Tetesi: Inadaiwa Mdude Nyagali kaletwa Dar jana Usiku, hali yake ni mbaya

Tetesi: Inadaiwa Mdude Nyagali kaletwa Dar jana Usiku, hali yake ni mbaya

Mkuu kwa akili yako haya sio matusi?

Hivi haya maneno ukimuambia mtu unatarajia atafurahia au atachukia?
View attachment 1090137
ametoa copmarison na siyo kutukana, .
aliyesema Tanzania ni kama kichwa cha mwendawazimu alitutukana ama alitoa mfano?
kuna maraisi, maaskofu, na watu mbalimbali, wao ni vichwa vya wendawazimu? mbona hajashtakiwa, kukamatwa na kuteswa?
 
Wapi nimemgusa beni saa nane na hao uliowataja?...mbona huwi muelewa?

Tumzungumzie huyo wa matusi,je kutukana ni sawa kwa tamaduni zeru tena unamtukana raisi wa Nchi?

Ukiona hivo ujakomaa kuwa kiongozi,kiongozi ni lzm uwe Na ngozi ngumu je mtoto mchanga akikukojolea utamtupa?Je kelele za mlango zitakunyima usingizi?Na vipi upande wa PILI wao MBONA awatekwi,awauwawi?Kumwaga damu za watu ni kuingiza laana ktk nchi Na hakuna chochote kitafanikiwa,tutafungua miradi itafail.Ukisoma kuhusu mambo ya universal roho za waliouwawa zinaishi kulipa kisasi Kwa chain nzima hadi kizazi cha NNE ndipo uondoka duniani. Thus wengine wanaweza ugua jino tu wanakwenda.Damu ni uhai,kafala za damu za watu zitatuletea laana ya Mungu duniani, maana anayaona yote japo tu vipofu.
 
Mkuu kwa akili yako haya sio matusi?

Hivi haya maneno ukimuambia mtu unatarajia atafurahia au atachukia?
View attachment 1090137

Inategemea Na saikolojia yako,kama ni kweli umetenda lzm ikuumize,kama unadili Na big issues haiwezi kukuumiza.Mfano trump ana dili Na big issues vitu vidogo havimuumizi ni sawa Na mtoto Mchanga kamkojolea hawezi mtupa.
 
Inategemea Na saikolojia yako,kama ni kweli umetenda lzm ikuumize,kama unadili Na big issues haiwezi kukuumiza.Mfano trump ana dili Na big issues vitu vidogo havimuumizi ni sawa Na mtoto Mchanga kamkojolea hawezi mtupa.
hayo ni matusi tena ya nguoni yaani bhuyu kijana hafai kuhurumiwa kabisa
 
Mtumishi umenena vyema, nakumbuka hili neno, na hapa ni miaka minne ya nzige bado miaka 6 mpaka watanzania tumrudie Mungu.

nabii SADRU yule mhindi alikuja Dar na kutabiri haya, ingia you tube utaona pia.

nakwambia ardhi imeloa damu

Hata TB Joshua alipokuja alitembea peku kinabii ndo haya.Inatakiwa watz watubu kwani Mungu ametuacha tumuombe msamaha ili atuondelee wingu jeusi.Kafala za damu za watu ni chukizo Kwa Mungu hakuna chochote kitakachofanikiwa jiulizeni kwann kila kitu kinabuma.
 
Hata TB Joshua alipokuja alitembea peku kinabii ndo haya.Inatakiwa watz watubu kwani Mungu ametuacha tumuombe msamaha ili atuondelee wingu jeusi.Kafala za damu za watu ni chukizo Kwa Mungu hakuna chochote kitakachofanikiwa jiulizeni kwann kila kitu kinabuma.
Duh TB joshua ndio nani?
 
hili pekee linatosha kuingiza watu barabaran sitegemei kusikia kiongozi wa upinzani akilalamika bungeni au kwenye mitandao. mnataka awafanyie nn ili mjue hana nia nzur na upinzani? anawashinda hata boby wine mtt mdogo yule?
Wakuingia barabarani ni nani? Yaani kweli watu waandamane kisa mdude????? Huna akili, labda huko bavichaa
 
hayo ni matusi tena ya nguoni yaani bhuyu kijana hafai kuhurumiwa kabisa

Kama ni matusi Sheria usemaje,haya mambo yanabackfire lkn, kwani kikombe mlichowapimia wwenzenu ndicho mtakachopimiwa.
 
Ukimya wa watanzania ndio chanzo cha hawa wuuni wa awamu ya tano kutudharau.

Ni kweli hatuna bunduki wala bomu la.kupambana nao, lakini kama.kweli ni hinadmu.mwemye dhamira njema na uchungu wa uhai wa hinadamu mwemzako basi utakemea japo kwa maneno, kama huwezi kwa vitendo.
Andamana kamanda, tunakutegemea sana!
 
Kama ni matusi Sheria usemaje,haya mambo yanabackfire lkn, kwani kikombe mlichowapimia wwenzenu ndicho mtakachopimiwa.
huwezi kupimiwa kikombe kibaya kama unafanya mazuri hao wanakula walichokipanda
 
Sijasema kama aliyeteka ni kiongozi wa Nchi kwa sababu sina ushahidi huo.

Lakini kwa mtu mwenye akili timamu anajua kwamba kutukana ni jambo ambalo hakuna ambae amgependa kufanyiwa.

Raisi ni mtu mkubwa sana sio wa kumshusha hadhi namna hiyo,hata kama ikatokea ana mapungufu lakini sio sawa kumtukana matusi ya nguoni.

Kama raisi hatakiwi kuna na roho nyepsei hivyo kwa kuwa ataumiza wengi sawa lakini je matusi yanakubalika na ni katika tamaduni zetu watanzania kutukana mamna ile tena unamtukana mkuu wa nchi?

Katiba Na Sheria usemaje juu ya hayo? PILI vipi upande wa PILI wanaowatusi Na hata kuwatishia wengine MBONA awatekwi?
 
Back
Top Bottom