MAGALEMWA
JF-Expert Member
- Jul 8, 2015
- 6,413
- 4,885
Akaripoti polisi au akaripoti UVCCM?kama umeweza kujua yuko wapi si ukaripoti polisi mbona mnachukulia vitu kirahisi hivyo toa taarifa afuatiliwe aliye mchukua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akaripoti polisi au akaripoti UVCCM?kama umeweza kujua yuko wapi si ukaripoti polisi mbona mnachukulia vitu kirahisi hivyo toa taarifa afuatiliwe aliye mchukua
hakuna sehemu inaitwa polishAkaripoti polish au akaripoti UVCCM?
Na kama kweli yuko chini ya jeshi tena kapelekwa Dar, Bas paleeeee Tazara kuna kituo kipo ndani ndani pale, ni hatariMheshimiwa Mbunge wa Kawe kupitia CHADEMA, amesema kapata taarifa kwamba Mdude Chadema kufikishwa kwenye kituo kimoja wapo cha Polisi Jijini Dar jana Usilu.
KUNA taarifa TUNAFUATILIA kwa ukaribu, kwamba Chadema Mdude alifikishwa kwenye kituo kimoja cha POLISI hapa DAR USIKU wa KUAMKIA leo na kuhamishwa ALFAJIRI ya LEO kupelekwa sehemu isiyojulikana. HALI yake ni MBAYA SANA. Soon UKWELI Utadhihirika!
Hatua mbalimbali ZINACHUKULIWA!
MY TAKE;
Nashauri aanze kutafutwa kwenye Hospitali ya Mwananyamala. Kwa uzoefu wangu, Wagonjwa wengi ambao huwa wapo Mikononi mwa Polisi huwa wanapelekwa Mwananyamala. Zaidi ya hapo wanapelekwa Muhimbili.
Nazidi kumuomba Mungu amlinde Mdude wasimkatishe pumzi.
Mheshimiwa Mbunge wa Kawe kupitia CHADEMA, amesema kapata taarifa kwamba Mdude Chadema kufikishwa kwenye kituo kimoja wapo cha Polisi Jijini Dar jana Usilu.
KUNA taarifa TUNAFUATILIA kwa ukaribu, kwamba Chadema Mdude alifikishwa kwenye kituo kimoja cha POLISI hapa DAR USIKU wa KUAMKIA leo na kuhamishwa ALFAJIRI ya LEO kupelekwa sehemu isiyojulikana. HALI yake ni MBAYA SANA. Soon UKWELI Utadhihirika!
Hatua mbalimbali ZINACHUKULIWA!
MY TAKE;
Nashauri aanze kutafutwa kwenye Hospitali ya Mwananyamala. Kwa uzoefu wangu, Wagonjwa wengi ambao huwa wapo Mikononi mwa Polisi huwa wanapelekwa Mwananyamala. Zaidi ya hapo wanapelekwa Muhimbili.
Nazidi kumuomba Mungu amlinde Mdude wasimkatishe pumzi.
Hakuna sherehe ya kudumu, iko siku msiba na matatizo yatakufika utajua uchungu na maumivu yake. Ni wakati wako akishangilia mdadaShika bango ingia barabarani
ahahahh [emoji23][emoji23]Elimu elimu... Ushaambiwa mtu kapelekwa kituo kimoja cha police afu ww unasema akaripoti police, police gani hao ambao wamemteka au kunawengine
NdiyoKwahyo akifa Mungu hayupo
hili pekee linatosha kuingiza watu barabaran sitegemei kusikia kiongozi wa upinzani akilalamika bungeni au kwenye mitandao. mnataka awafanyie nn ili mjue hana nia nzur na upinzani? anawashinda hata boby wine mtt mdogo yule?Mheshimiwa Mbunge wa Kawe kupitia CHADEMA, amesema kapata taarifa kwamba Mdude Chadema kufikishwa kwenye kituo kimoja wapo cha Polisi Jijini Dar jana Usilu.
KUNA taarifa TUNAFUATILIA kwa ukaribu, kwamba Chadema Mdude alifikishwa kwenye kituo kimoja cha POLISI hapa DAR USIKU wa KUAMKIA leo na kuhamishwa ALFAJIRI ya LEO kupelekwa sehemu isiyojulikana. HALI yake ni MBAYA SANA. Soon UKWELI Utadhihirika!
Hatua mbalimbali ZINACHUKULIWA!
MY TAKE;
Nashauri aanze kutafutwa kwenye Hospitali ya Mwananyamala. Kwa uzoefu wangu, Wagonjwa wengi ambao huwa wapo Mikononi mwa Polisi huwa wanapelekwa Mwananyamala. Zaidi ya hapo wanapelekwa Muhimbili.
Nazidi kumuomba Mungu amlinde Mdude wasimkatishe pumzi.
KajitekaMheshimiwa Mbunge wa Kawe kupitia CHADEMA, amesema kapata taarifa kwamba Mdude Chadema kufikishwa kwenye kituo kimoja wapo cha Polisi Jijini Dar jana Usilu.
KUNA taarifa TUNAFUATILIA kwa ukaribu, kwamba Chadema Mdude alifikishwa kwenye kituo kimoja cha POLISI hapa DAR USIKU wa KUAMKIA leo na kuhamishwa ALFAJIRI ya LEO kupelekwa sehemu isiyojulikana. HALI yake ni MBAYA SANA. Soon UKWELI Utadhihirika!
Hatua mbalimbali ZINACHUKULIWA!
MY TAKE;
Nashauri aanze kutafutwa kwenye Hospitali ya Mwananyamala. Kwa uzoefu wangu, Wagonjwa wengi ambao huwa wapo Mikononi mwa Polisi huwa wanapelekwa Mwananyamala. Zaidi ya hapo wanapelekwa Muhimbili.
Nazidi kumuomba Mungu amlinde Mdude wasimkatishe pumzi.
Ukimya wa watanzania ndio chanzo cha hawa wuuni wa awamu ya tano kutudharau.Cha ajabu anatokea kiongozi na mabendera yake mifukoni anasema Tz kuna amani???, Wtz tuache ujinga. hii hiyo ni kwasababu yakuchagua mabunge vilaza ya ccm yasiyothamini failia na watu wengine. kama Bunge lingekuwa balanced leo hawa wasiojulikana wangekuwa wamejulikana kupitia Bunge kama mhimili huru. wabunge waccm wapo kutetea ufisadi, sheria mbovu na matumbo yao. Tumechoka bana, hii nchi yetu sote sio ya watu wasiotaka kusemwa wala kukosolewa.
Nape, Mo, Roma tunataka tuone sauti zenu kama sisi tulivyopaza pale mlipoonewa na kutekwa, semeni ukweli mlionao hii ndio itakuwa tiba na hawa watu wapuuzi wanaojiita wasiojukikana huku wakifadhiliwa na PESA yangu nayoichangia kwa ajili ya madawa, maji lkn sivipati zaidi yakuona Wtz wenzangu wakitekwa na kuumia bila sababu. 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Nature ya vijana tulio nao.Nenda kaadamane O'bay na Bango, ili maneno yako yadhibitike
Mananga yamemteka mdude
Mabeyo ametoa tamko lolote?
Isije kuwa kishakufa Mkuu. Bashite ni lazima anahusika kutekeleza maagizo ya muuaji.
Dah! kama ni kweli kamanda mdude yupo kwenye hali mbaya bora Muumba amchukue akapumzike kwa amani kwa kumpunguzia maumivu anayoyapata,ila aluta continua.Mheshimiwa Mbunge wa Kawe kupitia CHADEMA, amesema kapata taarifa kwamba Mdude Chadema kufikishwa kwenye kituo kimoja wapo cha Polisi Jijini Dar jana Usilu.
KUNA taarifa TUNAFUATILIA kwa ukaribu, kwamba Chadema Mdude alifikishwa kwenye kituo kimoja cha POLISI hapa DAR USIKU wa KUAMKIA leo na kuhamishwa ALFAJIRI ya LEO kupelekwa sehemu isiyojulikana. HALI yake ni MBAYA SANA. Soon UKWELI Utadhihirika!
Hatua mbalimbali ZINACHUKULIWA!
MY TAKE;
Nashauri aanze kutafutwa kwenye Hospitali ya Mwananyamala. Kwa uzoefu wangu, Wagonjwa wengi ambao huwa wapo Mikononi mwa Polisi huwa wanapelekwa Mwananyamala. Zaidi ya hapo wanapelekwa Muhimbili.
Nazidi kumuomba Mungu amlinde Mdude wasimkatishe pumzi.
Kwa miposti yake alotupia mtandaoni anastahili kuwa katika hiyo hali.Mheshimiwa Mbunge wa Kawe kupitia CHADEMA, amesema kapata taarifa kwamba Mdude Chadema kufikishwa kwenye kituo kimoja wapo cha Polisi Jijini Dar jana Usilu.
KUNA taarifa TUNAFUATILIA kwa ukaribu, kwamba Chadema Mdude alifikishwa kwenye kituo kimoja cha POLISI hapa DAR USIKU wa KUAMKIA leo na kuhamishwa ALFAJIRI ya LEO kupelekwa sehemu isiyojulikana. HALI yake ni MBAYA SANA. Soon UKWELI Utadhihirika!
Hatua mbalimbali ZINACHUKULIWA!
MY TAKE;
Nashauri aanze kutafutwa kwenye Hospitali ya Mwananyamala. Kwa uzoefu wangu, Wagonjwa wengi ambao huwa wapo Mikononi mwa Polisi huwa wanapelekwa Mwananyamala. Zaidi ya hapo wanapelekwa Muhimbili.
Nazidi kumuomba Mungu amlinde Mdude wasimkatishe pumzi.