Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una hakika aliandika yeye?Siungi mkono yanayomkuta kama binadamu mwenzangu
Lakini mambo mengine ni kujitakia mwenyewe
Hivi rais type ya magufuli ni wa kumfananisha na malaya aliepata gono ukabaki salama kweli
Nisawa na kwenda serengeti na kuanza kumshika shika sharubu simba
Una majibu mepesi mno kwa suala zito linalochukuwa uhai wa mtu. Roho ya mwanaadamu sio kama engine ya gari ambayo unaweza ukai replace. Ni kitu ambacho hakuna binadamu anayeweza kukielezea wachilia mbali kujiamulia ya nani ataitowa lini na wapi. Unaambiwa hata huyo Malaika anayetowa.roho (.kama.una amini uwepo wao) ana sura mbaya haijawahi kutokea! Sasa mwanaadamu anapojipa cheo cha malaika mtowa roho sijui mtu huyu sura yake ikoje!kama umeweza kujua yuko wapi si ukaripoti polisi mbona mnachukulia vitu kirahisi hivyo toa taarifa afuatiliwe aliye mchukua
Hatima yake si njema nimeoteshwa 😭😭Umewaza nini mkuu
Mungu wanguKwa miposti yake alotupia mtandaoni anastahili kuwa katika hiyo hali.
Hatuwezi kuwa na taifa la watovu wa nidhamu na washenzi
Halafu kuna watu wamekaa kila siku kuwatukana na kuwakashifu watu madarakani wenye hofu ya mungu hadi wapoteze imani zao.Ilitakiwa ushahidi uwekwe,hali ikiwa mbaya na wakashindwa kucontrol wanapoteza ushahidi!!
Halafu tuna watu kila week za ibada wako mstari wa mbele wakijifanya wapenda haki na wanahofu ya Mungu!!!
Tena ni mananga ya brigadeMananga yamemteka mdude
Acheni ushetani, Tanzania isiwe kama TALIBANHamna cha kiberiti wala nini.
UnafuataTangu tupate uhuru na kuwa na maraisi wanne kabla ya huyu wa tano, hatujawahi kushuhudia utekwaji na kupotezwa kabisa kama ilivyokuwa kwa Dictator Augusto Pinochet wa Chile, ni utawala huu tu wa awamu ya tano umeshamiri ushenzi huu. Siku moja mtajibu maovu hayo mnayofanya kama si mahakamani basi hata mbinguni kwa mungu.
Huna lolote.Acheni ushetani, Tanzania isiwe kama TALIBAN