bulicheka 3
JF-Expert Member
- Feb 6, 2019
- 599
- 557
Hakuna siri ktk dunia hii inayo mulikwa na jua na mwezi natukio likisha husisha watu zaindi ya wawili siyo siri tena tumuweke Mungu mbele tutoapo maamuzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Malipo hapahapa duniani Ipo Siku tu
Kagame karudi kwenye senses zake.. Amekataa sheria ya Raisi kutukanwa kuwa jinai.. Badala ya madaiTofauti ni kubwa kati ya maoni na matusi
You are calling it "intelligence",!!!??Kuna thread iliwahi kuletwa kuwa yule Mwenyekiti mruka dhamana alipokuwa ndani, hali likuwa shwari. Na ikasema, kwakuwa ametoka sasa utekaji utaanza punde! There's no coincidence in intelligence!
Vyombo vya dola ndiyo vimemteka kwa amri kutoka juu, sasa utoe taarifa polisi kivipi wakati wanahusika katika utekaji. Au ndiyo unajitoa ufahamu tu.kama umeweza kujua yuko wapi si ukaripoti polisi mbona mnachukulia vitu kirahisi hivyo toa taarifa afuatiliwe aliye mchukua
Mwenyezi Mungu atawaumbua tu watekaji watajulikana tu ,shetani hajawahi kumshinda Mungu .
TISSkama umeweza kujua yuko wapi si ukaripoti polisi mbona mnachukulia vitu kirahisi hivyo toa taarifa afuatiliwe aliye mchukua
Mwehu wewe...Siku hizi mtu akikamatwa na polisi ametekwa
Mkuu soma vizuri sana kwa utulivu uandishi huo.Kumbe kweli ametekwa na police
"Shamba la bwana heri, mbuzi wa bwana heri, hamna kasi hapo " Wahengakama umeweza kujua yuko wapi si ukaripoti polisi mbona mnachukulia vitu kirahisi hivyo toa taarifa afuatiliwe aliye mchukua
Duuh yaani unaambiwa kaletwa polisi halafu unasema akaripoti polisi.kama umeweza kujua yuko wapi si ukaripoti polisi mbona mnachukulia vitu kirahisi hivyo toa taarifa afuatiliwe aliye mchukua