Tetesi: Inadaiwa Mdude Nyagali kaletwa Dar jana Usiku, hali yake ni mbaya

Tetesi: Inadaiwa Mdude Nyagali kaletwa Dar jana Usiku, hali yake ni mbaya

Na jpili kuna kusimikwa Askofu mpya wa Jimbo kuu la Mwanza,lkn utaona wako mbele wanaomba waombewe!!!!!
 
Mheshimiwa Mbunge wa Kawe kupitia CHADEMA, amesema kapata taarifa kwamba Mdude Chadema kufikishwa kwenye kituo kimoja wapo cha Polisi Jijini Dar jana Usilu.

KUNA taarifa TUNAFUATILIA kwa ukaribu, kwamba Chadema Mdude alifikishwa kwenye kituo kimoja cha POLISI hapa DAR USIKU wa KUAMKIA leo na kuhamishwa ALFAJIRI ya LEO kupelekwa sehemu isiyojulikana. HALI yake ni MBAYA SANA. Soon UKWELI Utadhihirika!

Hatua mbalimbali ZINACHUKULIWA!


MY TAKE;

Nashauri aanze kutafutwa kwenye Hospitali ya Mwananyamala. Kwa uzoefu wangu, Wagonjwa wengi ambao huwa wapo Mikononi mwa Polisi huwa wanapelekwa Mwananyamala. Zaidi ya hapo wanapelekwa Muhimbili.

Nazidi kumuomba Mungu amlinde Mdude wasimkatishe pumzi.
Na kama kweli yuko chini ya jeshi tena kapelekwa Dar, Bas paleeeee Tazara kuna kituo kipo ndani ndani pale, ni hatari
 
Mbona mambo yanakuwa rahisi hivi. Na taarifa za tetetesi nyingi . Je logically sio rahisi zaidi kwa mtoa tetesi za kila hatua kuwa MHUSIKA MKUU.
Mheshimiwa Mbunge wa Kawe kupitia CHADEMA, amesema kapata taarifa kwamba Mdude Chadema kufikishwa kwenye kituo kimoja wapo cha Polisi Jijini Dar jana Usilu.

KUNA taarifa TUNAFUATILIA kwa ukaribu, kwamba Chadema Mdude alifikishwa kwenye kituo kimoja cha POLISI hapa DAR USIKU wa KUAMKIA leo na kuhamishwa ALFAJIRI ya LEO kupelekwa sehemu isiyojulikana. HALI yake ni MBAYA SANA. Soon UKWELI Utadhihirika!

Hatua mbalimbali ZINACHUKULIWA!


MY TAKE;

Nashauri aanze kutafutwa kwenye Hospitali ya Mwananyamala. Kwa uzoefu wangu, Wagonjwa wengi ambao huwa wapo Mikononi mwa Polisi huwa wanapelekwa Mwananyamala. Zaidi ya hapo wanapelekwa Muhimbili.

Nazidi kumuomba Mungu amlinde Mdude wasimkatishe pumzi.
 
sasa hyo sio classified tena kwann wasifuatilie kmya wakushapata uhakika ndio watoe report yenye ushahidi.?
 
Mheshimiwa Mbunge wa Kawe kupitia CHADEMA, amesema kapata taarifa kwamba Mdude Chadema kufikishwa kwenye kituo kimoja wapo cha Polisi Jijini Dar jana Usilu.

KUNA taarifa TUNAFUATILIA kwa ukaribu, kwamba Chadema Mdude alifikishwa kwenye kituo kimoja cha POLISI hapa DAR USIKU wa KUAMKIA leo na kuhamishwa ALFAJIRI ya LEO kupelekwa sehemu isiyojulikana. HALI yake ni MBAYA SANA. Soon UKWELI Utadhihirika!

Hatua mbalimbali ZINACHUKULIWA!


MY TAKE;

Nashauri aanze kutafutwa kwenye Hospitali ya Mwananyamala. Kwa uzoefu wangu, Wagonjwa wengi ambao huwa wapo Mikononi mwa Polisi huwa wanapelekwa Mwananyamala. Zaidi ya hapo wanapelekwa Muhimbili.

Nazidi kumuomba Mungu amlinde Mdude wasimkatishe pumzi.
hili pekee linatosha kuingiza watu barabaran sitegemei kusikia kiongozi wa upinzani akilalamika bungeni au kwenye mitandao. mnataka awafanyie nn ili mjue hana nia nzur na upinzani? anawashinda hata boby wine mtt mdogo yule?
 
Mheshimiwa Mbunge wa Kawe kupitia CHADEMA, amesema kapata taarifa kwamba Mdude Chadema kufikishwa kwenye kituo kimoja wapo cha Polisi Jijini Dar jana Usilu.

KUNA taarifa TUNAFUATILIA kwa ukaribu, kwamba Chadema Mdude alifikishwa kwenye kituo kimoja cha POLISI hapa DAR USIKU wa KUAMKIA leo na kuhamishwa ALFAJIRI ya LEO kupelekwa sehemu isiyojulikana. HALI yake ni MBAYA SANA. Soon UKWELI Utadhihirika!

Hatua mbalimbali ZINACHUKULIWA!


MY TAKE;

Nashauri aanze kutafutwa kwenye Hospitali ya Mwananyamala. Kwa uzoefu wangu, Wagonjwa wengi ambao huwa wapo Mikononi mwa Polisi huwa wanapelekwa Mwananyamala. Zaidi ya hapo wanapelekwa Muhimbili.

Nazidi kumuomba Mungu amlinde Mdude wasimkatishe pumzi.
Kajiteka
 
Cha ajabu anatokea kiongozi na mabendera yake mifukoni anasema Tz kuna amani???, Wtz tuache ujinga. hii hiyo ni kwasababu yakuchagua mabunge vilaza ya ccm yasiyothamini failia na watu wengine. kama Bunge lingekuwa balanced leo hawa wasiojulikana wangekuwa wamejulikana kupitia Bunge kama mhimili huru. wabunge waccm wapo kutetea ufisadi, sheria mbovu na matumbo yao. Tumechoka bana, hii nchi yetu sote sio ya watu wasiotaka kusemwa wala kukosolewa.

Nape, Mo, Roma tunataka tuone sauti zenu kama sisi tulivyopaza pale mlipoonewa na kutekwa, semeni ukweli mlionao hii ndio itakuwa tiba na hawa watu wapuuzi wanaojiita wasiojukikana huku wakifadhiliwa na PESA yangu nayoichangia kwa ajili ya madawa, maji lkn sivipati zaidi yakuona Wtz wenzangu wakitekwa na kuumia bila sababu. 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Ukimya wa watanzania ndio chanzo cha hawa wuuni wa awamu ya tano kutudharau.

Ni kweli hatuna bunduki wala bomu la.kupambana nao, lakini kama.kweli ni hinadmu.mwemye dhamira njema na uchungu wa uhai wa hinadamu mwemzako basi utakemea japo kwa maneno, kama huwezi kwa vitendo.
 
Maandamamano ya kufa mtu kama Algeria mambo ya kutekana yaishe! Mimi nipo tayari kwa maandamano!
 
Mheshimiwa Mbunge wa Kawe kupitia CHADEMA, amesema kapata taarifa kwamba Mdude Chadema kufikishwa kwenye kituo kimoja wapo cha Polisi Jijini Dar jana Usilu.

KUNA taarifa TUNAFUATILIA kwa ukaribu, kwamba Chadema Mdude alifikishwa kwenye kituo kimoja cha POLISI hapa DAR USIKU wa KUAMKIA leo na kuhamishwa ALFAJIRI ya LEO kupelekwa sehemu isiyojulikana. HALI yake ni MBAYA SANA. Soon UKWELI Utadhihirika!

Hatua mbalimbali ZINACHUKULIWA!


MY TAKE;

Nashauri aanze kutafutwa kwenye Hospitali ya Mwananyamala. Kwa uzoefu wangu, Wagonjwa wengi ambao huwa wapo Mikononi mwa Polisi huwa wanapelekwa Mwananyamala. Zaidi ya hapo wanapelekwa Muhimbili.

Nazidi kumuomba Mungu amlinde Mdude wasimkatishe pumzi.
Dah! kama ni kweli kamanda mdude yupo kwenye hali mbaya bora Muumba amchukue akapumzike kwa amani kwa kumpunguzia maumivu anayoyapata,ila aluta continua.
 
Mheshimiwa Mbunge wa Kawe kupitia CHADEMA, amesema kapata taarifa kwamba Mdude Chadema kufikishwa kwenye kituo kimoja wapo cha Polisi Jijini Dar jana Usilu.

KUNA taarifa TUNAFUATILIA kwa ukaribu, kwamba Chadema Mdude alifikishwa kwenye kituo kimoja cha POLISI hapa DAR USIKU wa KUAMKIA leo na kuhamishwa ALFAJIRI ya LEO kupelekwa sehemu isiyojulikana. HALI yake ni MBAYA SANA. Soon UKWELI Utadhihirika!

Hatua mbalimbali ZINACHUKULIWA!


MY TAKE;

Nashauri aanze kutafutwa kwenye Hospitali ya Mwananyamala. Kwa uzoefu wangu, Wagonjwa wengi ambao huwa wapo Mikononi mwa Polisi huwa wanapelekwa Mwananyamala. Zaidi ya hapo wanapelekwa Muhimbili.

Nazidi kumuomba Mungu amlinde Mdude wasimkatishe pumzi.
Kwa miposti yake alotupia mtandaoni anastahili kuwa katika hiyo hali.

Hatuwezi kuwa na taifa la watovu wa nidhamu na washenzi
 
Kuna thread iliwahi kuletwa kuwa yule Mwenyekiti mruka dhamana alipokuwa ndani, hali likuwa shwari. Na ikasema, kwakuwa ametoka sasa utekaji utaanza punde! There's no coincidence in intelligence!
 
Back
Top Bottom