Tetesi: Inadaiwa Mdude Nyagali kaletwa Dar jana Usiku, hali yake ni mbaya

Tetesi: Inadaiwa Mdude Nyagali kaletwa Dar jana Usiku, hali yake ni mbaya

Siungi mkono yanayomkuta kama binadamu mwenzangu
Lakini mambo mengine ni kujitakia mwenyewe

Hivi rais type ya magufuli ni wa kumfananisha na malaya aliepata gono ukabaki salama kweli

Nisawa na kwenda serengeti na kuanza kumshika shika sharubu simba
 
Siungi mkono yanayomkuta kama binadamu mwenzangu
Lakini mambo mengine ni kujitakia mwenyewe

Hivi rais type ya magufuli ni wa kumfananisha na malaya aliepata gono ukabaki salama kweli

Nisawa na kwenda serengeti na kuanza kumshika shika sharubu simba
Una hakika aliandika yeye?
 
kama umeweza kujua yuko wapi si ukaripoti polisi mbona mnachukulia vitu kirahisi hivyo toa taarifa afuatiliwe aliye mchukua
Una majibu mepesi mno kwa suala zito linalochukuwa uhai wa mtu. Roho ya mwanaadamu sio kama engine ya gari ambayo unaweza ukai replace. Ni kitu ambacho hakuna binadamu anayeweza kukielezea wachilia mbali kujiamulia ya nani ataitowa lini na wapi. Unaambiwa hata huyo Malaika anayetowa.roho (.kama.una amini uwepo wao) ana sura mbaya haijawahi kutokea! Sasa mwanaadamu anapojipa cheo cha malaika mtowa roho sijui mtu huyu sura yake ikoje!

God forbids, lakini iko siku tutakimbiana kwa uoumbavu huu unaofanywa na mashetani wachache wanaojipa vyeo ambavyo Mungu pekee ndiye mwenye haki ya kuvitowa!
 
Watanzania,imetosha sasa. ##BRING BACK MDUDE ALIVE#
 
Ilitakiwa ushahidi uwekwe,hali ikiwa mbaya na wakashindwa kucontrol wanapoteza ushahidi!!

Halafu tuna watu kila week za ibada wako mstari wa mbele wakijifanya wapenda haki na wanahofu ya Mungu!!!
Halafu kuna watu wamekaa kila siku kuwatukana na kuwakashifu watu madarakani wenye hofu ya mungu hadi wapoteze imani zao.
 
Marekani na nchi za ukaya ni wanafiki wakubwa, tangu utawala huu wa awamu ya tano ushike dola watu wanaotofautiana na serikali hii na wanaoikosoa baadhi yao wametekwa na ama kupotezwa kabisa au kuteswa na kuachiwa baada ya muda wakiwa hoi. Marekani na ulaya wamekaa kimya , hawaibani serikali hii inayolea utekaji na mauwaji kama wanavyoibana Venezuela.
 
Tangu tupate uhuru na kuwa na maraisi wanne kabla ya huyu wa tano, hatujawahi kushuhudia utekwaji na kupotezwa kabisa kama ilivyokuwa kwa Dictator Augusto Pinochet wa Chile, ni utawala huu tu wa awamu ya tano umeshamiri ushenzi huu. Siku moja mtajibu maovu hayo mnayofanya kama si mahakamani basi hata mbinguni kwa mungu.
 
Tangu tupate uhuru na kuwa na maraisi wanne kabla ya huyu wa tano, hatujawahi kushuhudia utekwaji na kupotezwa kabisa kama ilivyokuwa kwa Dictator Augusto Pinochet wa Chile, ni utawala huu tu wa awamu ya tano umeshamiri ushenzi huu. Siku moja mtajibu maovu hayo mnayofanya kama si mahakamani basi hata mbinguni kwa mungu.
Unafuata
 
Ila pamoja na kupotea kwake lakini huyu jamaa alikua na matusi sana sio kwa kutukana vile kiongozi wa nchi, leo nimeona moja ya post zake inahusu IMF duuuuh sidhani kama alienda jando huyu kijana.
 
Back
Top Bottom