johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Ndio taarifa zilizopo hapa Miyomboni Iringa kwamba inadaiwa miamba hiyo ni miongoni mwa wanaopitapita mitaani kuweka mambo sawa
Hata hivyo Jesca ambaye ni Mbunge wa sasa na Team Lowassa aliyetukuka anatajwa kutetea Jimbo lake
Ngoja tuone 😂😂🔥
Kwako Lucas pale Vwawa 😄
Hata hivyo Jesca ambaye ni Mbunge wa sasa na Team Lowassa aliyetukuka anatajwa kutetea Jimbo lake
Ngoja tuone 😂😂🔥
Kwako Lucas pale Vwawa 😄