Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahyo akifa Mungu hayupoKama Kweli Kuna Mungu Mbinguni ninayemwamiji, Mungu wa Eliya basi Mdude Ataishi hatakufa ktk jina la Yesu.
Hamna cha kiberiti wala nini.Mdude aweza kuwa kiberiti. Kama matamko yatawekwa pembeni.
sawa wewe wa mjini uliyeshindwa kuweka mazingira ya saccos yenu kimjini mjiniHalafu wapo viongozi washamba kila weekend wapo madhabauni na wengine hulia kabisa mbele za watu. Uku week days wanauwa watu kisa tu wana maoni tofauti na yao.
Kama Kweli Kuna Mungu Mbinguni ninayemwamiji, Mungu wa Eliya basi Mdude Ataishi hatakufa ktk jina la Yesu.
kumbe kujiandaa wewe unafahamuje?Acha uongo wewe. Umejiandaa mbele ya simu yako una type? Huo uongo mkawadanganye watoto wachekechea.
Nenda kaadamane O'bay na Bango, ili maneno yako yadhibitikeMdude aweza kuwa kiberiti. Kama matamko yatawekwa pembeni.
Polisi wamekana kumkamata.Siku hizi mtu akikamatwa na polisi ametekwa
Kule VWAWA waliripoti polisi lakini hata jalada halikufunguliwa.......where is ur brain???kama umeweza kujua yuko wapi si ukaripoti polisi mbona mnachukulia vitu kirahisi hivyo toa taarifa afuatiliwe aliye mchukua
ata yakiwa ni matusi , si kuna mahakama na sheria?Tofauti ni kubwa kati ya maoni na matusi
kama vile umeumbwa na hutokaa ukapata matatizo .... nakuombea Kwa Mungu aitunze jeuri yako mpaka siku ya mwishoSiku hizi mtu akikamatwa na polisi ametekwa
Shika bango ingia barabaraniTuambieni tufanye Nini sisi ...we're psychologically prepared
watachakaaShika bango ingia barabarani
Kabisa !Mwenyezi Mungu atawaumbua tu watekaji watajulikana tu ,shetani hajawahi kumshinda Mungu .
Bado unaamini Polisi?kama umeweza kujua yuko wapi si ukaripoti polisi mbona mnachukulia vitu kirahisi hivyo toa taarifa afuatiliwe aliye mchukua
Bado unaamini Polisi?kama umeweza kujua yuko wapi si ukaripoti polisi mbona mnachukulia vitu kirahisi hivyo toa taarifa afuatiliwe aliye mchukua