?
Najua kwamba mtu akikosa aadhibiwe kisheria ila tu nauliza kwamba
Huyu anayetukana kakeuka sheria au hakukeuka sheria ?
Na huyu anayeteka kisheria ni kosa ama sio kosa kisheria?Ni kosa
Na huyu anayeteka kisheria ni kosa ama sio kosa kisheria?
kama umeweza kujua yuko wapi si ukaripoti polisi mbona mnachukulia vitu kirahisi hivyo toa taarifa afuatiliwe aliye mchukua
Kisheria ni kosa kumteka Na kumuuwa MTU,ni udhaifu Na uoga.
Apumzike kwa amani!
mkuu, hawa marekani na ulaya , hapa kwenye hili wanaingia kama nani? nisaidie kidogo.....kama mahakama? kama wasimamizi wa democrasia yetu? kama waangalizi wa polisi au wazazi?Marekani na nchi za ukaya ni wanafiki wakubwa, tangu utawala huu wa awamu ya tano ushike dola watu wanaotofautiana na serikali hii na wanaoikosoa baadhi yao wametekwa na ama kupotezwa kabisa au kuteswa na kuachiwa baada ya muda wakiwa hoi. Marekani na ulaya wamekaa kimya , hawaibani serikali hii inayolea utekaji na mauwaji kama wanavyoibana Venezuela.
Ilitakiwa ushahidi uwekwe,hali ikiwa mbaya na wakashindwa kucontrol wanapoteza ushahidi!!
Halafu tuna watu kila week za ibada wako mstari wa mbele wakijifanya wapenda haki na wanahofu ya Mungu!!!
Kwa njia ya kuwapa kibano cha vikwazo vya kiuchumi serikali hii kandamizi isiyojali uhai wa binadamu, viongozi wanaohusika kuwekewa vikwazo binafsi. Hayo yalifanyika South Africa kipindi cha utawala wa kimabavu wa Makaburu na yanaendelea hata sasa kwa nchi nyingine.mkuu, hawa marekani na ulaya , hapa kwenye hili wanaingia kama nani? nisaidie kidogo.....kama mahakama? kama wasimamizi wa democrasia yetu? kama waangalizi wa polisi au wazazi?
Na wanaingia kama sympathisers wa wanafanyiwa ushenzi wa kutekwa na kupotezwa wakati serikali imekaa kimya haifanyi lolote la maana kudhibiti ushenzi huu. Wanaingia pia kama wadau wa demokrasia ambayo utawala huu wa awamu ya tano imeupiga teke.mkuu, hawa marekani na ulaya , hapa kwenye hili wanaingia kama nani? nisaidie kidogo.....kama mahakama? kama wasimamizi wa democrasia yetu? kama waangalizi wa polisi au wazazi?
kama umeweza kujua yuko wapi si ukaripoti polisi mbona mnachukulia vitu kirahisi hivyo toa taarifa afuatiliwe aliye mchukua