Tetesi: Inadaiwa Mmiliki wa App za mikopo mtandaoni ni bilionea kijana kutoka Tanzania

Tetesi: Inadaiwa Mmiliki wa App za mikopo mtandaoni ni bilionea kijana kutoka Tanzania

Wakuu

Habari niliyoipata kuhusu utitiri wa apps za mikopo mtandaoni kuwa nyingi na zenye riba kausha damu huku zikiwa na kero kubwa kwa mkopaji ndugu na jamaa ni kwamba zinamilikiwa na boss kijana tanzania na africa kwa ujumla fobes wanamjua

Bilionea huyu amekuwa mnyonyaji kwa watanzania wa hali ya chini hususani vijana wanaojitafuta kuanzia viwandani kwake mpaka anakowakopesha bodaboda kwa riba kubwa huku zikiwatia ulemavu wa kudumu na umasikini na sasa anavuta riba tu kupitia apps mbalimbali

App kama boba, pesa x, safi loan, na nyingine nyingi ni kero kubwa pia unapotumia mitandao ya kijamii unaletewa ads zao utake usitake

B O T ichukue hatua za mapema kumdhibiti boss huyu anayewanyoja waswahili wenzake

Asante
Bora kunyonywa na mtanzania mwenzetu kuliko hawa wageni ngozi nyeupe
 
Wakuu

Habari niliyoipata kuhusu utitiri wa apps za mikopo mtandaoni kuwa nyingi na zenye riba kausha damu huku zikiwa na kero kubwa kwa mkopaji ndugu na jamaa ni kwamba zinamilikiwa na boss kijana tanzania na africa kwa ujumla fobes wanamjua

Bilionea huyu amekuwa mnyonyaji kwa watanzania wa hali ya chini hususani vijana wanaojitafuta kuanzia viwandani kwake mpaka anakowakopesha bodaboda kwa riba kubwa huku zikiwatia ulemavu wa kudumu na umasikini na sasa anavuta riba tu kupitia apps mbalimbali

App kama boba, pesa x, safi loan, na nyingine nyingi ni kero kubwa pia unapotumia mitandao ya kijamii unaletewa ads zao utake usitake

B O T ichukue hatua za mapema kumdhibiti boss huyu anayewanyoja waswahili wenzake

Asante
Kwanini unampa uswahili wakati si mswahili?
 
Wakuu

Habari niliyoipata kuhusu utitiri wa apps za mikopo mtandaoni kuwa nyingi na zenye riba kausha damu huku zikiwa na kero kubwa kwa mkopaji ndugu na jamaa ni kwamba zinamilikiwa na boss kijana tanzania na africa kwa ujumla fobes wanamjua

Bilionea huyu amekuwa mnyonyaji kwa watanzania wa hali ya chini hususani vijana wanaojitafuta kuanzia viwandani kwake mpaka anakowakopesha bodaboda kwa riba kubwa huku zikiwatia ulemavu wa kudumu na umasikini na sasa anavuta riba tu kupitia apps mbalimbali

App kama boba, pesa x, safi loan, na nyingine nyingi ni kero kubwa pia unapotumia mitandao ya kijamii unaletewa ads zao utake usitake

B O T ichukue hatua za mapema kumdhibiti boss huyu anayewanyoja waswahili wenzake

Asante
Kwani anawalazimisha kukopa?
 
Samahani, hizo app zinaingiaje kwenye simu ya mtu na kumkopesha bila ridhaa yake......!
 
Wakuu

Habari niliyoipata kuhusu utitiri wa apps za mikopo mtandaoni kuwa nyingi na zenye riba kausha damu huku zikiwa na kero kubwa kwa mkopaji ndugu na jamaa ni kwamba zinamilikiwa na boss kijana tanzania na africa kwa ujumla fobes wanamjua

Bilionea huyu amekuwa mnyonyaji kwa watanzania wa hali ya chini hususani vijana wanaojitafuta kuanzia viwandani kwake mpaka anakowakopesha bodaboda kwa riba kubwa huku zikiwatia ulemavu wa kudumu na umasikini na sasa anavuta riba tu kupitia apps mbalimbali

App kama boba, pesa x, safi loan, na nyingine nyingi ni kero kubwa pia unapotumia mitandao ya kijamii unaletewa ads zao utake usitake

B O T ichukue hatua za mapema kumdhibiti boss huyu anayewanyoja waswahili wenzake

Asante
Kero kwa mkopaji? Kwani ni lazima kukopa? Njaa zetu ndio zinatuponza.
 
Wakuu

Habari niliyoipata kuhusu utitiri wa apps za mikopo mtandaoni kuwa nyingi na zenye riba kausha damu huku zikiwa na kero kubwa kwa mkopaji ndugu na jamaa ni kwamba zinamilikiwa na boss kijana tanzania na africa kwa ujumla fobes wanamjua

Bilionea huyu amekuwa mnyonyaji kwa watanzania wa hali ya chini hususani vijana wanaojitafuta kuanzia viwandani kwake mpaka anakowakopesha bodaboda kwa riba kubwa huku zikiwatia ulemavu wa kudumu na umasikini na sasa anavuta riba tu kupitia apps mbalimbali

App kama boba, pesa x, safi loan, na nyingine nyingi ni kero kubwa pia unapotumia mitandao ya kijamii unaletewa ads zao utake usitake

B O T ichukue hatua za mapema kumdhibiti boss huyu anayewanyoja waswahili wenzake

Asante
Dunia inamilikiwa na wenye akili pambana acha majungu
 
Back
Top Bottom